Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wadau,mimi ni mdau wa mambo ya Utafiti na nimekuwa nashirikiana kwa ukaribu na Taasisi mojawapo inayopewa fedha za Utafiti na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) Kijitonyama Dar es...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
HabariHospitali kubwa na ya Kisasa ya chuo kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MAMC) kufunguliwa na rais DK Magufuli mwezi ujao.Hospitali hii ipo Kibamba, Mloganzila, jijini Dar Es...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM na wakili wa kujitegemea Jonas Nkya afunguliwa RB TAN/RB5114/2017 kwa kosa la Wizi wa kuaminika wa gari aina ya Lexus Harrier lenye namba ya usajili T404 BBP...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau poleni na kazi ya kukabiliana na hali zenu. Kuna tetesi kwamba NSSF wamefanya kikao jana tarehe 11/09/2017 na wafanyakazi wa Bulyankhulu Gold mine ambao wapo kwenye list ya redundancy na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari Wakuu Nimekua nikifatilia kuhusu hili jambo kwa karibu wiki sasa na nimeadhimia kujiunga kupitia bank ya Equity kesho,Lakini kiukweli moja ya vitu vilivyonitisha ni kuwa Posta zetu ni wezi...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa wakurugenzi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite inayoitwa Sky Associates wako mikononi mwa polisi. Ndugu Faisal shabhati na ndugu Hussein Gonga...
3 Reactions
138 Replies
19K Views
Kuna tuhuma ya wizi wa pesa za miradi za Unicef 41 mln zimeliwa ktk mazingira ya kutatanisha na kumekuwa na danadana za nani kala pesa hizo ukweli ukiwa DED na DT ndiyo wahusika wakuu. Mkuu wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti wa Chadema Taifa amebadili taswira ya Uongozi wake. Freeman Mbowe ameamua kuacha kukisaidia Chama chake kukua na kushamiri badala yake anakusudia kulivunja Taifa...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Kosa moja ambalo lingeweza kupoteza mwelekeo wa mazungumzo yanayoendelea hivi sasa dhidi ya accasia na Tanzania lilikuwa lifanyike, lkn Magufuli kwa kasi ya ajabu akajifuta. Wazungu pamoja na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kampuni ya utengenezaji wa magari ya Ashok Leyland India, imepokea oda ya thamani ya USD 170 milloin kwa ajili ya usumbazaji wa magari na spea toka kwa serikali ya Tanzania. Pamoja na usumbazaji...
4 Reactions
83 Replies
15K Views
Habarini wana jamvi Juu ya mada tajwa je hii kitu inawezekana?km ni kweli sheria iliyoidhiniisha umriwa kustaafu ni ipi na imeshafanyiwa marekebisho?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kichwa hapo juu kinahusika. kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya...
8 Reactions
56 Replies
7K Views
Jaman hii ni kwa watumidhi wale wrnye uelewa na hili jambo tu. Kama huelewi naomba ukae kimya. Juz nilifika ktk ofisi za halmashauri ninayofanyia kazi na kuuliza iwapo nitapata salary slip zangu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jaman wakuu naombeni ushauri ni mtandao upi upo vizuri kwenye swala la internet na vifurushi vyao maana nimeombwa ushauri nami nikajikuta nang'aa macho tu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
830 Views
Hivi hawa nacte watatoa post za vyuo uwalimu lini Naombeni msaada wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadudu hatari kwenye sura ya nyani/ mbwa wawatia hofu wakazi wa Geita kutokula mboga za majani. Wadudu hao maarufu kama DUDU MTU wametapakaa kwenye mboga za majani na Matunda, inasemekana kuna...
1 Reactions
147 Replies
81K Views
Sheria ya kurudia kidato cha nne iko vipi kwa sasa .. ni kuanzia masomo mangapi mtu anaweza rudia tena paper ya kidato cha nne? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
727 Views
  • Closed
Katika kile kinachoonekana mwendelezo wa wiki ya vituko, kiki na ukiukwaji wa misingi ya utawala wa sheria, Mkuu wa Wilaya ya Nkasi bw. Said Mtanda jana 12.08.2017 aliamuru wanajeshi wa JKT kikosi...
7 Reactions
56 Replies
5K Views
Imekaaje hii issue wakichumwa wao wanakua wagwadu na mwanaume anaitwa majina yote mabaya na kuudhi [emoji15] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bumbuli Development Corporation (BDC) December 3, 2013 · Bodi ya Barabara Mkoani Tanga (TANROADS) imepitisha maombi ya kupandishwa hadhi barabara zenye urefu wa kilometa 130 zinazounganisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom