Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mkurugenzi Mtendaji wa KCMC, Profesa Gilleard Masenga amesema mgonjwa mmoja wa #COVID19 anatumia hadi mitungi 10 kwa siku. Hospitali ya Rufaa ya KCMC inzalisha mitungi 400 na idadi ya wagonjwa...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Waziri mkuu wa Uingereza Bw. Boris Johnson na serikali yake, wameonyesha msimamo wa ajabu ambao pia unaweza kuonekana kuwa ni ubinafsi, baada ya kuweka kipaumbele zaidi kwenye uhuru wa watu na...
0 Reactions
1 Replies
728 Views
Mkuu wa mkoa wa Iringa, Queen Sendiga amesitisha kwa muda shughuli zote zisizo za lazima zinazohusisha mikusanyiko pamoja na makongamano yasiyo ya lazima, ikiwa ni moja ya jtihada za mkoa huo...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Salam kwenu watanzania wenzangu, Pole kwa familia na jamii yetu kama Watanzania kwa kufiwa na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. Nianze kwa kusema sina nia mbaya yeyote bali ni kutoa...
0 Reactions
3 Replies
637 Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili waislamu wameshindwa kwenda kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi Aidha...
11 Reactions
80 Replies
7K Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waendelee kuchukua hatua dhidi ya COVID-19. Amesema hadi sasa kuna wagonjwa wachache ambao wanatakiwa kuendelewa kuombewa ili kupona. Amesema...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema watu wenye miaka 45 na kuendelea ndio ambao wanaongoza kwa kupata #COVID19. Amekumbusha umuhimu wa kutumia njia zote kupambana na maambukizi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefuatilia uhamasishaji wa mechi hizi za watani wa jadi (Ile iliyopita juzi juzi) na hii inayofanyika Jumapili hii kule Kigoma. Maswali ni mengi kuliko majibu linapokuja suala la jukumu la...
1 Reactions
0 Replies
805 Views
Najua hii ni sehemu nyeti sana lakini hatunabudi kufahamishwa vizuri. Bado watanzania tupo katika mipasuko mikubwa mitatu. Sasa serikali inapaswa kuchukua hatua kabla huu ugonjwa haujashamiri...
0 Reactions
6 Replies
748 Views
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Zanzibar Ahmed Mazrui amesema wameanza kutoa chanjo ya COVID-19 kwa wahudumu wa Afya wa hospitali za serikali, Uwanja wa Ndege wa...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Kirusi cha Maambukizi ya #COVID19 aina ya Delta kimesambaa kwa haraka na kuyafikia Mataifa 104. Inaelezwa kuwa kimefika hata kwenye mataifa mabayo yalionekana kuanza kupunguza kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Maelfu ya mahujaji waliochomwa chanjo ya COVID-19 wamekusanyika mji mtakatifu wa Mecca kwa ibada ya Arafa, huku Wakizingatia umbali wa mtu na mtu na kuvalia barakoa wakati virusi vya corona...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kila nyakati ambapo corona inavuma maeneo mengi Basi angalia mwenendo wa biashara Duniani utagundua ushindani unakuwa mkubwa Kama ni nafasi za kazi Basi hutangazwa chache na waombaji wanakuwa...
0 Reactions
1 Replies
417 Views
Waziri wa afya wa uingereza amepata ugonjwa wa covid 19. Waziri huyo tayari amepata chanjo yote ya covid 19 kma inavyotakiwa lakini bado ameugua covid 19. Ni cases nyingi kama sio zote ambazo...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Hofu hufanya kazi kupooza, inaweza kukufanya uwe mgonjwa, inaweza kuingilia kati kinga yako dhidi ya maambukizo Wasiwasi unaweza kukufanya uwe mgonjwa, unaharibu na hudhoofisha kinga yako HAKUNA...
1 Reactions
9 Replies
918 Views
Wakuu wa nchi 13 za Afrika wamekutana Abidjan nchini Ivory Coast na kufanya mazungumzo ya jinsi ya kuhuisha uchumi kutokana na athari za virusi vya corona, kuongeza uwekezaji na upatikanaji wa...
0 Reactions
3 Replies
771 Views
Umoja wa Mataifa umesema jumla ya watoto milioni 23 hawajapata chanjo za kawaida na hivyo kuwaweka katika hatari ya kupata surua pamoja na magonjwa mengine hatari. Kwa mujibu wa takwimu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu...
57 Reactions
298 Replies
21K Views
Wadau, Kama mnavyokumbuka kuna kipindi viliibuka aina mpya za virusi vya korona vya kutoka South Africa, Brazil and UK. Virus hivi hasa kile cha SA vilisemekana kuwa hatali zaidi na kuna baadhi...
0 Reactions
7 Replies
783 Views
Habari zenu wapendwa natumaini mpo wazima wa Afya, Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu kuhusiano na ugonjwa wa uviko ulioanza mwanzoni mwa 2020 kwa Tanzania. Kwanza ningependa kufafanua...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom