Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

DKT. MOLLEL: HATULAZIMISHI MTU LAKINI TUNATAMANI WOTE WAWEZE KUCHANJWA Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema hawalazimishi mtu kupata chanjo ya #COVID-19 lakini wanatamani kila mmoja aweze...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwakuwa serikali imeamua kupambana na Covid -19 kwa chanjo, na kwakuwa zipo aina mbalimbali za chanjo ya CORONA, Nakwakuwa pia wapo waliodhamiria kuipata chanjo hiyo basi ni vyema wakaongeza na...
0 Reactions
13 Replies
942 Views
Habari wana jamvi, Kwa wale wenzetu mliobahatika kupata chanjo tayari, tupeane taarifa. Ni aina gani ya chanjo ulipewa? Baada ya kupigwa chanjo umebaini tatizo lolote la muda mfupi? Chochote...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Na Chu Joe Dunia ina mengi nayo mengi hayana maana, ni msemo ambao unatumika kwa muda mrefu hapa nchini kwetu, lakini kwasasa jambo linalosemwa kwa maneno mengi yasiyo na maana ni chanjo ya...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Naona watu wanajadili sana kuhusu hii chanjo kuwa ina madhara, Wengine wanasema ukichoma baada ya miaka 10 unageuka zombi, wengine unageuka magnetic unaganda kwenye vyuma ngoja niwatoe...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa mara nyingine tena suala la asili ya COVID-19 limerudi tena katika medani ya kisiasa. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China Bw. Zhao Lijian amekuwa akitoa msimamo wa China mara kwa mara...
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema kuwa Serikali imepokea Dozi 1,058,400 tu hivyo Makundi ya Kipaumbele yatakayopewa ni Watumishi wa Sekta ya Afya waliomstari wa mbele, Wenye umri wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa wito kwa Wananchi kuhakikisha wanapokea Chanjo ya Corona kwa mustakabali wa Afya zao. RC Makalla ametoa kauli hiyo akiwa ni miongoni mwa...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Mtangazaji Maulid Kitenge ametoa hoja katika swali kuwapa changamoto wanaokataa chanjo Amesema kama unatumia pombe kali na unavuta sigara ambazo zinakuweka katika hatari ya magonjwa na kufariki...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Toka chanjo imetoka, serikali chini ya Magufuli imekuwa inaweka hofu kwa wananchi juu ya usalama wa chanjo. Rais alisema waziwazi kauli za kupinga chanjo. Alisema kama wazungu wanaweza kutengeneza...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini Dkt Hamis Kigwangalla ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Afya ya Jamii, apata chanjo yake ya corona, Sputnik Light, kutoka ya...
7 Reactions
40 Replies
6K Views
Chanjo kama chanjo Nimekaa na kuleta uzii huu ili tuelezane yaliopo kwenye nafsi zetu kuhusiana na hizi chanjo! Kwa wasiofahamu! Utengenezaji na research ya Chanjo ya covid 19 haina mdaa mrefu...
0 Reactions
1 Replies
840 Views
Ni jambo la kheri kuwa sasa hatma ya maisha yetu iko wazi zaidi ndani ya gonjwa hili hatari. Tufahamishane vilipo vituo vya Chanjo hii pendwa kutoka kwake beberu mwingi wa huruma kuliko wenzetu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wizara ya Afya Tanzania. 1. Aina za chanjo zitakazotumika kuchanja ndani ya Nchi yetu kwa kuzingatia manufacturer na mahali ilipotengenezwa? 2. Chanjo hiyo itakayotumika kuchanja,je,imefanikiwa...
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime tena?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na Shirika la Kuzuia na Kupambana na Magonjwa Marekani (CDC) kwa pamoja yalishatoa Muongozo kwa watoa huduma ya kuchanja chanjo ya Covid-19 kiwa siyo lazima kwa...
2 Reactions
2 Replies
793 Views
Licha yakwamba mambo ya kiutawala yanayumba ila acha niseme tu respect kwenu wana jf Me kama mwanachama huru apa jf kuna mambo mawili (chanjo ya korona na tozo kwenye miamala) nashindwa kuyaelewa...
4 Reactions
7 Replies
749 Views
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amewataka wananchi wanaokwenda kuwaona wagonjwa katika hospitali hizo kuhakikisha wanavaa barakoa kwa lengo la kujikinga wao na wagonjwa dhidi ya ugonjwa wa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna hoja imeibuka hapa hasa baada ya mzigo wa chanjo kuwasili. Kwanza niseme tu kwamba iwapo chanjo ya COVID itakuwepo na nikapewa taarifa sahihi na fursa ya kuchanjwa na mimi mwenyewe nikawa na...
1 Reactions
3 Replies
791 Views
Dar es Salaam Wakati chanjo za UVIKO-19 tayari zipo nchini, na tayari watu wanafanya uamuzi wa kuchanjwa au kutochanjwa, zimekuwepo kauli mbali mbali kuhusu umuhimu wa kuchanjwa au kutochanjwa...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom