Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Viongozi wetu hebu Busara itumike kwenye hili la Chanjo badala ya Vitisho na Kauli za Ubabe. Nakumbuka mlihubiri kwenye Mikutano yenu Kuwa Kuchanjwa ni hiari na Sio lazima kama Ndio hivyo kwanini...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Simiyu, Tanzania Mheshimiwa rais Samia alipoingia madarakani aliunda kamati ya wataalamu wa hapa nchini ili kufuatilia mwenendo wa mlipuko wa UVIKO-19 na kumshauri njia za kutumia katika...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Je, umeshawai kujiuliza ni nani aliwaambia watanzania kwamba chanjo ya korona ina madhara, kama vile kuganda kwa damu yani blood clotting? - Ukiachana na Hayati JPM aliyekuwa akiimba huu wimbo...
1 Reactions
2 Replies
719 Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi, leo Jumanne. Amewasisitiza waendelee kuchukua tahadhari na kujikinga na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dah! Mnisamehe tu 1. Kama COVI-19 inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwa njia ya vitone vidogo vya majimaji vinavyotokana na kupiga chafya, kukohoa au kuongea naye. Kwanini marehemu anayedhaniwa...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Kiukweli kama tunahitaji usalama basi mkoa wa Kilimanjaro uwekwe lock down. Hali huko ni mbaya kuliko inavyoelezwa. Serikali kama hamtachukua tahadhari mapema msije kusema hamkuambiwa. Wageni...
16 Reactions
42 Replies
5K Views
Kama hakuna hujuma, mRNA is the safest maana ni part of spike sequence ambayo haiwezi kugeuka kuwa corona virus. kama umesoma mRNA zinavyotengenezwa na una ABCD za vaccines, molecular biology etc...
0 Reactions
3 Replies
892 Views
Kilichoonekana leo lake Tanganyika ni dhahiri hakukua na tahadhari yoyote iliyochukuliwa. Mlioenda uwanjani na mliokula 🦆 kwenye 🚆 mjipange kuzikana na kuku wa kideri. Delta haiwezi kuwaacha salama.
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Kaskazini ya KCMC iliripoti uhaba wa mitungi ya gesi ya oksijeni kutokana uhitaji mkubwa Bohari ya Dawa(MSD) wametoa mitungi 300 ya oksijeni ili kusaidia kumudu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
sijui kama heading iko vizuri au vp! Ila inashangaza sanaa kuona namna tunavyoulazimishia huu ugonjwa uendelee kuwepo au tunalazimishia kwamba umerudi upyaa! jamani tumerudi nyuma sanaa kwenye...
9 Reactions
32 Replies
3K Views
Mheshimiwa Rais, naomba nikupongeze kwa nia yako nzuri ya kuleta mbadiliko chanya katika ustawi wa taifa. Ama nikupongeze kwa juhudi kubwa unazofanya katika kuendeleza juhudi na upekee wa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati wakazi wa Dodoma nchini Tanzania wakitakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Uviko-19, uongozi wa mkoa huo umesema hospitali zake hazijazidiwa na idadi ya wagonjwa. Aidha, Hospitali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Julai 25, 2021 Wizara ya Afya imetoa muongozo wa kiafya ambao kimsingi haujaangalia ukali wa COVID19 na hali za maisha ya watu mtaani. Eti kinyozi anunue mataulo... ekhe wakati yeye vinyozi...
0 Reactions
3 Replies
764 Views
Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya #Corona, Serikali kupitia Wizara ya Afya imetaka Masoko, Magulio na Minada kuhakikisha inazingatia umbali kati ya mtu na mtu, na kila mwenye biashara...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Bunge la bajeti limepita bila mpango maalumu wa kukabiliana na corona. Hatima yake tunataka kuwekeza mapambano dhidi ya corona kwa kitumia hisani za WHO,USA n.k. Tuamshe bongo zetu na tuje na...
2 Reactions
14 Replies
862 Views
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC imezidiwa na idadi ya wagonjwa wanaohitaji hewa ya Oksijeni ukilinganisha na mitungi 400 inayozalishwa kwa siku huku mgonjwa mmoja akitumia mitungi...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Najua si rahisi sana lakini ni vema kama nchi ikapambana kujua vema na kuwaongoza wananchi wake:- Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content) Tutafsiri kila kimoja na...
1 Reactions
2 Replies
556 Views
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, amewakumbusha Wananchi wanaoendelea kufanya mzaha juu ya janga la corona kuchukua tahadhari badala ya...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri...
20 Reactions
44 Replies
4K Views
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo. Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena. Hapo napigiwa simu naambiwa...
13 Reactions
122 Replies
11K Views
Back
Top Bottom