Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Baada...
20 Reactions
58 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Hii haijawahi kutokea...
14 Reactions
100 Replies
3K Views
Hiki kinachoitwa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa raia wote waliokidhi vigezo na wanaohitaji kupiga kura ni aina fulani ya kituko na jambo lisilo na tija yoyote katika demokrasia...
3 Reactions
12 Replies
565 Views
l will be honest Niliyo shuhudia within this 5 years kama Mpiga Kura kuipata kura yangu kazi mnayo. Kama wapiga kura ni sisi. wananchi tunaona yote Haya. Tafuteni alternative . 2025 kazi...
2 Reactions
15 Replies
482 Views
Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Amos Makalla ameeleza hayo wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa CCM Wilaya ya Kinondoni amesema Namnukuu "Lakini mimi...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo kwa watendaji wote wa Serikali kuanzia ngazi ya Mkoa hadi vijiji kutowaingilia wafugaji wote hapa nchini katika...
1 Reactions
1 Replies
244 Views
Wanabodi, kwa kauli hii ya Jaji Warioba ndio kusema kwamba CCM wanaanza kukubali mmoja mmoja kwamba walipora uchaguzi au kuna namna hatujamuelewa mzee wetu? Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania...
3 Reactions
16 Replies
922 Views
Mimi nawasalimu wote humu ndani Imani yangu mko salama Nauliza tu je CHADEMA wamejipangaje kushinda uchaguzi serikali za mitaaa? Muda unayoyoma na hakuna mabadiliko kwenye daftari ya wapiga kura...
3 Reactions
20 Replies
860 Views
Wakati nafikiria kuandika uzi huu, niliogopa kidogo kwa hofu hiyo hiyo ya kutekwa, lakini nikajipa moyo kwamba tukinyamaza hapa JF ni nani mwingine atasema? Kwa Rais kusema hadharani kwamba...
13 Reactions
152 Replies
5K Views
Wakuu, Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Kauli hii...
5 Reactions
168 Replies
3K Views
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Nia na dhamira yake njema kwa waTanzania, Record yake nzuri ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kijamii, kisiasa, Kitaifa na kimataifa ndani ya muda mfupi sana, ndiyo inambeba zaidi Dr.Samia...
4 Reactions
55 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Huo ndio uamuzi kutoka katika mioyo ya mamilioni ya wafuasi, wakereketwa,mashabiki na wanachama wa CCM Nchini kwote.kuwa ni lazima tumpe Miaka mitano Mama yetu Mpendwa na...
2 Reactions
134 Replies
2K Views
Pale uwanja wa taifa palikuwa na vihoja vikubwa sana. Utitiri wa wasanii wa tasnia zote wakiimba CCM ni mbele kwa mbele! Wameenda kwa mapenzi ama ni nguvu ya bahasha? Iweje Kila msanii awe CCM...
6 Reactions
67 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga...
1 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu, == Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini...
3 Reactions
63 Replies
2K Views
Wakuu, Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku...
5 Reactions
96 Replies
5K Views
Tathmini yetu (ambayo ni ya uhakika) inaonyesha kwamba Umaarufu wa Chadema umeongezeka kwa zaidi ya 25% kuelekea kwenye Robo ya Mwisho wa Mwaka, huku ikipanda kutoka 60% kutoka ilipokuwa kwenye...
5 Reactions
40 Replies
728 Views
Siasa ni Sayansi Acha wale vijana wenye ngozi ngumu waliojengwa kikamilifu na CCM wote warejee Uongozini tayari kwa 2025 CCM inawahitaji zaidi Vijana aina ya Lengai siyo hawa Lege lege mrenda...
1 Reactions
6 Replies
407 Views
Wakuu salaam, Hivi mlifikiria nini kumualika Rais Samia kama mgeni rasmi na mpaka mkampa tuzo? Mlishauriana kwwli mkaona hii ni good move na italeta matokeo chanya mbeleni? Yaani mnafikiria kama...
1 Reactions
14 Replies
354 Views
Back
Top Bottom