Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Maalim Seif akabidhiwa fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha ACT Wazalendo kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kakabidhiwa fomu hizo na Katibu Mkuu wa Chama...
11 Reactions
32 Replies
6K Views
Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa...
13 Reactions
115 Replies
13K Views
Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za...
25 Reactions
206 Replies
21K Views
Katika mchakato wa kutafuta mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, Amani Karume, aliyekuja kuwa mgombea wa chama hicho na baadaye Rais wa Zanzibar, hakuwa...
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Kamati maalumu ya CCM imemaliza mkutano wake huko Zanzibar kwa kupitia majina yote wanachama waliochukua fomu. Tayari majina matano yamepatikana ambayo yatawasilishwa kwenye Kamati Kuu ya CCM...
6 Reactions
151 Replies
28K Views
Leo tena yule nguli wa habari za vikatuni Kipanya ameibuka na Mgombea wa Urais kule visiwani. Mimi simjui ni nani lkn wenye ujuzi wa kusoma picha basi tafadhali mtujuze. Nitaikumbuka sana zenji...
9 Reactions
26 Replies
4K Views
CCM Watu wanaowaheshimu japo kuna muda wanawakosoa wameshayachoka sasa haya Majina ya sijui akina Mwinyi, Jumbe na Karume na badala yake wanataka Kuziona Sura mpya kama si ngeni ambazo nazo...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
DKT HUSSEN MWINYI TUMAINI LINALOREJEA ZANZIBAR Na, Deogratias Mutungi Nianze makala haya kwa kusema Zanzibar na Wazanzibar kwa ujumla wake awamu hii wanaweza kupata kiongozi aliye bora zaidi na...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Urais Zanzibar 2020: Makundi yanavyohaha kuzuia mabadiliko! 1 July 2020 Oktoba mwaka huu wapiga kura wa Zanzibari tutamchagua Rais mpya, akiwa ni Rais wa nane tangu Mapinduzi Matukufu ya mwaka...
11 Reactions
76 Replies
10K Views
Wakuu baada ya Mwalim Seif kutangaza nia ya kuwania Urais Zanzibar, ni dhahiri shahiri Profesa Mbarawa atapita kwa kishindo kikubwa! Prof amezidi kuipaisha nyota yake katika utendaji wenye...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Tume ya uchaguzi ya Zanzibar imetangaza kufuta majimbo manne ya uchaguzi na hivyo kubaki majimbo 50 pekee, ambapo Unguja yatakuwa 32 huku Pemba yakibaki 18. Haijafahamika kama Tume imejituma...
4 Reactions
67 Replies
12K Views
WAZIRI wa Kazi, Uwezeshaji Wanawake, Wazee na Watoto, Maudline Cyrus Castico amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amekuwa ni mgombea mwanamke wa...
3 Reactions
34 Replies
7K Views
Naamini mmemsikia Maalim leo hii ni "final count down," tunaelekea kwenye, ‘’all systems go!’’ Chombo kinapaa angani. Kwa upande wa pili ambao hawajaweza miaka yote kushinda uchaguzi, maneno ya...
11 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Hamad ametangaza kugombea Urais Visiwani Zanzibar kupitia chama chake cha ACT-Wazalendo. Atachukua fomu ya kugombea urais Tarehe 4 mwezi Julai. Amewaomba...
16 Reactions
130 Replies
10K Views
Kuna Mmoja ambaye ni Mwanamke akitokea Chama Cha Mapinduzi kaulizwa na Waandishi wa Habari ni kwanini nae kaamua Kujitosa katika Watu 31 waliochukua Fomu jibu alilolitoa ni kwamba Kajitokeza tu...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Muwakilishi wa Jimbo la Mtoni, Mh: Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa) nae amejitokeza kuchukua Fomu ya kuomba ridhaa ya kugombania Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM. Bhaa anafikisha idadi...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho. Said aliyechukua fomu katika ofisi za chama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mgombea Namba 31: Mgeni Hassan Juma amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar. Alikuwa ni Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi zanzibar. Bi. Mgeni amekuwa ni mwanamke wa nne kuchukua fomu hiyo...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Khamis Mussa Omar amejitosa kwenye mbio za Urais Zanzibar 2020 na kuchukua fomu kuomba ridhaa ya CCM. Khamis Mussa ndiye mshika funguo...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
“ATAKAETUMIA RUSHWA KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI 2020 AMEJICHIMBIA KISIMA” BALOZI SEIF Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati Taifa linakaribia...
0 Reactions
2 Replies
864 Views
Back
Top Bottom