Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

CHADEMA na ACT WAZALENDO mko wapi nyie? Msije mkasema hatukuwaambia... Watoto wangu wawili (kidato cha 1 & 2) wanaosoma shule moja ya kutwa hapa Shinyanga Manispaa wamefika nyumbani jana na...
17 Reactions
68 Replies
2K Views
Nimepitia siasa za nchi hii, nimeona majimbo yafuatayo yatacjukuliwa na chadema kwenye uchaguzi mkuu 2025. 1. Kisesa 2. Mbeya Mjini 3. Arusha mjini 4. Kongwa 5. Iringa mjini 6. Hai 7. Arusha...
18 Reactions
78 Replies
3K Views
Kiutawala, mitaa ,vijiji na vitongoji ni ngazi iliyo karibu zaidi na wananchi na uchaguzi wa Serikali za mitaa ,vijiji na vitongoji ndio kipimo Cha vyama vya siasa kujipima kukubalika kwao na...
1 Reactions
18 Replies
952 Views
Rais Mstaafu Kikwete nakusalim kwa jina la jamuhuri ya Muungano. Ama kwa hakika nimekaa nikatafakari nakitafakuri nikasema niandike jambo kwenye JamiiForums labda watuwako wanaweza kukupa usome...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
Leo asubuhi Mjumbe wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu? Unawaorodhesha kwa sababu gani? Yeye kanijibu kuwa...
27 Reactions
91 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimefanya uchunguzi ,utafiti na ufuatiliaji mkubwa sana juu ya nafasi ya ubunge ndani ya CCM.nimekuja kuona kuwa mwakani kutakuwa na mnyukano mkali sana na ushindani wa...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Wakuu, Naombeni mawazo yenu hapa tukikumbuka kuwa kushiriki siasa siyo tu haki ya kila mtu, lakini pia ni fursa ya pekee ya wanawake kuchangia kwenye maamuzi ya nchi, yanayoathiri maisha ya kila...
0 Reactions
2 Replies
351 Views
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Jàmani! Jàmani...
8 Reactions
143 Replies
6K Views
Kuna vichekesho vinaendelea nchini hii vya ukiukaji wa sheria, kwa hoja za dhaifu sana eti kukosa kupigiwa kura na ujinga huyu unaongozwa na watumishi wa halmashauli kwa kuwasikiliza viongozi...
0 Reactions
0 Replies
235 Views
Nimepta kwenye nyuzi nyingi za wakati huu wa kuelekea uchaguzi na zile za zoezi la kujiandikisha unaona kabis namna Wanasiasa walivyo na uchu na madaraka, wanaonesha jinsi gani kuna fursa huko...
1 Reactions
1 Replies
198 Views
NA MARYAM HASSAN WAKATI umefika sasa Zanzibar kuondokana na dhana kuwa nafasi za wanawake viti maalum kuwa ni za watu aina fulani pekee na badala yake lazima uwepo ukomo wa kuondosha suala hilo...
0 Reactions
2 Replies
314 Views
NA AMRAT KOMBO, ZANZIBAR Usawa wenye hadhi sawa unamaanisha kwamba watu wote katika jamii wanapaswa kuwa na fursa sawa za kushiriki katika ngazi ya maamuzi na uongozi. Hali hii inategemea...
1 Reactions
0 Replies
229 Views
Wakuu, Ndio walikuwa wanajitapa na uhuru wa kutoa maoni kuongezeka. Kauli za kichochezi inatakiwa kutolewa maana. Huku ni kutufanya mabubu wazi wazi. ====== HATI YA MAKOSA KOSA LA KWANZA Kutoa...
12 Reactions
96 Replies
14K Views
Huu utaratibu ni mbaya na una dosari nyingi sana. Kama kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ana kadi yake ya kupigia kura sasa kwa nini katika uchaguzi huu ingependeza kila...
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Ushiriki wa vijana wa kike kwenye uchaguzi nchini Tanzania ni suala muhimu katika kuimarisha demokrasia na kuhakikisha uwakilishi sawa. Vijana wa kike wanakumbwa na changamoto nyingi, kama vile...
0 Reactions
0 Replies
198 Views
Wakuu jioni inaenda njema? Ni kwamba safari hii hawana mpango wa kukamatwa wakiwa wanabox ya kura, mbinu hii ishasemwa sana na wao wenyewe, wakirudia tena saivi wameona upepo umeshabadilika...
2 Reactions
15 Replies
714 Views
Leo kwenye kipindi chao cha minyama kitenge ametoa maoni yake ya kwamba hivi sasa watu wanapenda kugombea nafasi ndani ya CCM kuliko awamu iliyopita kwa sababu awamu iliyopita kuna maeneo watu...
0 Reactions
6 Replies
490 Views
Duniani kote hakuna kitu kinachoogopwa na serikali dhalimu kama idadi kubwa ya wapiga kura. Baada ya Tume inayosimamia uchaguzi TAMISEMI kudanganya idadi halisi ya waliojiandikisha, kazi iliyo...
10 Reactions
40 Replies
1K Views
Ushiriki wa wanawake katika siasa kuanzia wakiwa wadogo ni hatua muhimu kuelekea kuleta usawa wa kijinsia katika uongozi na maamuzi. Wanawake wanapohimizwa kujiingiza katika siasa tangu wakiwa...
1 Reactions
15 Replies
670 Views
Back
Top Bottom