Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ndugu zangu kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya...
3 Reactions
68 Replies
8K Views
Wanafunzi wa Kidato cha 1 kwa mwaka wa masomo 2022 ambao wameanza kutumia madarasa mapya yaliyojengwa kutokana na fedha za mpango wa maendeleo kwa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19. Tukio...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wameitaja Dawa ya Baricitinib kutumika kutibu Wagonjwa mahututi wa COVID-19 na dawa ya Sotrovimab kutumika kwa walio na Corona isiyo kali Dawa hizo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwezi wa 9/2021 mimi nilichanjwa chanjo ya Uviko19 aina ya J&J. Baada ya kuchanjwa binafsi sijapata usumbufu wowote Lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa 12/2021 nilianza kuona mabadiliko makuu...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Moja kati ya sehemu ambayo napenda kuisoma ni RT ambao wamekuwa wakiripoti vitu kwa uhuru wote, hadi sasa ni wao ambao wanaripoti kuhusu maandamano yanayoendelea nchi za Ulaya ya watu ambao...
3 Reactions
3 Replies
626 Views
Hivi mpaka sasa mnaweza kunambia faida za chanjo? Nauliza maana naona waliochomwa na wasiochomwa ni sawa tu maana kila wimbi nao tumo nao tu na kuugua kama sisi tu,ikitokea inafyeka nao...
2 Reactions
3 Replies
532 Views
Watafiti wa Imperial College of London wamebaini watu wenye T-Cells nyingi wana uwezekano mdogo wa kupata Corona Wamebaini kuwa mwili unapokuwa umeathiriwa na aina nyingine ya virusi kama kwenye...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Ni miaka miwili sasa tangu virusi vya Covid vigundulike duniani na baadaye kuwa janga, lakini ni sasa ambapo uwezekano wa athari za ugonjwa huu kwa uwezo wa kuzaa wa wanaume zimefichuliwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kirusi kipya cha korona kilichotokana na muunganiko wa virusi vya delta na omicron kimegunduliwa huko nchini Cyprus Kirusi hicho kipya kilichopewa jina la Deltacron mpaka sasa kimegundulika kwa...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukiziImage caption: Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukizi Kituo cha uchibiti na kuzuwia magonjwa cha Afrika...
0 Reactions
2 Replies
909 Views
Mshauri wa Masuala ya Kitabubi wa Ikulu ya Marekani, Dr. Anthony Fauci amesema tafiti za kuhusu watoto wa miezi 6 hadi miaka 5 kuoatiwa chanjo ya #COVID19 zinaendelea Kwa sasa watoto wanaopatiwa...
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Ufaransa imeripoti aina mpya kirusi cha corona ambacho ni B.1.640.2 au IHU ambacho kina mabadiliko 46 Kama Shirika la Afya Duniani (WHO) litathibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa ' Pi'...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Aina mpya ya virusi vya corona vya Omicron vinaenea kwa kasi duniani kote. Je, ni dalili gani watu wakipata wanapaswa kuchukua hatua? Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu bado wanapaswa...
10 Reactions
26 Replies
3K Views
Polepole: Moja, Polepole yeye anasema kuwa corona ni ugonjwa uliotengenezwa na big pharma ili yapige pesa. Kuwa mabeberu wanaachana na kuvamia nchi kuiba mafuta na sasa wanatengeneza magonjwa ili...
3 Reactions
78 Replies
5K Views
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona Waziri Mazrui ana dalili za wazi ikiwemo homa kali na maumivu ya viungo. Amelazimika kupumzika...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Shirika la Afya Duniani limeweka bayana dalili za COVID-19 ambazo hutokea kwa watu wachache. Dalili hizo zinatajwa kuwa ni: Kupata maumivu ya kichwa Kuwashwa kooni Kupata maumivu sehemu...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Chukueni tahadhari, hiki kitu kimebeba hadi marais... ========= Eighty nine people have on December 24 tested positive for Covid-19 including 38 doctors and nurses at Mnazi Mmoja Referral...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
(1)Hakuna Sayansi Duniani ambayo inaruhusu chanjo kwa Mtu/Watu wazima, hakuna hii kitu, Wala hakuna Sayansi ya namna hii Duniani. (2) Kisayansi chanjo inahusu watoto, ukifosi Chanjo au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eneo lote huku ukanda wa pwani, ni karibu kila familia inauguza, kama sio kila mtu kuugua Mafia iliyochanganyika na homa, kchwa, kiuno n.k Kila mtu ukimsalimu anasema anajisikia homa, sijui...
0 Reactions
11 Replies
749 Views
Mwisho wa mwaka kuna makabila yanapenda sana kumalizia kwao. Yani wanatoka mjini wanarudi walikozaliwa. Kwa hali jinsi ilivyo vikohozi,kifua pamoja na mlipuko wa nne wa UVIKO-19 yan kirusi cha...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom