International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi na mke wake Isaura Nyusi wamekutwa na virusi vya corona na wamejitenga kwa sasa. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya rais Bw. Nyusi na mke wake wameamua kujitenga...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwanamke mjamzito nchini Israel ambaye hakupata chanjo ya corona amegundulika kuwa na mchanganyo wa mafua(flu) na corona ambayo yanaitwa 'Flurona' Mchanganyo wa magonjwa hayo umetajwa kuwa hatari...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Watu wenye umri wa kuanzia miaka 60 wameanza kupewa 'booster' ya pili ambayo inafanya iwe chanjo ya nne ya #COVID19 Misululu ya watu imeonekana katika Vituo vya Afya mjini Tel Aviv ili kupata...
1 Reactions
1 Replies
758 Views
Mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimesema zitapiga marufuku Raia ambao hawajapata Chanjo dhidi ya COVID19 kusafiri nje. Waliopata chanjo kikamilifu wanatakiwa kupata ya nyongeza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Taifa hilo limeondoa marufuku ya watu kuwa nje kuanzia saa saa sita usiku hadi 10 alfajiri. Vilevile, mikusanyiko ya ndani haitakiwi kuzidi watu 1,000 na ya nje watu 2,000 Pia, Serikali...
1 Reactions
3 Replies
857 Views
Fadhili Mpunji Katika kipindi cha kuelekea sikukuu ya Krismas kumetokea wimbi kubwa la maambukizi ya COVID-19 katika bara la Ulaya na Amerika ya kaskazini hasa Marekani. Wimbo hili limetajwa...
2 Reactions
3 Replies
540 Views
Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO limesema leo kwamba athari inayotokana na aina mpya ya kirusi cha Omicron bado iko juu baada ya idadi ya maambukizo ya virusi vya corona kuongezeka kwa asilimia 11...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kanuni mpya za kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya COVID19 yatokanayo na Kirusi cha Omicron zimetangazwa Nchini humo Waziri Mkuu wa Ufaransa, Jean Castex amesema kuanzia Januari 03, kufanyia...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya leo imepitisha sheria ambazo zitafanya cheti cha covid-19 cha Umoja huo kuwa halali kwa usafiri miezi tisa baada ya kukamilika kwa ratiba ya kimsingi ya chanjo...
0 Reactions
4 Replies
906 Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Majanga ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuzuia ndege kutoka Tanzania kutua kuanzia Desemba 25 kutokana na kuongezeka kwa visa vya Kirusi cha Omicron. Nchi...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Chanjo dhidi ya COVID19 ambazo tayari zipo bado zinapaswa kuwalinda watu wanaopata maambukizi ya Kirusi cha Omicron, na hakuna dalili aina hiyo mpya inakataa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wizara ya Afya ya India imeripoti kuwa na jumla ya maambukizi 200 ya Omicron na maambukizi ya aina nyingine za COVID-19 yakiwa 5,326 yaliyorekodiwa saa 24 zilizopita Aidha vifo vipya 453...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni inayotoa chanjo ya Johnson&Johnson imetangaza chanjo yake ya pili ama booster vaccine ambayo itatolewa kwa watu wote waliochanjwa dozi ya awali ili kuupa mwili nguvu zaidi kupambana na...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amepimwa na kukutwa na Covid-19 na anatibiwa kwa dalili zisizo kali. Bw Ramaphosa alianza kujisikia vibaya siku ya Jumapili baada ya kuondoka katika ibada ya...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Maafisa nchini Ghana wamesema kuwa ndege ambazo zinawasafirisha raia wa kigeni ambao hawajachanjwa ndani ya taifa hilo zitapigwa faini ya dola$3,500 (£2,600) kwa kila msafiri. Makamouni ya ndege...
0 Reactions
4 Replies
881 Views
Austria imeondoa leo vizuizi kwa watu waliopata chanjo kote nchini humo, wiki tatu baada ya kutangaza upya masharti makali ya kupambana na kupanda kwa wimbi la maambukizi ya virusi vya corona...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Bunge la Ujerumani limepiga kura kuifanya chanjo dhidi ya virusi vya corona kuwa sharti la kisheria kwa wafanyakazi wa sekta ya afya kuanzia mwezi Machi mwaka ujao. Muswada wa sheria hiyo...
1 Reactions
1 Replies
830 Views
Serikali ya Ghana imesema kwamba wasafiri wote wanaoingia nchini humo kuanzia saa sita usiku jumapili hii, wanastahili kuwa wamepokea chanjo dhidi ya virusi vya Corona. Wizara ya huduma za afya...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Shirika la afya duniani WHO, leo limeelezea wasiwasi kwamba mataifa tajiri yanayotishiwa na kuzuka kwa aina mpya ya kirusi cha Omicron huenda yakahodhi chanjo za ugonjwa wa COVID-19 na kutatiza...
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Ripoti mpya ya taasisi ya kimataifa inayohusika na amani SIPRI inasema watengenezaji wakubwa wa silaha duniani kwa kiasi kikubwa waliepuka anguko la kiuchumi lililosababishwa na janga la Covid-19...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom