Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni hari ya kusikitisha sana hasa kiuchumi nchi inavyoaanza kuchumia tumbo baada ya kuwekeza kwenye kuindeleza. Huu ni uchumia tumbo kabisa hasa unaopoona budget ya 2011/2012 ya 11.9 tr/- out of...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Salma Kikwete, amesema ushindi wa Kikwete katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana hauna dosari kama baadhi ya vyama vya siasa vinavyotangaza. Alitoa...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Naomba nisipewe jina la Shekhe Yahya au Pweza Paul,kwa vyovyote vile kwa mwenendo jinsi ulivyo kwa sasa, CCM wanawinda chini ya siasa za maji taka. Kila kundi linajipanga kwa 2015, Je CCM...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika gazeti la Mwananchii la leo (uk.2) kuna taarifa kutoka Makete, Iringa, kuwa watumishi watano wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete wamesimamishwa kazi kwa sababu ya tuhuma ya kujihusisha na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tumegundua uongo, rushwa, kujikweza, ulevi, ubaguzi wa udini na sasa tunauona ubaguzi wenu wa ukabila. Credibility hamna hata mkitumia vyombo na fedha kiasi gani za wananchi, Taifa limeshawageuka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Wakati Serikali ikijua kuwa mwaka huu ilijipanga kusherehekea miaka 50 ya uhuru kwa kishindo, maandalizi hayo hayakuwekwa kwenye bajeti inayoishia mwezi juni 2011. Cha kusikitisha, wakati Bunge...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukweli siku zote unabakia ukweli, Kikwete nchi imeshamshinda ila anaona aibu kuachia ngazi kuwa ataonekana Kilaza wakati ni kilaza na anazidi kuiharibu nchi yetu. Nchi imekubwa na Matukio juu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
JE ZANZIBAR SIO NCHI..........? JE BADO TU MUTASEMA KAMA ZAZNIBAR SIO NCHI NI MKOA WA PWANI..? KAMA SIO NCHI HIZI PESA ZILITOKEYA WAPI..? KAMA HUAMINI HUTA AMINI TENA STAP ZA POST...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
- Wasomi wataka maelezo ya serikali - Wapinga masharti ya baadhi ya vifungu Waziri wa Katiba na Sheria, Celina Kombani, amepatwa na wakati mgumu kujibu maswali ya wasomi na wanazuoni wa chuo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa maoni yangu, hali ya muungano inaendelea kuwa mbaya. Wanaosema muungano ni imara ni viongozi tena wa chama fulani. Chuki ya wananchi wa pande hizi mbili inaendelea kukua. Sasa kwa mwenendo huo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zanzibar Daima Mtazamo wa Mzanzibari kwa Nchi yake « Balozi Seif Iddi na Waziri Nahodha jibuni hoja hizi za Uamsho Mkakati wa kuirejesha Zanzibar kwenye neema » Ya Pwani Mchangani ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zanguni,katika mafundisho yangu ya dini nimefundishwa kuwa Uongozi wowote ule unatoka kwa Mungu,..Na sio kwa SHETANI hata kama umeingia kwa RUshwa...Lakini mwenyezi Mungu anaacha ata ule...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PIUS KATUNZI: Kikwete's victory leaves foul taste in the mouth Sunday, 07 November 2010 President Jakaya Mrisho Kikwete has survived the repudiation of his countrymen, but, in a way, he...
0 Reactions
97 Replies
10K Views
Miaka sita, saba kasoro Mimi nauliza swali utakomaa lini? Nchi yetu inazidi kurudi nyuma Ulipomaliza miaka yako mitano ulisema unajifunza, je hadi sasa unajifunza?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Written by Nassor20 // 25/05/2011 // Habari // No comments May 9, 2011 by zanzibardaima Muasisi wa Muungano, Julius Kambarage Nyerere Hakuna woga katika kulizungumza suala la kuvunja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ripoti Ya Mjadala Wa Kuadhimisha Miaka 47 Ya Muungano Wa Tanganyika Na Zanzibar (Froud Community Centre – Uk) (Umetayarishwa na Jumuiya ya Zanzibar Welfare Association –ZAWA) 23 April, 2011...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
M. M. Mwanakijiji (Tanzania Daima) WATAWALA wetu wanahitaji hekima. Yaani, ile tunu na kipaji ambacho Mwenyezi Mungu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Uchaguzi wa 1995 Bulj alimngoa baba kimbao alietawala zaidi ya miak 20 kisiwa cha Mafia na kukiweka ktk hali maskini ya kutupwa. Tulidhani tumejikomboa kumpa Bulj. Kumbe amezidisha matatizo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"mtoto alikataa kwenda shule, mzazi akatafta kiboko kimpge aende shule, KIBOKO KIKATAA. Kwa hasra, akaenda kumwambia MOTO aunguze kiboko ili kiboko kimchampe mtoto, MOTO UKAKATAA! Mzazi akaenda...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom