Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad (pichani), amesema wanawake ni jeshi kubwa linalotegemewa kushiriki katika uchaguzi mkuu na kuleta ushindi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema kampeni zinazofanywa na mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Dk Hussein Ali Mwinyi za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Mkuu mstaafu Hamid Mahmoud amesema kura ya mapema haitawahusisha wapiganaji wote wa vyombo vya ulinzi ikiwemo majeshi na Polisi, kama...
3 Reactions
61 Replies
8K Views
Kwa political analysists wazuri watakubaliana na mimi kuwa katika uhai wake kama Chama cha Siasa kimefail kuwa na ushawishi katika upande wa pili wa muungano. Jambo hili halina afya nzuri kwa...
4 Reactions
67 Replies
5K Views
Mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad jimbo la Mpendaye. Leo tarehe 08/10/2020, Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Mgombea urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharrif Hamad amesema akifanikiwa kuingia Ikulu atahakikisha watu wanaojishughulisha na biashara ya dawa za kulevya wanadhibitiwa ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema iwapo atachaguliwa atahakikisha anazifanyia kazi changamoto zinazowakabili wawekezaji wa sekta...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dkt. Hussein Ali Mwinyi,ameahidi kupambana na vitendo vyote vya ubaguzi ndani ya jamii pindi akipata ridhaa ya kuongoza Zanzibar. Amesema ili...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema dhamira ya Serikali ya awamu ya 8 ni kukuza uchumi katika Nyanja zote ili kuwapa vizuri wafanyakazi...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema Waziri wa Ulinzi anauwezo mkubwa hata wa kupindua nchi kwa kuwa vifaa vyote viko chini yake Aidha amemsifu...
1 Reactions
67 Replies
9K Views
Fuatilia Kupitia Television na Redio mbalimbali pamoja na Mitandao ya Kijamii. Nazungumzia yanafanyika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Kisiwandui. Tafadhali mjulishe Mwenzako Tafadhali fuatilia...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Mgombea urais wa Chadema kwa ngazi ya urais JMT alienda Zanzibar akafanya mkutano,na katika mkutano alioufanya aliongea mambo mengi,ikiwemo kutaka kuwe na muungano wa Serikali tatu. Lakini alienda...
3 Reactions
77 Replies
6K Views
Chama cha ACT-Wazalendo leo kimezindua Ilani ya Uchaguzi ya visiwani Zanzibar ambapo Maalim Seif Sharif Hamad ambaye anagombea Urais ni Mgeni Rasmi Akitoa muhtasari wa Ilani, Mwanasheria Mkuu wa...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Hakuna cha Makame Mbarawa wala nani. Huyu ndiye atayeiingiza Zanzibar kwenye karne ya 21. Wasifu wake ni huu hapa: Dk Hussein Mwinyi ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika...
14 Reactions
204 Replies
28K Views
“Mimi sioni tabu kumwambia (Magufuli) tugawane mbao”. Haya ni maneno aliyoyatamka Mgombea wa Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa katika mkutano wa...
3 Reactions
73 Replies
6K Views
Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt Hussein Mwinyi amesema muungano uliopo kati ya Tanganyika na Zanzibar ndio unaleta amani na utulivu katika Taifa. Amesema Muungano unaleta umoja wa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mliosema “Magufuli hampendi Mwinyi anapretend tu” sasa kesho muwe macho muone support. Mkutano mkubwa kuliko tunausubiri hapo kesho katika viwanja vya Mnazi Mmoja. PICHA: Jinsi Dkt. Magufuli...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka waliyorithi kutoka kwa wakoloni Mataifa mengi ya afrika yalitawaliwa hadi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo tarehe 02/10/2020 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad akamilisha mkutano wake wa mwisho wa kampeni kwa awamu ya pili kisiwani Pemba...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom