Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

TAARIFA KWA UMMA wa na [emoji1621][emoji1241]Dr Lugendo Karibuni, SERIKALI MOJA YA DUNIA NA CHANJO YA COVID-19 Hii ni mada ndogo iliyo katika MADA kubwa isemayo “ KUNA NINI NYUMA YA CORONA ?”...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Mlipuko virusi vya korona mwishoni mwa mwaka 2019 umebadili kabisa mifumo ya maisha duniani. Ugonjwa huu umesabababisha athari kubwa sana katika kila sekta pamoja na kugharimu maisha ya watu...
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Hapa nitatolea mfano ambao upo unaishi jinsi mjasiriamali anavyo weza badili Tatizo kua Fursa. Dunia nzima bila shaka umekubwa/Ishawahi kukubwa na janga hili la CORONA Tangu mwaka 2019 ikiwa ni...
1 Reactions
0 Replies
700 Views
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ameziagiza Halmashauri zote nane kupitia wataalam wa afya kusimamia kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya wimbi la tatu la corona. RC...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Watumishi tisa wa Kitengo cha upimaji wa COVID - 19 kwa wasafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere (JNIA) wamesimamishwa kazi kwa kosa la kutokufika kazini kutoa...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Aliyekuwa Mgombea Urais wa TFF Aliyeenguliwa kwa fitna , Oscar Oscar na Rafiki yake ambaye sikumtambua jina lake wametangaza hadharani kwamba wamepata chanjo ya corona nchini Marekani, watu hao...
10 Reactions
58 Replies
5K Views
Haya malamiko niliyapata wiki sasa nilikuja kupokea Wamalawi sita wana docs zote kuonyesha wamechanjwa na hawana Covid. Wazee wa JNIA pengine wamo uliowasimamisha kazi wamekuwa wakisumbua sana...
0 Reactions
3 Replies
926 Views
Je, Tanzania Tutegemee Lockdown Tena? Katika wimbi la tatu la CORONA Tanzani itakua chini ya Vizuizi vya kutoka nje? Hapo jibu ni hapana kwa mjibu wa majibu ya Waziri wa Afya Dkt. Dorothy...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Covid-19 is viral infection pandemic that emerged in 2019 that has bought undesired consequences such as business closures, anxiety, uncertainty, loss of life etc. in dealing with it measures such...
2 Reactions
0 Replies
359 Views
Wakati baadhi ya nchi zimekuwa zikipambana na wimbi la tatu la maambukizi ya COVID-19, na zikiendelea na juhudi za kutoa chanjo kwa watu wake, baadhi ya serikali zimekuwa zikitafuta kila njia ya...
1 Reactions
1 Replies
640 Views
Wakuu, Nimekaa natafakari juu ya affordability ya matibabu ya gonjwa la corona hapa nchini na nimebaini kwamba haina urafiki na watanzania wenye vipato vya kati na chini Hakika mwananchi wa...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
Daktari bingwa wa Pua, Koo na Masikio katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zazibar, Masoud Hakim Bakari amesema baada ya kupata chanjo ambayo imeanza kutolewa kwa watumishi wa Afya Zanzibar alipata...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais muungano na mazingira, Suleiman Jaffo ameongoza maombi ya kumwombea rais Samia Suluhu pamoja na Taifa kuepuka ugonjwa hatari wa Corona na kuzitaka taasisi...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Hivi karibuni Serikali ya awamu ya sita imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa Corona na kuuarifu umma kuchukua taahadhari ya kujikinga na ugonjwa. Kinachoshangaza serikari hiyo hiyo inayotangaza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
SERIKALI imefanya maboresho ya miundombinu kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kwa ajili ya upimaji wa virusi vya corona kwa wasafiri wanaoingia nchini. Hayo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kipindi hiki cha wimbi la tatu la Corona DELTA linatishia sana uhai kwa watanzania.Hapo hapo unakuta watu wanafanya harusi kukutanisha watu wengi wengi hivi tunajipenda kweli. SIkatai harusi ni...
1 Reactions
13 Replies
872 Views
Covid 19 wimbi la tatu inatulia timing kiaina, tuchukue hatua hizi Madaktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la Covid 19 kimekuja na dalili za kistaarabu...
11 Reactions
18 Replies
2K Views
Rais Samia kwanza kabisa Mimi sipo upande wa CCM na naichukia sana CCM, lakini kutokana na kusema tukukosoe kwa heshima basi nitafanya hivyo kwako. Naomba nikukosoe kwa heshima kuhusu ili suala...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani (lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Serikali imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Virusi vya Corona hapa nchini ili kupunguza gharama ya kuagiza nje ya nchi na kuzifanya ziwe karibu na wananchi. Akizungumza na waandishi wa...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom