Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Upunguzwaji wa Mabebewa kiholela kwenye Treni ya Mwakyembe (Tazara - Mwakanga) ni kero kubwa kwa abiria, inajaza kupita kiasi na kuhatarisha Usalama wa abiria. Imekuwa hatari pia kwa magonjwa ya...
0 Reactions
2 Replies
457 Views
Desemba 24, 2010: Aliyekuwa Meneja Uhusiano wa TANESCO, Badra Masoud, alitangaza kuanza kwa Mgawo Mkali wa Siku 30 nchi nzima na kuahidi utaisha Januari 2011 Machi 2011: Aliyekuwa Meneja Uhusiano...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna tukio limetokea kwenye familia yetu hivi karibuni (Februari hii 2024), baada ya kufikiria nikaona ni vema nishee na watu ili pengine inaweza kuwa sehemu ya kuiamsha Serikali na Jamii kwa...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
Nikiwa mmoja ya vijana walio katika program ya BBT LIFE iliyo chini ya wizara ya Mifugo na uvuvi napenda kusema haya nikiwa na uchungu wenye kuumiza, Vijana wenu mnawatumia kisiasa. Kwanini...
1 Reactions
3 Replies
775 Views
Nawapa alarm TAKUKURU, Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoa wa Pwani inanuka wizi wa fedha za wananchi kupitia urasimishaji wa makazi na upimaji wa viwanja katika kata mbalimbali ndani ya Mji wa...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Sisi wakazi wa Isyesye iliyoko mkoa wa Mbeya tunashida moja na TANESCO, hatukatai kuna mgawo wa umeme lakini kuna kero moja inayotukwaza sana wananchi: Umeme umewekwa kwa zamu lakini cha...
1 Reactions
10 Replies
450 Views
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na viashiria vya wauzaji wa nyama wengi mkoani Kagera hususani Manispaa ya Bukoba kutumia dawa mbalimbali kupulizia nyama ili kuepusha nzi wasisogelee pamoja...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Siku chache baada ya kutitia kwa Mgodi ya dhahabu wa Ikinabushu, Wilaya ya Bariadi Mkoani na kusababisha vifo vya wachimbaji 22, kuna mapya yameibuka ambayo ni nyuma ya pazia ya kilichotokea kabla...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Mamlaka husika waje walitazame usalama wa daraja dogo linalounganisha mawasiliano kutoka Boko Magengeni na Bulumawe linalopatika Kata ya Bunju ambalo lipo hatarini kubomoka kutokana na mvua kubwa...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Habari za muda tena, heri ya siku ya mapinduzi. Moja kwa moja kwenye mada, jana nikiwa katika harakati za kutafuta mkate wa siku muda wa saa 4 asubuhi nilianza kuhisi maumivu jicho la kulia kadri...
7 Reactions
91 Replies
45K Views
Naomba tufikishie kilio chetu sisi maagent wafanyakazi wa TRA ukienda floor namba 10 utakuta foleni kama wanangoja mwendokasi kupata huduma, wakati kuna mfumo upo kwa system ingesaidia kumaliza...
0 Reactions
9 Replies
513 Views
Kuna kampuni inaitwa SUMA JKT ni wababaishaji sana. Katika Bandari ya Tanga wanalipa vibarua kwa mateso, vibarua hawalipwi kwa wakati pesa zao. Kingine pesa za PSSSF; mtu pesa alioingiza kwa...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Nimeona hili habari, isome kisha nami nitatoa maoni yangu... Zahanati ya Mashati, Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro, iliyotajwa kujengwa zaidi ya miaka tisini iliyopita ipo hatarini kuanguka...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Anonymous
Eneo la Kawe katika Kituo cha Daladala cha Maringo kuna hali ambayo imekuwa ikinikera kwa muda mrefu, mitaro inayopotisha maji inazibwa kwa makusudu kwa kutumia viroba na vijana wanaofanya...
4 Reactions
9 Replies
839 Views
Habari Wakuu? Nimepita Mitaa ya Mikocheni leo na kukuta Kituo cha Mafuta cha Barrel kilichopo Mikocheni kinaendelea kufanya kazi ikiwa ni takriban mwezi mmoja tangu Waziri wa Ardhi, Nyumba na...
1 Reactions
9 Replies
718 Views
Mimi ni mkazi wa Mwanza, Wilaya ya Ilemela naomba msaada kwa mamlaka zinazohusika kuhusu ndugu yetu. Kuna ile habari ya yule kijana aliyekamatwa Namtumbo (Ruvuma) kwa kosa la kuhubiri watu...
2 Reactions
12 Replies
707 Views
Mimi ni mdau niliye ndani ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC SAME) Kumekuwa na changamoto ya Mkuu wa Chuo kutopenda kuhojiwa kuhusiana na masuala ya matumizi ya fedha. Hali hiyo imesababisha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mara nyingine tena, Jeshi la Polisi Mkoani Simiyu linatuhumiwa kuhusika katika kifo cha Mwananchi aliyekamatwa na Askari Polisi kisha kudaiwa kumpiga na kumsababishia maumivu makali na...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Ni mara nyingi nimeona haya magari ya wanaokusanya taka mitaani, na wale wanaopitia taka majumbani wakifanya kazi zao katika mazingira hatarishi yasiyojali afya ya ya watu wale. Wamekuwa wakizoa...
2 Reactions
4 Replies
901 Views
Kuna vitu vinaumiza na kukera sana kwenye jiji la Dar es Salaam. Hali ya Masoko yake ni mbaya mno, ni ajabu sana kuamini Masoko haya yapo Dar es Salaam, sehemu inayoongoza kwa makusanyo nchi...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Back
Top Bottom