Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya Whatsapp Ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana...
4 Reactions
230 Replies
31K Views
Hali ni tete kwa watumishi wote darasa la saba ambao waliajiriwa kuanzia 2004. Watumishi ambao walikuwa bado awajajiendeleza na elimu ya kidato cha nne mwezi huu wameondolewa rasmi kwenye payroll...
9 Reactions
71 Replies
20K Views
Mtakumbuka hivi majuzi yalitoleea matokeo ya utafiti ambao matokeo yake yalibainisha kwamba takribani 33% ya wanaume mkoani Dar Es Salaam wanakabiliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume...
3 Reactions
38 Replies
6K Views
Huu mchezo hautaki hasira Ukimwaga mboga wengine wanamwaga ugali Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
25 Replies
3K Views
*WASOMI WA VYUO NA VYUO VIKUU WAMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI* -------------------------------------- Na: Nassir Bakari Upanga, Dar es Salaam. *Kaimu Katibu Mkuu wa Idara ya vyuo na vyuo vikuu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nlkichwa cha habari Najiuliza umarufu unavyoweza kukupoteza ninayo makundi machache nawe unaweza ongeza Yale unayoyajua na umarufu umeyapoteza Hard blastas East coast Tmk wanaume Gheto boy Daz...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kueleweshwa kwann hiki chama kikuu cha upinzani nchini tz kimeonekana kushinda zaidi katika majimbo na majiji makubwa kama dar , arusha , Kilimanjaro, mbeya mjini , mwanza , bunda , tarime...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Kuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo. 1. Majina yako matatu 2. File namba 3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini 4. Ngazi ya Mshahara 5. Kiwango...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina. Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari. My take...
3 Reactions
76 Replies
7K Views
Wakuu habari za kazi. Kuna tetesi kua watumishi wa umma wasio peleka Vitambulisho vya Utaifa kwa Human Resources au ofisi husika kama ilivyoagizwa kwaajili ya uhakiki, hawatapata mshahara wa...
1 Reactions
101 Replies
11K Views
Samahani wahenga wenzangu naomba kuuliza hivi Hisa za vodacom bado tu hazijapelekwa kwenye soko la Dsm exchange tu Au ndio tumepigwa kama Desi Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Za chini ya Kapeti kutoka katika Taasisi moja ni kwamba kumbe ' Mukulu ' mwenyewe kwanza alitaka mishahara yao ipunguzwe kwakuwa ni mikubwa halafu hata tija yao si kubwa kivile ila watangulizi...
5 Reactions
47 Replies
8K Views
Yanaitwa Maonesho ya biashara , lakini ukweli ni kwamba pamoja na bidhaa kadhaa kuonyeshwa , Wafanyabiashara tumetumia nafasi hiyo kuuza , tena kwa mauzo ambayo huvunja rekodi . Sasa kutokana na...
14 Reactions
76 Replies
7K Views
Watanzania wote kwa umoja wetu tumesikitishwa na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia huko Kibiti. Jambo la kushangaza ni vipi magereza inahusu mahabu kupanga na kutekeleza uovu huo na yenyewe...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim *_Sababu kuu ya...
13 Reactions
154 Replies
53K Views
Bashite Kolomije Zero brain Haijawah kumwacha mtu salama Jaza ujazwe Kibiti Mheshimiwa spika Bi Anna mgwira Act wazalendo Miundombinu ya mbowe Hide my I'd please Mubashara Eid mubaraq Ramadhan...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli. Mwenye habari kamili atuhabarishe...
2 Reactions
195 Replies
34K Views
Baada ya TCRA kufanikiwa kuwaondolea wananchi KERO ya kusikilizishwa matangazo kwa lazima pindi wanapopiga simu, kuna taarifa kuwa wameitaka pia Kampuni ya Simu ya tiGO kufuta tangazo lake la JAZA...
1 Reactions
60 Replies
4K Views
"Stiegler" jina la kijerumani, na kikoloni na leo linatumika hata katika mpango wa umeme "stiegler's gorge" na hata kulipa umilikishi wa sehemu kwa stiegler's hivi hakuna majina ya kitanzania...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kusema ukweli kwa sasa kila mtaa Wa mji huu maarufu nchi kila mtu yupo ana nongona kuhusu stendi,barabara, na soko kulikoni mbona havifanyiwi kazi? Nakuomba sana mh na ukawa kwa ujamula kama...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom