Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kuna utaratibu umezoeleka kwa Askari wa Usalama Barabarani (Trafiki) kusimamisha Magari na kutaka Madereva au kama ni Daladala basi Kondakta amfuate alipo bila hata kukagua Gari. Huu utaratibu...
0 Reactions
1 Replies
336 Views
Benki kuu ya Tanzania ni taasisi kubwa na yenye heshima kubwa. Kuna jambo silielewi, sisi tuna madai yetu ya pesa za likizo za mwezi wa 12 mwaka jana. Hatujalipwa mpaka leo. Tukifuatilia kwa...
0 Reactions
3 Replies
414 Views
Dampo lililopo kwenye soko la Stereo hapa Tekeme, Dar es Salaam ambapo ni sehemu kwa Wauzaji wa soko hili kuhifadhi takataka baada ya wao kufanya usafi kwenye maeneo yao, limekuwa ni kero kubwa...
1 Reactions
0 Replies
725 Views
Habari wadau. Kumekuwa na wimbi la wafanyakazi wa NHIF waliopo mahospitali kuwataka wazazi wabadilishe vitambulisho vya watoto kwakuwa picha zilizopo kwenye vitambulisho hazifanani na watoto...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto kubwa ya mizigo kuchelewa, hii ni kero ambayo imekuwepo kwa miezi kadhaa sasa na Serikali na mamlaka zipo kimya, kiasi kwamba imefikia hatua baadhi ya watu...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Mimi ni Mkazi wa Arusha, nina kero kuhusu Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA), hapa Lemara kuhusu suala la kuunganishiwa maji. Awali, tulivyofanya maombi ya kuunganishiwa...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Hali ya masoko kwa kweli ni mbaya sana, yaani unaweza kununua bidhaa ukaharibu viatu na ukapata magonjwa mazingira ya masoko yetu. Kila mfanya biashara analipa ushuru wa kuwepo sokoni, hata hivyo...
10 Reactions
53 Replies
7K Views
BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa. Brela wamekuwa wanafanya masahihisho...
8 Reactions
46 Replies
3K Views
Mlembea, ni moja ya Shule ya Serikali iliyopo Wilaya ya Rombo katika Tarafa ya Mashati Mkoani Kilimanjaro ambapo kwa Mwaka huu wa 2024 imeandikisha Wanafunzi watatu tu (3) kuingia darasa la kwanza...
10 Reactions
35 Replies
4K Views
Kuna tatizo tunaomba Serikali, Jamii na hasa mamlaka husika zifahamu ili hatua zichukuliwe, ni kuhusu kero ya joto kutokana na msongamano wa watu Kivukoni Jijini Dar es Salaam. Abiria tunaotumia...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali. Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu...
11 Reactions
72 Replies
7K Views
Mvua zimeleta majanga na kuacha majanga. Lakini Mvua zisingekuwa na maafa makubwa kama tungekuwa na mifumo mizuri ya maji taka. Kwa kuwa na mifumo mibovu maji yamejitengenezea njia zake na...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakazi wa Sinza tunawaomba uongozi wa juu kuchukua hatuola stahiki kwa uongozi ulipo sasa kuanzia ngazi ya Diwani kuja hadi serikali za mitaa kwakuwa wameshindwa kusimamia zoezi la uzoaji taka...
0 Reactions
1 Replies
301 Views
Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Pwani, napatikana Kijiji kinaitwa Mipeko ambacho kipo Wilayani Mkuranga karibu na Mbande ya Mbagala ya Dar es Salaam, hali yetu ya usalama wa Barabara ni mbaya. Barabara...
1 Reactions
4 Replies
760 Views
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/. Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo...
10 Reactions
126 Replies
10K Views
Kuna baadhi ya Maafisa wa TRA, TAA upande wa Airport Export wanasumbua wateja. Bila ya kuwatoa hupati release ya mzigo wako na watu wale Security wa TAA ndo kabisa usipowapa hela wanaweza ficha...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wafanyakazi wa mgodi wa Dhahabu CATA MINING uilioko Kijiji Katalyo Wilayani Butiama Mkoani Mara, wameanza mgomo wa kutofanya kazi na kuamua kulala katika ofisi za mgodi huo, wakishinikiza uongozi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau! Hivi kweli nchi inayopigia kelele kukuza utalii iko gizani Kwa kiwango hiki Jiji la Arusha tangu asubuhi Hakuna umeme hadi sasa hivi. Jitafakarini enyi wenye dhamana
2 Reactions
10 Replies
621 Views
Mradi wa REA uliopo TANGA, LUSHOTO BUMBULI, kata ya FUNTA kijiji cha MANGA. Ni mwaka wa 3 mradi haujakamilika. Tulifika mpaka TANESCO wilaya kuwaeleza hawajafanya chochote (kama pesa za mradi...
1 Reactions
2 Replies
440 Views
Hii Barabara ina Kibao cha ujenzi wa Lami tangu enzi za JPM. Lakini mpaka sasa haieleweki lini litafanyika zoezi hilo. Barabara inaendelea kuharibika kila kukicha kutokana na mvua za kila siku...
0 Reactions
0 Replies
352 Views
Back
Top Bottom