Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nilijua tu hakuna kitu pale tamasha la kuwaburudisha wananchi lilikuwa ovyo sana ukiangalia kwa makini waliohudhuria ni wachache sio matarajio ,kiasi ya kubadilisha mada na kuliita tamasha la...
12 Reactions
34 Replies
5K Views
Vyama vyote na wagombea wote wa Urais katika uchaguzi wa mwaka huu wanatoka bara. Nafasi tuliyopewa kwa upande wa Z'bar ni ‘mugombea mwenza’. Je, ni kweli kwamba Wazanzibari hatustahili kushika...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Viongozi wa CCM Tanganyika walipomchagua Hassan Mwinyi ili aje kuwa Rais wa Zanzibar, miongoni mwa sifa waliziompa ni mtu mpole na mkimya. Lakini hebu tujiulize sisi Wazanzibari huu upole wake...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu ataongoza mashambulizi kwa kugombea Ubunge jimbo la Kikwajuni. Hadi sasa zaidi ya makamanda 34 wa CHADEMA wameshachukua fomu za kugombea Ubunge na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa maoni mujarabu kabisa ni bora Nd. Hussein Mwinyi akawaachia ugombezi wa Uraisi wa Zanzibar kwa maana ya kujitoa hii itakuwa fahari yake milele kwani kufanya hivyo ni kuiepusha Zanzibar na...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
#Ufalme au? Hussein Ali Hassan Mwinyi ~ Mgombea URais Zanzibar Abbas Ali Hassan Mwinyi- Ubunge ~ Fuoni Abdalla Ali Hassan Mwinyi - Mbunge ~ Mahonda Zubeida Shaibu (Mkewe Abbas Ali Hussein...
35 Reactions
177 Replies
20K Views
Kwa mujiu wa ITV, Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji. Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa...
23 Reactions
120 Replies
10K Views
Nimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na...
9 Reactions
60 Replies
7K Views
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemteua Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 Hussein Mwinyi anagombea kwa tiketi ya CCM na amesema watafanya kampeni za kisayansi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Vyama vya siasa vinatumia utaratibu gani kupata wagombea Zamzibar? Je, Ni kupitia kamati kuu za vyama au mabaraza au wana utaratibu wao huko Zanzibar? Je, utaratibu wa wagombea wa Baraza la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa maandishi wamejibu hawakumuekea pingamizi mgombea yeyote yule wa ACT wazalendo,huo au hayo yaliyojiri ni mzigo wao tume ya Taifa ya uchaguzi na sio wagombea wa CCM. Sasa ninaloliona ni CCM...
35 Reactions
76 Replies
7K Views
Maalim Seif Hamad amesema kuwa Rais Magufuli akizungumza na balozi mwaka huu alimhakikishia balozi kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na haki na wazi lakini amesema kwa sasa wananchi wanachokishuhudia...
20 Reactions
122 Replies
15K Views
Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC. Nawaambia...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
HABARI Tume ya taifa ya uchaguzi imempitisha katibu mkuu wa CUF, Haroub Mohammed shamis kuwa mgombea Ubunge jimbo la Chakechake Pemba.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Wakulima (AFP) Said Soud Said akipokea amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea katika Uchaguzi Mkuu. Said...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dk. Hussein Mwinyi chaguo sahihi kwa Wazanzibar Na Hamis Shimye ZANZIBAR na Wazanzibari kwa ujumla wake kwa awamu hii inaenda tena kupata kiongozi aliye bora zaidi na mwenye maono ya pekee...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea Urais wa Zanzibar Wagombea wanatakiwa kurejesha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeona zoezi la kupitisha majina ya wagombea ujumbe wa baraza la wawakilishi kule Zanzibar limesogezwa mbele kwa sababu ratiba za NEC na ZEC ni tofauti. Swali: Je, hao wawakilishi watapitishwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom