International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Maafisa wa afya nchini Afrika kusini wamesema serikali imeomba makampuni ya Johnson and Johnson na Pfizer kuchelewesha utoaji wa chanjo za Covid 19 kwa sababu kwa sasa inazo nyingi kwenye maghala...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Uholanzi imeanza hii leo kuwapeleka wagonjwa wa Covid 19 nchini Ujerumani kutibiwa ili kupunguza shinikizo kubwa linalozizonga hospitali za nchi hiyo zilizoko katika hali mbaya ya kukabiliana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza kuchanja raia wake wote na busta juu. Inakuwaje tena inaongoza kwa maambukizi ya virusi vya corona hadi kufikia watu elfu 50 kwa siku?
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Shirika la Msalaba Mwekundu limesema athari za janga la COVID19 kijamii na kiuchumi zimewaathiri zaidi Wanawake ulimwenguni kote. Kwa mujibu wa Ripoti hiyo, Wanawake wameathiriwa zaidi na upotevu...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Bunge la Ujerumani limeidhinisha sheria mpya za kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya Corona. Hatua hiyo imechukuliwa leo wakati Kansela Angela Merkel anayekaimu serikali, akijiandaa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Austria imekuwa nchi ya kwanza katika Ulaya Magharibi kutangaza tena hatua za kusitishwa shughuli za nchi kupambana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona. Kansela wa Austria Alexander...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Umoja wa Mataifa umetoa rai kwa China kumwachia huru Zhang Zhan (38) ambaye alihukumiwa kifungo baada ya kuhoji namna Mamlaka zinavyoshughulikia mlipuko wa COVID19. Zhang alisafiri kwenda Wuhan...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Ujerumani hii leo imetangaza idadi ya juu kabisa ya maambukizi ya virusi vya corona wakati ikipambana na wimbi la nne la maambukizi lililoibuka tangu mwishoni mwa mwezi Oktoba. Taasisi ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
LONDON — Drugmaker Pfizer Inc. has signed a deal with a U.N.-backed group to allow other manufacturers to make its experimental Covid-19 pill, a move that could make the treatment available to...
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Marufuku kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Umma kuingia Ofisini ikiwa hawajachanjwa na kupimwa COVID-19 imeanza kutekelezwa Nchini humo Imeelezwa kuanzia Desemba 01, 2021 Wananchi hawatoweza kuingia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali ya Austria imeweka 'Lockdown' ya Nchi nzima kwa watu wasiopata chanjo dhidi ya CoronaVirus. Hatua hiyo inalenga kupunguza kasi ya maambukizi katika Taifa hilo. Mamlaka zimekuwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wimbi la 4 la corona laitikisa Ujerumani watengenezaji wa chanjo Pfizer 11.11.2021 Ujerumani imeripoti kiwango cha juu kabisa cha maambukizi ya virusi vya corona kwa siku moja, baada ya zaidi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Data mpya zilizotolewa Nchini Marekani zinasema Watu wanaokwenda hospitali kupata huduma za kawaida (sio za CoronaVirus) wanakuwa kwenye hatari ya kupata Maambukizi ya Virusi hivyo Data hizo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi karibuni baadhi ya vyombo vya habari za nchi za magharibi vimejaribu kuibeza China kwa kusema sasa itabaki peke yake kwenye iliyokuwa ngome ya nchi zinazotekeleza sera ya maambukizi sifuri ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Idadi ya kila siku ya maambukizo mapya ya virusi vya corona nchini Ujerumani imefika kileleni. Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya kuambukiza, Robert Koch, imerikodi maambukizi mapya 33,949 ndani ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Costa Rica yaiorodhosha Corona kama ugonjwa ambao chanjo zake zinatolewa kwa watoto kwa mujibu wa sheria ambapo wazazi wanaweza kuadhibiwa kwa kutotii amri hiyo Utoaji wa chanjo kwa watoto...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ulaya imetajwa kuwa kitovu cha mlipuko wa Virusi vya Corona kwa mara nyingine, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likionya kuwa Bara hilo ambalo linashuhudia ongezeko kubwa la maambukizi linaweza...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Taifa hilo limeidhinisha Chanjo dhidi ya COVID19 ya Pfizer/BioNtech kwa Watoto walio na umri wa miaka 5 - 11, ikielezwa Wataalamu wamebaini ina ufanisi wa 91% katika kuzuia Ugonjwa huo kwa Watoto...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Taifa hilo limesema Ripoti ya hivi karibuni ya Marekani inayosema huenda janga la COVID-19 lilianzia maabara sio ya kisayansi na inakosa uaminifu. China imekuwa ikikataa madai kuwa Virusi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa Kundi la mataifa 20 yaliostawi na yanayoinukia kiuchumi G20 yana uwezo wa kuzuia janga la virusi vya corona kuenea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom