JamiiCheck - Tanzania

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

JF Prefixes:

Mwaka 2010 FIFA walimpatia nafasi Shakira ya kuandaa na kuimba wimbo maalumu kwa ajili ya michuano ya kombe la Dunia ya mwaka 2010 iliyofanyika Afrika ya Kusini. Kwa taarifa za juu ni kwamba Shakira Isabel Mebarak alitupiga na kitu kizito kwani alifanya sampling na kuiba melody ya wimbo wa "Zangaléwa" uliokuwa ni utunzi wa Kundi kutoka Kameruni la Golden Sounds, na kutuletea Waka Waka. Sijajua kama ni kweli ila nahitaji kupata ufafauzi kidogo kutoka kwa Jamii Check. --- Video yenye ufafanuzi wa Asili ya ala za muziki zilizotumika kwenye Waka Waka (This Time for Africa)
Nimepata kusikia kuwa endapo nyoka akiingia ndani ya makazi ya mtu au nyumba basi njia bora zaidi ya kumtoa bila kumdhuru ni kuchoma kitu cha plastic kama mifuko au ndala na ile harufu inamfanya atoke ndani. Je ni kweli dhana hii? Je, ni kuchoma mifuko ya plastic au bidhaa iliyotengenezwa na plastic kunaweza kumfanya nyoka atoke ndani ya nyumba?
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ametoa kauli yenye utata kuhusu Afrika, akisema, “Afrika ni makaburi kwa Waafrika. Inawezekanaje makaburi yakastawi?” Putin ameeleza kuwa Waafrika waliofanikiwa huweka fedha zao Uswisi, hupata matibabu Ufaransa, huwekeza Ujerumani, hununua bidhaa Dubai, hutumia bidhaa za Kichina, husali Roma au Mecca, watoto wao husoma Ulaya, na husafiri kwenda Canada, Marekani, na Ulaya kwa utalii. “Wanapofariki, huzikwa Afrika,” amesema Putin.
Kwenye hii video Manara anadai kuna Fact ambayo haisemwi kuwa Simba ilianza kuuza jezi na tiketi wiki 5 nyuma. Yanga wametumia wiki 1 tu kuuza tiketi na jezi na zimeisha, huku akisema kuna propaganda ambazo yeye alikuwa anatumia huenda ndio Simba wametumia kuonesha wamemaliza tiketi zao( Sold out) Anesena wana Yanga wajipongeze kwa kumaliza tiketi hizo kihalali. Je, Ni kweli Simba walianza kuuza Tiketi wiki 5 nyuma? Jamiicheck naomba msaada hapa tupate ukweli.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…