Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari wakuu, Kuna tetesi kuwa tarehe 29.05.2018 zaidi ya wafanyakazi 600 walio na vyeti feki wamepewa barua za kuachishwa kazi pasipo malipo yeyote kwani walikuwa wakiibia serikali hivyo...
9 Reactions
122 Replies
18K Views
Hiki chama taratibu zake na katiba yake ikoje? Viongozi waliopo sasa madarakani walichaguliwa lini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Hiki chama taratibu zake na katiba yake ikoje? Viongozi waliopo sasa madarakani walichaguliwa lini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
717 Views
Wakuu nianze hivi, mimi miez kama mitatu imepita nlikuwa nakatiza kariakoo-mtaa wa Agrey na mshikaji wangu mara akapita binti mkali jamaa akanishtua nimwangalie ( kama ilivyo hulka ya wanaume...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
habari za jioni wakuu hv kuna kiongozi wa chama cha viziwi alikuwa ana ofisi buguruni viziwi anaitwa Rahim mpogo amefariki duniani maana mimi kuna kipindi alinisaidia alama niwe mkalimani wa lugha...
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Ni diwani wa Kata ya Masama Rundugai iliyopo wilaya ya Hai kwa tiketi ya Chadema ndugu Elibarik Lucas Mbisse amehamia chama cha mapinduzi. Mambo ni Moto Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
967 Views
Muswada wa Sheria ya Fao La Kukosa Ajira Huu Hapa Ule mbadala wa fao la kujitoa ambao umekuwa ukisemwa na mamlaka ya udhibiti na uendeshaji wa mifuko ya hifadhi ya jamii nchini SSRA, na wakati...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Nawasalimu kwa heshima na taadhima wakuu. Alfajiri ya leo mida ya saa kumi na nusu nilitoka ili nifanye mazoezi ya kukimbia kwa nusu saa. Kilichonishangaza ni kuona mgongo wa mnyama mkubwa kuliko...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania. Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya...
11 Reactions
61 Replies
11K Views
Bila kupoteza muda naomba kujua kwanini wamasai hawana muonekano wa ndevu au kwanini ni nadra kumuona mmasai akiwa na ndevu ? Nitashukuru nikipata majibu
1 Reactions
37 Replies
11K Views
Kama kawaida yangu wanajf leo nilikua na mtu wangu anafanya kazi TCRA nikawa namuuliza kuhusu local vipi mamlaka na serikali imeshindwa kudhibiti wakati local channel ni haki ya kila mtz yaani...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Tangu azam warushe tukio la kupokelewa ndege na baada ya siku chache wakaacha kurisha taarifa ya habari ma badala yake wanaelekeza watu wakaangalia taarifa ya habari kwenye App. Mwanzo tulidhan...
7 Reactions
70 Replies
13K Views
Karibu sana mgeni Unogeshe nyumbani.
3 Reactions
101 Replies
11K Views
Habari wanajamvi! Mie ni mhimtimu wa shahada katika fani ya biashara (Bcom) kutoka chuo kikuu cha dar es salaam. Nimeomba nafasi mbali mbali zaid ya kumi za kazi katika tovuti ya ajira bila...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
jamani me nataka nianze kilimo cha mahindi. je mil.1 iy hela nnawez kulima eneo kiasi gan kwakufuata kilimo cha kisasa nafaida unawez kupat maxmam gunia ngap? msaada tafadhal
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Nawasilisha mada hii kwa kwel kwa uchungu mzito jaman tunafanya kaz katika mazingira magumu na boss hataki kutupa mikataba ya kazi watu wanafanya kaz inapita miez hadi minne boss hakupi mshahara...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna Taarifa ambazo zinatajwa kuhusu kuuawa kwa Faru mmoja Aliyekuwa anahifadhiwa Na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Taarifa kutoka chanzo cha uhakika wilayani humo zinasema kwamba siku ya...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Wanajamvi Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure Yajayo yanafurahisha
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom