Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mapokezi yalianzia Uwanja wa Ndege wa Karume, mkoa wa Kusini Pemba na kupita barabara kuu kuelekea viwanja vya Tibirinzi akiwa katika gari la wazi, akisindikizwa na umati wa watu wenye sare za CCM...
4 Reactions
92 Replies
13K Views
Wadau, hili ndio swali tunalopaswa kujiuliza kwa kuzingatia yaliyotokea mwaka 2015 ambapo matokeo ya uchaguzi yalifutwa na Bwana Jecha ambae ndio alikuwa kiongozi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama HOJA 1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa 2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Leo kuna mapokezi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Bernard Membe na Mgombea Urais wa Zanzibar, Ndugu, Maalim Seif Sharif Hamad. Wameambatana pia na Mgombea Mwenza wa...
8 Reactions
43 Replies
9K Views
Katika mkutano wa mapokezi ya wagombea urais kwa tiketi ya ACT, mheshimiwa Membe alipewa dakika chache tu za kuwasalimia wazanzibari, katika dakika hizo Membe aliongea mambo mawili ambayo...
13 Reactions
38 Replies
5K Views
Hongera sana kwa kuutangazia Umma wa Tanzania kuwa hutaki ushindi wa kura za wezi au wizi, ni sawa kwa kuanza kuwatahadharisha wanaopanga kukuharibia pepo yako, ama hapo umetoa kauli nzuri ambayo...
16 Reactions
65 Replies
8K Views
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar...
9 Reactions
149 Replies
22K Views
MKUTANO MKUU WA TAIFA WA CUF CHAMA CHA WANANCHI UMEMPITISHA MUSSA HAJI KOMBO KUWA MGOMBEA WA URAIS ZANZIBAR KWA TIKETI YA CUF Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Wananchi (CUF) umempitisha Mussa...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa ZEC jaji mstaafu Mahmoud ametangaza uchaguzi wa Zanzibar wa Rais, wawakilishi na madiwani kufanyika tarehe 27 na 28 Oktoba,2020. Tarehe 27 Oktoba ni maalumu kwa watendaji wa tume...
8 Reactions
46 Replies
7K Views
Baada ya kugombea urais na kufanikiwa kuingia Tatu bora, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amechukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la KIKWAJUNI kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Tunaendelea kuwapeni habari zetu za tathmini. Bado timu iko visiwani ikitupatia tathmini mbali mbali za kisiasa na kijamii. Huko visiwani kuna kijungu chapagwa. Picha halisi ilioyoko huko ni...
17 Reactions
80 Replies
12K Views
Zoezi za kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limeendelea ambapo Mzanzibar mwingine Mbwana Yahya Mwinyi amefika katika ofisi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Amani ya Bwana iwe nanyi. Sote tunafahamu utata mkubwa uloiojitokeza mwaka 2015, na nafasi ya Jecha katika utata huo. CCM kama chama tawala ambacho kinajinasibu kukubalika na wananchi na ambacho...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Habari Uenezi na Mahusiano na Umma Mhe. Mbarouk amepitishwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Ziwani kuwa mgombea Ubunge
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli...
26 Reactions
275 Replies
26K Views
Members, kwa jicho la tatu na hotuba ya mheshimiwa Rais Magufuli kwenye mkutano mkuu wa CCM 2020, Hotuba yake ya kutoka kichwani ina mambo mengi sana. Kuna usemi usemao limjaalo mtu ndio...
8 Reactions
58 Replies
11K Views
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof. Makame Mbarawa amechukua fomu za kuwania kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia chama cha mapinduzi uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka huu mwezi wa kumi...
1 Reactions
132 Replies
17K Views
Wafuatiliaji wetu walioko Zanzibar wametuletea tathmini hii fupi mara baada ya NEC ya CCM kumteua Dkt Hussein Mwinyi. Kwanza baadhi ya wana CCM wamenuna wakilalamika kwamba wazanzibari hawana...
27 Reactions
88 Replies
15K Views
Mwenyekiti wa Chama cha ADC ambaye pia ni Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kamati kuu ya CCM inaketi leo kupitia majina matano ya wagombea urais wa Zanzibar na hatimaye kupitisha majina matatu yatakayokwenda kupigiwa kura. Up dates; Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi...
10 Reactions
141 Replies
20K Views
Back
Top Bottom