Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na Restuta James Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imependekeza kuundwa kwa serikali tatu; ya Muungano, Tanganyika na Zanzibar, ili kuondoa hisia za upande mmoja wa Muungano kunyonywa pamoja na...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Je kama Mungu akikujalia uzima na afya tele Novemba 2015 atakapo apishwa raisi mpya utajisikiaje? Je uta huzunika JK kuondoka? Je utafurahia yoyote yule kuingia ikulu ilimradi tu JK anaondoka? Au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naona simsikii sana siku hizi huyu mbunge wa zamani wa karatu. Yupo? Ana mpango wa kugombea tena urais au atarudi karatu kuendelea na shughuli ya ubunge?
0 Reactions
3 Replies
971 Views
Mara nyingi tumewasikia viongozi wa CHADEMA wakisema kuwa wanakijenga chama na kukiandaa kushika dola baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa 2015, lakini hawasikiki wakielezea kwa msisitizo ulio sawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo Bajeti ya Ofisi ya Rais, imepita! Hata hivyo ilikuwa wazi kwamba ingepita. Ni kupoteza fedha za walipakodi kujadili "Ndiyo". Mnyika,Lisu na wengine wamejitahidi kuondoa Shilingi, kwa hoja...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama mtanzania, ninapitia bajeti ya serikali yetu na ninaona ina mapungufu mengi na ya msingi, nashangaa kuona wabunge 81 tu ndio walioweza kuona mapungufu hayo na kuipinga, wabunge 234...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
  • Closed
Wanajamii Forums, Natumaini hamjambo. Nilikuwa napitia Kanuni za ku operationalize Sheria ya Gharama za Uchaguzi, ( Elections Expenses Act, 2010), No. 4 of 2010 REGULATIONS, (made under section...
0 Reactions
165 Replies
19K Views
Kwa mwenendo huu wa bunge naona ndio mwisho wa CCM. Chanzo kikuu cha CCM kutofanya vizuri 2010 kinaanzia kwenye bunge la 2007 wakati wa hoja ya Zitto kuhusus mkataba wa Buzwagi kusainiwa London...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF Wasalaam, Baada ya kimya kirefu na kufuatilia mijadala ya bunge letu, maoni ya wanajf na wadau wengine wa siasa leo nimelazimika kuja na hii hoja ambayo kimsingi nahitaji kuona michango...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
1. RAIS.............................. 2. WAZIRI MKUU..................... 3. SPIKA SAMWELI SITTA 4. PRO MAGUFULI 5. MRS MALECELA 6. PINDA 7. ZITTO KABWE 8. MREMA 9.MEMBE 10. MBOWE...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hatimaye Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamshi Vuai Nahodha ambaye amekuwa akiishi hotelini kwa miezi nane sasa atahamia kwenye nyumba yake kuanzia wiki ijayo, NIPASHE Jumapili imebaini...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
http://youtu.be/GhlEEAJIShE kuna majimbo mengi kama la ukonga ni mfano mzuri kwa nini limekwenza ccm? hii ni kutokana na watu kutopiga kura
0 Reactions
0 Replies
931 Views
kutokana na vipindi viwil kushikiliwa na ma rais kutoka bara imesababisha kukutetereka kwa muungano wetu sasa kipindi kijacho iwe zamu ya znz ili kuimarisha muungano na iendane na kutamkwa na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwanza kabisa Viongozi wa kijadi na kieneo walioongoza mapambano dhidi ya Wakoloni; Kinjeketile Ngwale, Watemi Chabruma, Songea, Mirambo,Isike ,Mkwawa, Kimweri Mbega, Sina Meli Mandara...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Naandika nikiwa na furaha!!!! kivipi? kwani hakika anguko kubwa la chama cha Magamba limekaribia sitaki kuwa shehe Yahaya (the late RIP) lakini ni mambo yanayo onekana kwa uwazi kabisa (Black and...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna viongozi walikuwepo Washington DC kutoka serikali ya JK kuomba Tanzania itolewe kwenye Black List ya madini ya USA. Congress iliweka hii list kwasababu madini mengi ya Diamond kutoka Congo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Monday, 20 June 2011 19:22 newsroom NA SHAABAN MDOE, ARUSHA SAKATA la Meya wa Jiji la Arusha, limefikia tamati baada ya CHADEMA kutangaza kumtambua rasmi Meya wa Jiji hilo, Gaudance Lyimo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa miaka takribani 47 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado kuna malalamiko mengi juu ya muungano wenyewe ingawa wana ccm wenyewe wanakaa kwamba hakuna matatizo. Swali langu ni, kati ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, amesema ameanza kupokea ujumbe mfupi wa simu kutoka kwa wananchi wakieleza kutoridhishwa na mwenendo wa Bunge hilo. Akitoa matangazo mara baada ya kipindi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Africa - the most violent and lazy continent on earth. | Facebook
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom