Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na Mwandishi Wetu TANZANIA imeshapoteza Sh11.6 trilioni, ikiwa ni wastani wa Sh289.3 bilioni kila mwaka kutokana na ufisadi, ukwepaji kodi na mzunguko wa fedha haramu, kwa mujibu wa matokeo ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI “TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UGAWAJI WA MAJIMBO NA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU WA 2010” 1.Ugawaji wa Majimbo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kwa mamlaka...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Zitto awagonganisha wazee Kigoma, Geita Na Renatus Masuguliko 19th April 2010 Wavutana kwa zaidi ya saa saa saba Kigoma wawataka Geita wasubiri miaka mitano Wamfananisha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana, Imekuwa ni ada sasa kwa wanasiasa na hasa katika Bunge letu tukufu kusisitiza aidha umuhimu wa kujipanga au kusema kuwa sasa wanajipanga au wamejipanga. Tatizo kubwa ni kuwa, toka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale ambao hawakupata nafasi ya kusoma makala hii. Mema ya serikali yasiyostahili asante Ansbert Ngurumo KATIKA kufuatilia mnyukano wa nguvu ya hoja na mabavu kati ya Shirikisho la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kupewa ufananuzi kuhusu ziara za Rais (JK) nje ya nchi.Haupiti mwezi mmoja bila Bwana Mkubwa kusafiri nje ya nchi. Ninabaki na maswali kichwani! hivi hana watu anaowaamini wa kumwakilisha...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Baada ya kusikia wabunge wanalalamikia sheria mbaya ndipo nimejua kuwa kuna matatizo Bungeni! Kiasi cha Spika kuwakumbusha wabunge kuwa wao ndio watunga sheria wenyewe! - Kukataliwa sheria ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Na. Lula wa Ndali Mwananzela (Raia Mwema) KATIKA kesi hii inayoendelea nchini, ambayo imedumu kwa muda mrefu, masuala makubwa mawili yanatarajiwa kutolewa uamuzi na Mahakama ya Rufani...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Juhudi za Tanzania Association UK (TA UK) na zile za Zanzibar Walfare Association (ZAWA) Za kujaribu kumpata Rais wa Zanzibar ambae pia ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ili...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Na Frederick Katulanda Gazeti la Mwananchi SPIKA Samuel Sitta jana alimshauri Zitto Kabwe kuachana na ndoto za kuwania ubunge wa jimbo la Geita, lakini muda mfupi baadaye kiongozi huyo wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani mimi naamini na wengine pia tungependa kuona wenyewe badala ya kusimuliwa. Kama **** mtu anaweza kutumegea yale muhimu bila shaka tutashukuru. Pia kwenye uchangiaji itakuwa 15mins per MP...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mh waziri wa afya nimewiwa kusema haya baada ya muhimbili kutumia mamilion ya fedha katika kusherekea kutimiza miaka yake kumi ama a kuzaliwa kuanzishwa nimejiuliza siku zote mh waziri wanakuita...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tanzania leads region in illegal money outflows Tanzania has lost $8.9 billion over the past four decades through the illicit means--meaning that it leads the list of East African states that...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ile Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali, CAG, Ludovic Utouh, ijulikanayo kwa jina maarufu la Ripoti ya Ukaguzi, itawasilishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma siku ya Jumanne Ijayo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Govt admits poverty rampant in rural areas By Polycarp Machira 18th April 2010 Minister for Finance and Economic Affairs, Mustapha Mkullo The government has failed to...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KUNA taarifa ambazo tunazifanyia kazi kwamba Mtikila yuko mikononi mwa polisi Central amekutwa na vipeperushi vinavyodaiwa kumshughulikia KIKWETE lakini kwa kutumia udini. Amekatwa leo asubuhi...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Wadau naomba niulize muda wa kupiga kura unakaribia, tangu nifike korea nilipewa taarifa kuwa hakuna ubalozi wa chancelor muwakilishi wa korea. Nikataarifiwa na wwenyeji wangu kuwa nikiwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tumeona wenzetu mara nyingi mmekuwa mkionekana mkifungua mjadala ama kuona marafiki zenu hospit za serikali..nahisi hili ndilolinachangia kutothamini hosp za serikali na kuzifanya zikiwa kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uki zingatia kuna wanaJF wengi tu ambao ni diaspora nadhani thread hii itagusa wengi. Swala linalo endelea sasa la dual citizenship(uraia wa nchi mbili) imenifanya nikae nitafakari jinsi haswa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Waislamu nchini na wapenda amani kususia bidhaa na huduma zote kutoka Uswisi. Tamko hilo limetokana na hatua iliyochukuliwa mwaka jana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…