Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari wana jf Ningependa kujua hali hii huwa inasababishwa na nini hasa Mfano, ishawahi kunitokea nipo na mwanamke mrembo sana, ana joto lakini siku niliyokutana naye kimapenzi aiseee baada ya...
2 Reactions
7 Replies
292 Views
Wadau hamjamboni nyote? Tutafute hela na muache wivuu English medium ni shule bora kabisa na huwezi linganisha na hizo st kayumbee Kwaherini
16 Reactions
84 Replies
2K Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake...
11 Reactions
178 Replies
15K Views
Too much of something is harmful. Ukishakuwa na uraibu wa ngono ina affect maisha yako katika nyanja za uchumi, afya, perception mbaya kutoka kwa jamii na afya ya mahusiano hususani ndoa...
4 Reactions
71 Replies
3K Views
Hii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka...
8 Reactions
44 Replies
3K Views
Katika Quran, kuna aya kadhaa ambazo zinaelezea hasara na madhara yanayowapata wale wanaofuata dini isiyokuwa ya Uislamu. Quran inasisitiza kwamba mafanikio ya kweli na wokovu hupatikana kwa...
26 Reactions
416 Replies
7K Views
Sisemi kwamba tuache kuwaangalia na hawa wa majumbani ( i.e. Kuziba Ukuta ni vema ili Kesho Tusijenge Ukuta...) Lakini atleast hawa wana wazazi / walezi wanaowalea ingawa tunasema eti wasiwachape...
3 Reactions
13 Replies
228 Views
Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni makosa kufikiria muda unakwenda. Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari Wewe ndiye unayeenda. Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako Ni wewe...
20 Reactions
22 Replies
600 Views
Ni kweli kabisa kwa sasa tunahitaji KATIBA MPYA mambo mengi sana ndani ya KATIBA ya MWAKA 1977, yameshapitwa na wakati na yanahitaji kufanyiwa marekebishi.hasa kuhusu huu mgawanyo wa serikali na...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Kama nyongeza hakuna ...hata ongezeko la mwaka (annual increment )hamna?? Sii kweli
5 Reactions
109 Replies
14K Views
Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka. Mkataba huo umesaniwa na Akram...
8 Reactions
133 Replies
5K Views
Sisi Wafanyabiashara wadogowadogo tuliokuwa tukifanya shughuli zetu za biashara katika eneo lililopo jirani na ofisi za World Oil eneo la Tungi Mnadani, Kigamboni hapa Dar es Salaam. Tulianza...
3 Reactions
93 Replies
2K Views
ORODHA YA WANUFAIKA WA 'SAMIA SCHOLARSHIP' NGAZI YA SHAHADA YA UMAHIRI YATANGAZWA Tsh. Milioni 623.2 zatumika kuwafadhili ■Jumla ya wanafunzi 80 wa Shahada za Uzamili katika Taasisi ya Sayansi...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Kuanzia katikati ya miaka ya themanini hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 huko mkoani Kigoma aliishi " fundi " mmoja aliye julikana kwa jina la Juma Njemba. Juma Njemba alikuwa MTU hatari sana...
114 Reactions
1K Replies
209K Views
Siku ya Jumatatu, Januari 20, 2025 Rais Samia, alithibitisha kuwa mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera. Leo imetoka taarifa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
187 Views
Habari wakuu! Najaribu kujaza taarifa kwa lengo la kupata control number kwenye mfumo wa Police loss report bila mafanikio. Kama kuna mtu aliyewahi pata changamoto kama yangu anaweza nishauri...
0 Reactions
2 Replies
141 Views
Huwa sio mpenzi wa siasa tangu mwaka 2010 niliachana na siasa kabisa kwa sababu kadhaa wa kadhaa. Ni warudishe nyumba kidogo mwaka 2020 Lissu alipokuwa akichuana na JPM kwa watu wa kanda ya ziwa...
2 Reactions
7 Replies
233 Views
Mbali na uhifadhi wa kisasa, Kigoma imeendelea kuwa kitovu cha biashara zinazochangia uchumi wa eneo hili. Soko la vyakula safi limeimarika, likihusisha biashara za ndani na zile za nje ya mkoa...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Kuna mda huwa tunafanya makosa mengi sana katika maisha tena mengine ya kujitakia kabisa ambayo ukiyakumbuka baadae unayajutia sana. Binafsi kama ningetumia mda vizuri ningekuwa mbali sana sana...
244 Reactions
558 Replies
57K Views
Back
Top Bottom