International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Umoja wa Mataifa umesema janga la virusi vya corona halikupunguza kasi ya mabadiliko ya tabianchi. Katika ripoti iliyotolewa na umoja huo leo Alhamisi, imearifiwa kuwa utoaji wa hewa chafu ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kundi la Wanasayansi wa Kimataifa limesema Chanjo za nyongeza (Booster shots) dhidi ya Virusi vya Corona hazihitajiki kwa Umma katika hatua hii ya mlipuko na ushahidi zaidi unahitajika...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais Cyril Ramaphosa amesema Kanuni zilizowekwa kudhibiti mlipuko zitalegezwa kuanzia leo Septemba 13, 2021 kutokana na maambukizi kupungua. Amesema japokuwa Wimbi la Tatu ambalo limechochewa na...
0 Reactions
1 Replies
988 Views
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu...
9 Reactions
63 Replies
5K Views
Mamlaka za afya nchini Malawi Jumatano zimesema kwamba kusita kwa watu kupokea chanjo za Covid nchini humo huenda kukapelekea maelfu ya dozi kuharibika ifikapo mwanzoni mwa mwezi ujao. Kufikia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wafanyakazi wa Serikali nchini Zimbabwe wametakiwa kupata chanjo ya COVID-19, vinginevyo wametakiwa kujiuzulu. Waziri wa Katiba wa Nchi hiyo, Ziyambi Ziyambi amekiambia kituo cha Redio cha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Joe Biden Rais wa Marekani Joe Biden Alhamisi jioni amekashifu wanaopinga chanjo ya Covid hapa Marekani, wakati akitangaza kanuni mpya ambazo zinawataka karibu wafanyakazi wote...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
After Portugal, now Sweden has become the second European nation to ban travellers from the most vaccinated nation Israel. Sweden also banned the entry of citizens from the United States, Kosovo...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Wiki chache zilizopita zimeshuhudia ongezeko la usambazaji wa chanjo za covid-19, hasa kwa nchi zinazoendelea. Foleni ndefu za watu wanaojipanga kupewa chanjo zinaendelea katika vituo vingi vya...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Marekani imechanja zaidi ya 50% ya watu wake ambao wanastahili kuchanjwa lakini karibu watu milioni 100 wenye sifa ya kuchanja wamegoma kuchanja ama hawajachanja hadi sasa. Kutokana na covid...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwanaume mmoja huko Vietnamese amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani kwa kosa la kukiuka masharti dhidi ya kujikinga na Covid-19 na kusambaza virusi vya Corona. Mahakama imemkuta na hatia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamhuri ya kidemokrasia yaCongo imepokeadozi250,000 za chanjo ya Corona aina yaModerna. Ni mara ya kwanza DRC kupokea chanjo nyingine isioyokuwa ya AstraZeneca. Rais wa DRC, Felix Tshisekedi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The United Kingdom changes the classification of COVID-19 from serious infectious epidemics to regular communicable diseases...
0 Reactions
3 Replies
656 Views
Taifa hilo limeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya COVID-19 ya Moderna kwa Watoto wa kuanzia umri wa miaka 12 hadi 17. Kwa mujibu wa takwimu za WHO, Ufilipino imerekodi maambukizi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais wa Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema Umoja huo umefanikiwa kuwapa chanjo kamili asilimia 70 ya watu ambao ni zaidi ya watu milioni 250 ndani ya Umoja huo. Katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais wa Botswana amemsimamisha kazi kwa mwezi mmoja Waziri Msaidizi wa Afya, Sethomo Lelatisitswe, kwa kukiuka taratibu zilizowekwa ili kudhibiti maambukizi ya COVID19. Serikali Nchini humo...
0 Reactions
2 Replies
35K Views
Watafiti nchini Brazil wamegundua aina ya nyoka ya jararacussu ambaye sumu yake ina protini ambzo zinavyoweza kupambana na #COVID19 Vitu vinavyopatikana katika sumu ya Jararacussu inaweza...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Japan ilisitisha utumiaji wa dozi karibu milioni 1.63 za chanjo iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya Marekani ya Moderna dhidi ya corona (covid-19) baada ya vitu visivyojulikana kugunduliwa...
12 Reactions
107 Replies
9K Views
A Texas man who had organized a “Freedom Rally” in protest of COVID-19 restriction is now on a ventilator after becoming infected with COVID, according to his pregnant wife. On Wednesday, Jessica...
1 Reactions
11 Replies
991 Views
Kwa mara ya kwanza tangu mlipuko wa Virusi vya Corona kuanza, Taifa hilo limerekodi visa vipya zaidi ya 1,000 huku Hospitali mbili ambazo ni kubwa zaidi Jijini Sydney zikiweka mahema nje ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom