JamiiCheck - Tanzania

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

JF Prefixes:

Salaam ndugu zangu, Nimekutana na video fupi ikionesha Rais wa TFF Wallace Karia akisema kwamba itakuwa si vizuri kwa Yanga kwenda na ndege ya Rais baada ya kupoteza mchezo. Je, kuna ukweli wowote wa juu ya hili? Tusaidieni kumhoji Picha1: Sehemu ya Tweet inayomlaumu Rais Karia kwa kauli aliyotoa Picha2: Sehemu ya Ujumbe wa Instagram ukimlaumu Rais Karia kwa kauli aliyotoa Picha3: Sehemu ya ujumbe wa Ali Kamwe akikanusha uvumi unaoenea dhidi ya Rais wa TFF Video namba 1 Video namba 2 Video namba 3
Picha moja iliyosambaa mtandaoni – ikiwemo hapa JamiiForums – inamuonesha mwanaume mmoja akiwa katika hali mbaya ya kiafya. Maelezo katika picha hiyo yameandikwa kwa lugha ya Kiarabu yakieleza: “Kutoka tetemeko la ardhi la Februari 6, leo ametolewa chini ya vifusi huko Antakya, Uturuki hai na akiwa vizuri. Utukufu ni wa Mungu.” Picha ya sasa ya Ahmed Al-Sousi (Chanzo: An-Nahar)
Kumezuka tabia ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro kujihusisha na utapeli kwa kuchukua fedha za watu (wadau) wakidai ni gharama za kutuma habari lakini kinachotokea ni wizi mtupu. Juzi mama mmoja wa Uru Mjini wilaya ya Moshi Vijijini ametoa Tsh. laki 4 kwa waandishi wa habari wanne ili waripoti tukio la mtoto wake mwenye Utindio wa ubongo kubakwa na kupewa ujauzito, mpaka sasa waandhi hao watatu wa TV na mmoja wa gazeti wameshindwa kutoa habari yake. Huu ni utapeli wa aina yake, ni jukumu la viongozi wa Press Club kilimanjaro kuchukua hatua dhidi ya waandishi hawa ambao ni wanachama wenu na hata kama si wanachama wenu wanachafua tasnia ya habari. Ni hayo tu kwa leo, wasiporudisha tunawaanika chap ili vyombo vya vichukue...
Back
Top Bottom