Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

"Mnataka Rais wa namna ya Dkt. Mwinyi sio rais mwenye makeke mengi, mbwembwe nyingi, kujimwambafai mwambafai kwingi, kujitutumua kwingi, kuona wengine hawana maana, lakini Dkt. Mwinyi hana hiyo...
19 Reactions
93 Replies
10K Views
A day before casting their votes to decide who is their president, members of parliament and other lower representatives in Zanzibar, people were today rushing for shopping in the city. A day...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, Mgombea Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema watasimama kwa pamoja kulinda ushindi wao Amesema, " Sisi viongozi wa...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Kutoka kwa mkoloni wetu. ======= Zanzibar is best known by holidaymakers for its sandy white beaches and winding medieval passageways. But where once there were tourists, tanks and soldiers now...
6 Reactions
62 Replies
6K Views
KALAMU ISEMAYO MANENO YA ALLY SALEH ALBERTO WA ZANZIBAR BARUA YA WAZI Rais Magufuli una saa 72 kuokoa hali Zanzibar Assalam aleikum, Pole na kampeni ambayo najua kuwa imekuwa ngumu na ya...
27 Reactions
38 Replies
5K Views
Mgombea wa Urais Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa dhamira yake ya kuwatumikia Wazanzibari iko imara tofauti na wakati mwingine huku akieleza kuwa kampeni za Urais zimemuwezesha kujua...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Vikosi vya SMZ jana usiku walivamia Barza ya Mwanakombo; hii ni Ofisi ya Ngome ya Vijana wa @ACTwazalendo. Vitu walivyoiba ni Tv na Viatu, pia waliondoka na Mlingoti wa Bendera. Aidha leo...
7 Reactions
87 Replies
16K Views
Mkutano wa kampeni wa Jabali Maalim Seif Kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja umehudhuriwa na Umati mkubwa wa watu pengine kuliko mkutano wowote uliowahi kufanyika Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi...
24 Reactions
44 Replies
5K Views
Tokea jana wanannchi wenye uzalendo na nchi yao ya Zanzibar wameanza kumiminika kutokea kila pembe ya nchi hio,huku wakisika wakisema Zanzibar ya ukweli na uwazi imefika na karibu Tanganyika yenye...
19 Reactions
32 Replies
4K Views
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad hivi sasa yuko katika Kiwanja cha Mnazi Mmoja Unguja kuhitimisha Kampeni zake za kuelekea Ikulu. Maalim Seif...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Dkt. Hussein Mwinyi yupo LIVE anajibu maswali ya moja kwa moja kutoka kwa wananchi. Barabara na uchumi mkubwa Amesema Swala la barabara Unguja na Pemba ni swala muhimu na pia wanapozungumzia...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wapwa Dr Mwinyi amewataka Wazanzibari wajitokeze kwa wingi kumpigia kura za ndio tarehe 27 October, ikumbukwe Mgombea wa ACT Maalim Seif aliwambia Wazanzibari wajitokeze tarehe hiyo hiyo 27...
10 Reactions
42 Replies
5K Views
Mgombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharrif Hamad amesema katika uongozi wa serikali watajali makundi maalum ambayo ni wanawake, watoto, wazee, walemavu na walioathirika na...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Huku Zanzibar mambo si Mambo. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC, ilipanga kupiga kura siku mbili yaani kundi Maalum litapiga kura tarehe 27, na Wengine tarehe 28. Wananchi wa...
6 Reactions
24 Replies
5K Views
Mgombea Urais wa Tanzania anayeelekea kushinda Tundu Lissu leo atatikisa visiwa vya Pemba. Pemba ngome Kuu ya ACT wanatarajiwa kumlaki kwa kishindo mgombea huyo wa Urais ambaye chama chake na ACT...
49 Reactions
119 Replies
17K Views
Amesema hayo wakati akihojiwa na BBC Swahili amesema "Mimi Ni muumini kabisa wa Muungano ila uwe wa haki" ====== Akizungumza na BBC idhaa ya Kiswahili, Mgombea wa Urais visiwani Zanzibar Maalim...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo tarehe 22/10/2020, Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amewasili kisiwani Pemba kuhudhuria Mkutano wa Kufunga Kampeni Kisiwani humo...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema atakubali matokeo ya uchaguzi hata kama atashindwa ikiwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki. Maalim...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Tume ya Utangazaji Zanzibar imefungia kituo cha RVS Online TV kwa kutoa habari zisizo na uwiano kwa vyama vyote vya siasa na kurusha maudhui yanayoashiria uvunjifu wa amani. Tume ya Utangazaji...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewasilisha malalamiko kwenye Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kupinga kushambuliwa wafuasi wake walipokuwa kwenye mikutano ya kampeni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom