Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ifike mahali wananchi waache kulialia na kuhitaji kila kitu bure. Hii nchi bado inajitafuta na hata kama tutajipata hatutaweza fikia azma ya kutoa huduma za afya bure. Zahanati, Vituo vya Afya na...
1 Reactions
10 Replies
396 Views
Leo tare 27.1.2025 serikali imefunga vyuo vikuu vilivyopo Dar es salaam kupisha suala la "Mkutano wa wakuu wa nchi" 🤧 pamoja na shughuli zingine za kiuchumi zimesimamishwa. Fikiria kwa wanachuo...
1 Reactions
26 Replies
803 Views
Habari zenu wanajamvi Miaka sita (6) iliyopita nilichukua mkopo bank ya CRDB kwa dhamana ya utumishi na marejesho yakiwa yanakatwa moja kwa moja kwenye mshahara, moja ya masharti ya ule mkopo...
21 Reactions
167 Replies
24K Views
1. Kama Taifa tunaelekea pazuri kwenye Utalii wa Mikutano ya Kimataifa. 2. Waziri wa Utalii na Mambo ya nje hawapaswi kulala kusaka hizi fursa za watalii wenye pesa kwa mfano hawa Energy summit...
0 Reactions
8 Replies
201 Views
Jana (Ijumaa) nikiwa kazini Kuna saa nilikosa Kazi (zilikua zimeisha). Nikawazaa, ghafla mawazo ya maisha ya UYATIMA niliyopitia yalinijia. Ni ndefu sanaa we somaa.! Japo siwezi kuyaandika...
167 Reactions
287 Replies
23K Views
Wanafunzi wa Kidato Cha Tatu Shule ya Sekondari Businda Wilayani Bukombe Mkoani Geita, wamepoteza maisha katika msiba, huku wengine 82 wakijeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa Masomoni Mkuu...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede. Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana. Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii...
11 Reactions
94 Replies
2K Views
Shikamoni Shimba ya Buyenze , Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wengine wote hamjamboni? Tofauti kidogo na Uzi wa mtaalam Kyambamasimbi hapa tutaangalia vijiji vizuri vyenye Amani, maziwa na...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni. Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu...
14 Reactions
64 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari. Je Pombe ni dhambi au ni haramu? Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu...
8 Reactions
111 Replies
6K Views
Salaam wakuu, kwanza nianze kusema kuwa Mimi ni shabiki mkubwa wa tajiri Bill Lugano. Tajiri huyu amekuwa akinipa hamasa kubwa kupitia hoja na machapisho yake Kuhusiana na utajiri wake yeye na...
15 Reactions
96 Replies
5K Views
Wakuu mimi huwa ninaposoma iwe kitabu,uzi,gazet biblia nk Kuna kasauti fulani hivi zinanijia za huyo muandishi yaan kasauti kanaongea ndani yangu kupitia uandishi wake Na hilo nilifanya...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Kisa Changu Kiko hivi, Kuna mzungu aliniomba urafiki Facebook baada ya kumkubalia akaniomba namba ya Whatsapp. Tukaanza kuwasiliana ndani ya siku mbili tatu akaahidi kunitumia mzigo ambao ni simu...
48 Reactions
171 Replies
4K Views
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Halmashauri ya Mji Kibaha iliyopo Mkoani Pwani kupandishwa hadhi na kuwa Manispaa. Uamuzi huo umetangazwa leo Januari 27...
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Si lengo langu kukufuru au kuzodoa bali kutaka kujua. Ukiangalia namna walivyokufa au kilichotokea baada ya vifo vyao, unatia shaka uhalali wa dini za kimapokea. Yesu kifo cha kikatili cha...
0 Reactions
3 Replies
136 Views
Bunduki hizi watoto wanazoona Kila siku kwenye TV? Zikiua watu? Vitoto vya darasa la Nne? Badala ya Kujibu mtihani kanabaki kuwaza mibunduki, pengine wanawaza watakufa? Acheni mazoea ya Kijinga...
12 Reactions
39 Replies
2K Views
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemkuta na kesi ya kujibu aliyekuwa mke wa mfanyabiashara wa madini mkoani Arusha, marehemu Erasto Msuya, maarufu kwa jina la Bilionea Msuya, Miriam Mrita...
7 Reactions
64 Replies
9K Views
OK Mtamwachia sasa, huyu Dada wa Msuya yeye alichinjwa na nani? Watesi wa Marehem huyu wako wapi? Alijichinja Mwenyewe? Ifike Mahali, madhaifu ya SHERIA zetu mbovu mbovu yasitumike kuondoa...
14 Reactions
72 Replies
7K Views
Back
Top Bottom