Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mwanzoni Miaka ya 2000 kila mvua iliponyesha wakati wa kuvuka Barabara tulikuwa tunalazimika kuvua viatu na kukunja nguo kisha tunavuka. Miaka zaidi ya 20 baadaye hali tuliyoizoea kuvuka kwenye...
1 Reactions
5 Replies
980 Views
Kuna njia ya hii ya utapeli ambapo mtu anatengeneza urafiki na wewe kupitia mtandaoni. Kadri siku zinavyoenda mnatengeneza ukaribu na ka imani kanaanza kukuingia kiasi fulani kuwa umepata rafiki...
26 Reactions
70 Replies
6K Views
Naomba ujumbe huu mfupi tu uwafikie wanaohusika kuwa hapa kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal), upande wa jengo la abiria na sehemu nyingine kadhaa hakuna umeme. Leo...
1 Reactions
7 Replies
509 Views
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba...
22 Reactions
257 Replies
30K Views
Habari! Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande. Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Imezoeleka watu kufahamu biashara haramu ya binadamu kama biashara inayofanyika kwa kuvuka mipaka, yaani kati ya nchi moja kwenda nchi nyingine, lakini ukweli ni kwamba biashara haramu ya binadamu...
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Picha kwa Hisani ya TRC Jamani nawapongeza kwa kupaza sauti na kwa taarifa mnazozitoa Jamii Forums, nyie ndio Chombo pekee cha Watanzania ambacho mnatupa nafasi ya kueleza kero zetu kwa uwazi...
1 Reactions
4 Replies
748 Views
Hospitali ya Mbagala Zakhem iliyopo Mbagala Dar es Salaam imekuwa kama ni sehemu ya kuwamaliza Watu, kuna mifano mingi tu kuhusu huduma zao kutokuwa na kiwango kizuri na hivyo kuwaathiri wengi...
1 Reactions
9 Replies
982 Views
Hospitali ya Rufaa ya Bugando iliyopo Jijini Mwanza ni moja ya Hospitali tegemezi zaidi kwa ukanda huu wa Ziwa na hata kwa mataifa ya Afrika Mashariki kutokana na namna walivyojipambanua kuwa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Anonymous
Najua nikitoa hapa kero yangu hapa Jukwaa la Fichua Uovu, kero yangu itafika kwa wahusika. Kero yetu/yangu kubwa ni kwa Wahudumu wa CRDB Tawi la Gongo la Mboto lililopo pale Mzambarauni Kiukweli...
11 Reactions
38 Replies
5K Views
Mimi ni miongoni mwa Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Kitengo cha utafiti KILIMANJARO CLINICAL RESEARCH INSTITUTE (KCRI). Katika kitengo hiki Waajiriwa wengi ni wale wa mkataba, kwani...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Tarehe 24/01/2024 Ndugu Hamis Athumani Mkazi wa eneo la Mashamba Pori, Kibaha Mkoani Pwani aliuliwa kwa kupigwa na machepe. Siku ya tukio Marehemu alikuwa nyumbani kwake eneo la Mashamba Pori...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Sehemu ya kula wasafiri pale Morogoro Msamvu njia ya kwenda Iringa ni chafu, vyakula vinavyouzwa vimelala siku mbili, chips ni nyeusiii sijui ni mafuta au ndio tunauziwa vyakula vya kulala! Na...
2 Reactions
14 Replies
965 Views
Serikali pamoja na watu wa Nyamongo njoo I hapa mtueleze shida ni ni ipi kati yenu na wawekezaji wa mgodi wa North Mara Kiasi kwamba vurugu Kila mara? Vurugu hizi zimekuwa zinachukua maisha ya...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Sisi Wananchi wa Mkoa wa Kigoma, Wilaya ya Buhigwe, Kijiji cha Mwayaya kwa sasa tunaishi kwa hofu na manyanyaso makubwa, tunafanyiwa ukatili mkubwa ambao hauvumiliki na hawa matapeli wanaojiita...
6 Reactions
17 Replies
3K Views
Anonymous
Baada ya Maktech kukosa tenda ya kituo cha usimamizi wa mtandao (NOC) Cha kampuni ya Vodacom, imetokea sintofahamu baada ya uongozi wa Maktech na Nokia kuwalazimisha wafanyakazi kuandika barua Ya...
3 Reactions
4 Replies
912 Views
Anonymous
Treni ya Mwakyembe imesitisha ratiba yake ndani ya wiki mbili sasa, Treni hiyo ambayo safari zake huwa ni kuanzia Tazara kuelekea Kigogo sokoni Jijini Dar es Salaam imekuwa msaada mkubwa kwetu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtandao ya simu imerahisisha huduma ya kulipa vitu mbalimbali ikiwemo malipo ya serikali na biashara binafsi. Ni kawaida kwa sasa kukuta biashara ina LIPA NAMBA ambapo mtu anaweza kulipa kwa namba...
8 Reactions
44 Replies
4K Views
Anonymous
Kivuko cha MV KOME II kinachofanya safari zake kati ya Nyakarilo na Kome Kisiwani katika Halmashauri ya Buchosa, Wilayani Sengerema naweza kusema kinawafanyia ukatili abiria wanao tumia usafiri...
1 Reactions
2 Replies
689 Views
Anonymous (32f7)
Nimejiuliza hivi Wakandarasi wanaojenga vituo vya mabasi huwa wanachaguliwa kwa kuangalia vigezo gani? Nasema hivyo kwa kuwa vituo vingi huwa vizuri vikiwa vipya tu baada ya muda changamoto...
0 Reactions
8 Replies
901 Views
Back
Top Bottom