Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

I was privileged to watch Honourable Didas Masaburi, His Worship the Mayor of Dar es Salaam, firing a salvo with a lot of gusto, at some Members of Parliament who blew the whistle on the UDA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari vipi wandugu? Ndugu zangu wana JF naomba kuwaulizeni kuwa wewe umelisaidia vipi taifa lako? Mkoa wako? Wilaya/jimbo lako? Tarafa yako? Kata yako? Mtaa/kijiji chako? Au mnaishia tu kuandika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kazi ya msanii ni kuburudisha na kufundisha. Hivi tukiwaangalia wasanii wetu wanayatimiza vipi mambo haya mawili na mhimu? Ukiachilia Mpoto, Wagosi wa kaya, Mr. 2, Roma (huyu anatisha kwa maana...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia amepinga vikali utafiti uliofanywa na Synovate na kuonyesha vyama vya upinzani vikiongozwa na Chadena wanaungwa mkono zaidi dhidi ya CCM. Ifuatayo ni sehemu ya...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Dk Slaa amtaka Jk ataje waliopewa Sh1.7 trilioni By Beatus Kagashe, Iringa MGOMBEA wa urais wa Muungano kwa tiketi ya Chadema , Dk Willibrod Slaa mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete kuwaeleza...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Kufuatia uamuzi wa chadema kumwandikia barua ya onyo Mbunge wa Maswa Mashariki John Shibuda pia mkumtishia kumvua uanachama mbunge huyo, ndani ya wiki hii kumekua na mzagao wa maneno kwamba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
I have keenly followed the debates in the house, among other things, the question on union between Tanganyika and Zanzibar, both sovereign countries. While I despise those questioning the motives...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
natamani siku moja hawa watu wakutanishwe uso kwa uso ili kila mmoja ajibu hoja na shutuma kibao ambazo wamekuwa wakitupiana kwenye majukwaa ya siasa huku kila mmoja akimshambulia mwenzie. pia...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Napenda kutoa kilio changu kwa waziri wa Ofisi ya Rais, Menejiment ya utumishi wa Uma, juu ya mambo wanayotendewa watumishi walioko katika Halmashauri za wilaya. Huwa sipendi kuropoka na nalisema...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
• Yahaha kulibakisha jimbo na Tamali Vullu SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amemwandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Lewis Makame, kumjulisha juu ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mjumbe wa Barala la Utekelezaji la UVCCM, Hussein Bashe amekiri waziwazi kuwa CCM isipokuwa makini uchaguzi wa mwaka 2015 ukimalizika, utakiacha kikiwa chama cha upinzani na si chama tawala...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya aliye kuwa mbunge wa Igunga, bwana Rostam Aziz kujiuzulu nafasi hiyo je ni wagombea wapi ambao wanaweza kupitishwa na vyama vyao kugombea huko? Tetesi nilizo sikia ni kwamba RA...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani mpaka sasa nani anongoza kutoa point bungeni na nani anaongoza kwa kuongea upuuzi bungeni, pia anaeongozakwa kusinzia.
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Nimepata habari from a very reliable source kuwa sita na mwandosya wamekubaliana sitta agombee urais akae miaka mitano amwachie mwandosya ambaye atakuwa waziri mkuu. nimedokezwa kuwa JK...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kilichofanyika Mbeya ni kuzindua kampeni ya kundi la Sitta kwa ajili ya Urais! Shuhudia Minyukano itakayofuata! Kama kuna mtu anadhani CCM imetulia asubiri, its not over yet.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
jana nimemsikiliza akiongea kuhusu jeshi letu, mbona huyu mama anaongea kama mtu mwenye mamlaka? mbona wee mzee wa mishen town usimpe uwaziri huyu mama? mama lakini mbona unazeeka haraka? take it...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Uchaguzi wa Tanzania hasa kwa wapinzani hauminiki. 1995 Mrema alikuwa ni mmoja wa viongozi waliotikisa ccm. alipata kura nyingi kuliko mgombea mwengine wa Upinzani. hadi leo record yake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawashangaa sana mtu ambaye ni Kijana,mwenye kujua dunia ipo vipi leo ulimwengu wa ICT, ukawa ni mwanachama wa CCM!. Haiwezekana! ni aibu. siwezi kushanga saana maana pia wapo wanaoabudu shetani...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kujiuzulu kwa RA, kumesababisha niwaze jambo hili. Endapo chama chochote kitapungukiwa na wabunge wake ama kwa kujiuzuru, kufukuzwa n.k. Ni nini uwiano wa viti maalu? Je, viti maalum vitapunguzwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hayo yote tunayoendelea kuyashuhudia ni kutokana na moto mkali uliowashwa na CDM. Tunaweza kusema hivi kama sio Chadema je Lowasa angejuzulu? kama sio CDM CCM wangejivua Gamba? katiba kusitishwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom