Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Dkt. Magufuli amewasili Zanzibar na kuwashukuru wananchi kwa mapokezi mazuri aliyoyapata. Baada ya kuwasili Dkt. Magufuli aliwatembelea waathirika wa kukatwa mapanga huko Pemba wakati wanatoka...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
“Sisi CHADEMA tumetangaza rasmi kumuunga Mkono Maalim Seif kama ilivyo kwa Cheyo na Mrema kumuunga mkono Magufuli na hili tutatangaza rasmi muda si mrefu"- Tundu Lissu. "Kama ilivyosahihi kwa...
64 Reactions
168 Replies
18K Views
Mgombea urais wa Zanzibar kutia chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, ameendelea na kampeni zake katika kisiwa cha Pemba kwa ajili ya kuomba kura ili kupata nafasi ya kuongoza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika hali ya kushangaza na kusuasua kwa kampeni za CCM bara na visiwani , Jana mgombea wa urais wa Zanzibar Hussein Mwinyi hakutokea kwenye mkutano wa hadharani Bububu, watu wanaulizana kulikoni?
12 Reactions
62 Replies
10K Views
Aliyekuwa Naibu Waziri kwenye serikali ya Dk Ali Mohamed Shein, Bi Zahra Ali Hamad, amesema kushindwa kuendelea kwa Zanzibar kunatokana na dhulma ambazo zimetendwa na rais anayemaliza muda wake...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Vijana wanaosadikiwa kuwa wa CCM, usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba za usiku wamevamia tawi la Tutani (Mkombozi) la chama cha ACT-Wazalendo Nungwi mkoa wa Kaskazini Unguja na kuchana bendera...
3 Reactions
46 Replies
6K Views
Jamaa ( Hussein Ally Mwinyi ) ana..... 1. Cheza sana Karata au Bao na Wazanzibari huku akiwa hata hana Wasiwasi na Ulinzi ( Usalama) wake walivyo wengine 2. Tembelea Masoko yote ya Zanzibari na...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
HOJA ZA DK HUSSEIN MWINYI ZINATOSHA KUMPA NCHI OKTOBA, 28 Dkt. Hussein Mwinyi mgombea wa nafasi ya Urais Zanzibar anastahili kuchaguliwa kwa kura za ndio nyingi na kupewa nchi ili awaongoze...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Wazanzibar hamueleweki kabisa katika nyakati hizi za kampeni Mana kwenye kila mkutano uwe wa maalim Seif na ACT yake au uwe wa Mwinyi na CCM yake nyomi la watu linakuwa kubwa. Hapo mnatoa dalili...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Mgombea Urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir(Demokrasia, makini): Katika barua yetu ya tarehe 15 kumuomba msajili wa vyama vya siasa pamoja na IGP, tulimuelezea kwamba, kuna baadhi ya viongozi wa...
1 Reactions
60 Replies
12K Views
1. Elimu bure 2. Afya bure 3. Ajira mpya zaidi ya 300,000 4. Uchumi wa bluu kuimarisha sekta ya utalii, uvuvi, mafuta na gesi. 5. Viwanda vipya kujengwa 6. Barabara za lami kilomita 198 kujengwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naam kumekucha tume ya zanzibar ya uchaguzi imetangaza haya yafuatayo:- Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewaengua wagombea kumi na watano (15) kati ya hao kumi na mmoja (11) ni wa Chama Cha...
2 Reactions
115 Replies
13K Views
Na MWANDISHI WETU, PEMBA MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amekamilisha awamu ya kwanza ya ziara yake ya mikutano ya kampeni katika majimbo ya Visiwa vya...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Na MWANDISHI WETU, PEMBA MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amekamilisha awamu ya kwanza ya ziara yake ya mikutano ya kampeni katika majimbo ya Visiwa vya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CUF pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba , kesho septemba 20 ataongoza uzinduzi wa kampeni za CUF, visiwani Zanzibar. CUF: KUNA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TAKWIMU HAZIDANGANYI Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa...
17 Reactions
169 Replies
14K Views
Heka heka za kampeni zinazidi kushika kasi na Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anazidi kuchanja mbuga kujinadi na kuelezea atawafanyia nini...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza, atahakikisha wakulima wa viungo na karafuu wanakuwa huru kuuza mazao...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naam hiki ni kipindi mujarabu sana. Kampeni zinaendelea kwa kasi kote Bara na Zanzibar. Leo Tunamwita Dkt. Mwinyi ama timu yake aje hapa ama waje uwanjani. Tunahitaji tujibiwe baadhi ya...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad, amesema endapo wananchi wa Zanzibar watamchaguwa na kumuweka madarakani, atahakikisha wakulima...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom