Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

helkopta 2 za chama cha mapinduzi zimetua hapa igunga zikiwa na January Makamba na John pombe Magufuli.
0 Reactions
67 Replies
8K Views
Waungwana, Ni wazo langu jamani kwa Chadema, nadhani Ndugu Halima Mdee anahitajika kwenda Igunga kuwavuta akina mama ambao bado hawajaamua hata na wale ambao hawaeleweki
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Chama cha demokrasia na maendeleo(chadema)kinachoshiriki kugombea nafasi ya kiti cha ubunge iliyochoachwa wazi na rostam azizi wa ccm kitaangushwa vibaya kutokana na kutokuwa na madiwani wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ZIKIWA zimesalia siku nne kabla ya wananchi wa Igunga kuamua nani atakuwa mbunge wao, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa amenasa siri nzito ya jinsi...
2 Reactions
66 Replies
7K Views
imewasili hapa saa 17.15 jioni na kukusanya umati mkubwa wa watu, na baadaye kuelekea Mwanzugi ambapo Mbunge Leopold Mahona alikuwa akifanya mkutano.
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Please could all voters show the world that we can have a peaceful election free of corruption for once? It's sad all we hear is about issues which are not important to voters and their real...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi mbona rais wa Tanzania naye hatangazi nafasi za kazi tukaapply au hao waliopo wanaendelea kuwapo ikiwa hawajachujwa kwa kiwango ndo maana wanafisadi? Hebu angalia baada ya kuapishwa Obama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ukimuacha Dr.Slaa ni nani mwingine anaeweza kupeperusha bendera ya CHADEMA upande wa urais ktk uchaguzi ujao 2015?
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Tunapoelekea 2015; ni vema kutathmini na kuweka kumbukumbu sawa kwa Rais wetu Kikwete tangu alipoingia madarakani 2005 hadi sasa anapoelekea mwisho. Tujikite kwenye Uchumi, Miundombinu/ Ujenzi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ushindi wa Rais Sata (Cobra) wa Zambia, ni ishara mbaya sana kwa CCM mwaka 2015. Hii ni kwa sababu Rais Sata ana miaka 74 ambao ni mkubwa sana kulinganishwa na Dk Slaa, ambaye atakuwa na miaka 67...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chama cha Maendeleo na Demokrasia kinakua kwa kasi nzuri sana. sera zake na viongozi wake na wabunge wengi wanakubalika kwa Jamii ya tanzania ya leo. Kuna angalizo muhimu sana linahitajika...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wananchi wengi wamekosa matumani na CCM na serikali yao..........wanahitaji mtu wa kuwapa matumaini mapya, japo haitaondoa shida walizo nazo lakini wahitaji mtu wa kuwapa matumaini katika hali ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Najiuliza mpaka Leo niwe mwanachama wa chama kipi cha Siasa kwa7bu zipi? Chama tawala mpaka Leo kina nini hasa cha kunishawishi, au Upinzani kuna Tumaini Jipya??
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wananchi wanaohudhiria Tamasha la 10 la Jinsia, wamependekeza utaratibu wa kupata wabunge kupitia majimbo , viti maalum na kuteuliwa na Rais ufutwe, na badala yake zianzishwe wilaya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndugu zangu, kuna msemo unasema, "The future is for those who prepare for it today".. Nchi inakwenda mrama Maisha yanazidi kuwa magumu Ufisadi unaongezeka Tulisikia magamba...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
WanaJF Naomba msaada wenu Nataka kujua ni kitu gani kimejificha hapo Vcom na CCM Kabla ya kampeni mji mzima wa DSM ulikuwa umejaa matangazo ya VODACOM uchaguzi ulipoanza matangazo yote...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Are they really fighting for poor people or their tummies?? Binafsi nasikitishwa sana na jinsi primaries za CCM zilivyokwenda hasa ukizingatia kiasi cha pesa kilichotumika; on average at least 2...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Samwel Sitta Shibudha Dr Kingwangwala Deo fulunjombe Wasira Komba Lukuvi Lusinde Mrema Job Ndugai Viti maalum wote wa CCM Chibulunje Wabunge wote wa CCM toka Singida Nyambari Nyangwine waongezee...
4 Reactions
104 Replies
10K Views
Na Laila Abdulla, Katika kipindi hiki cha mpito kuelekea katiba mpya,wazanzibari wanajikuta katika JAHAZI ya safari ya mwisho kutoka Dar-es-salaam kurudi Unguj.Wakiikosa safari hii, basi...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Naibu katibu mkuu wa chama cha wanainchi CUF amewasili jimboni Igunga kukagua uhai wa chama baada ya timu ya kwanza kuwepo huko zaidi ya wiki 3 sasa, Lengo ni kujipanga kwa mtanange wa uchaguzi...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom