Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

SERIKALI, ambayo inahaha kujaribu kuzuia mgomo wa wafanyakazi uliopangwa kufanyika kuanzia Mei 5, imetangaza nyongeza ya asilimia 100 ya mishahara ya kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
WATU zaidi ya 200 mchanganyiko wa raia wa Burundi na Tanzania wamepiga kambi katika msitu wa hifadhi ya Igombe, wilayani Uyui na kujitangazia eneo hilo kuwa Jamhuri ya Ukombozi na kutundika...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani wana JF:- Kutokana na kashfa ya Radar inayosadikiwa kwamba amehusika. Uingereza kukiri na kuamua kurudisha Tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi. Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kutokana na kuendelea kwa miripuko ya volcano huko Iceland, mashirika ya ndege yamesitisha safari zake ambapo yamepelekea rais Kikwete kuendelea kubaki nje ya nchi kinyume na ratiba yake...
0 Reactions
100 Replies
9K Views
Nimemsikia jana Bungeni Jaji Werema akikubali kwa lugha ya kisiasa kuwa sheria ya gharama za uchaguzi inabidi ifanyiwe marekebisho. Na katika vifungu alivyotaja ni kifungu cha 7 ambacho Slaa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Date: 2/20/2010 Kila mbunge kuvuna Sh46 milioni za kiinua mgongo *Ni asilimia 40 ya mishara yate ya miaka mitano Exuper Kachenje Mwananchi KILA Mbunge ataondoka na zaidi ya...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Bajameni Aliye na majina ya wabunge waliodai serikali ya Tanganyika, maarufu kama G 55 atumwangie hapa. Kuna wingu zito linaunyemelea Muungano wetu hasa tunapokaribia kuadhimisha miaka 46 juma...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Paschally Mayega RAIS wangu, vitabu vitakatifu vimeandikwa kuwa huwezi kuwatumikia mabwana wawili, Mungu na Mali. Lazima utamchagua mmoja. Wakale walisema chema chajiuza, kibaya chajitembeza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sad... and we are surprised we still poor besides all our natural wealth. 10 things we have learnt about Africa The Pew Research Center has just released one of the biggest ever studies on...
1 Reactions
83 Replies
10K Views
Jamani me ni mgeniii kabisa hapa JF, nimeipenda h forum manake kila naposoma hua najifunza k2, na kutokana na me kua mpenda kujua basi nimeona hapa naweza kufunzwa mengi zaidi.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 sikupiga kura kwani uchaguzi ulikuwa wa wazi. CUF na DP waliongelea hili mara moja tu na kukaa kimya pengine baada ya kupewa nakala ya daftari la wapiga kura. Katiba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Never heard of this Tanzania Education Trust Designer Kenneth Cole (L) and President Jakaya Kikwete attend the Tanzania Education Trust New York Gala hosted by President...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Ndg. Wazalendo, nimefuatilia sana hizi safari za Mhe. kwenda Marekani naona sasa zimenichosha, safari zimekuwa nyingi, na anakaa muda mrefu kiasi kwamba shughuli nyingine inabidi afanyie Marekani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
:target::target: Please Read Kigoma region in Northwestern Tanzania is among the poorest and most marginalized areas in the country. For decades Kigoma and the neighboring Kagera region have...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Kikwete aumbuka Na Saed Kubenea KUMBE Rais Jakaya Kikwete hakusoma sheria aliyosaini kwa mbwembe. Sasa baada ya kugundua kasoro zake anataka ikarabatiwe kwa njia ya kanuni...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa ni kama injini mpya ya gari (standard), ikaongozwa na baba wa taifa hadi alipoamua kung'atuka ili apishe wengine kuongoza na kurekebisha pale yeye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Majuzi nimeshhangaa sana kuona watu walioua watoto wachanga si chini ya miamoja.watu wazima si chini ya hamsini jamani leo hii wameamishwa kutoka mwananymala kusambazwa hospital nyingine Bado...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TUKIO la mawaziri wawili ambao ni Stephen Wassira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, na Ezekiel Maige, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii kuungana na wadau mbalimbali kupinga muswada wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
(Uchambuzi) Na Mbasha Asenga WAKATI Msajili wa Kwanza wa Vyama vya Siasa nchini, George Liundi, alipomaliza utumishi wake kwenye ofisi hiyo na ghafla akatangaza na kuanza harakati za kusaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Transparency International seeks nominations to recognise inspirational anti-corruption heroes Berlin, 19 April 2010 The deadline for nominations for the Transparency International Integrity...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom