Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa wale waliobahatika kufika katika ofisi za balozi zetu katika nchi mbalimbali watakubaliana nami kwamba hali inasikitisha. Pamoja na uchache wa maafisa, uwezo wao kitaaluma pia ni wa kutilia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kumekuwa na fikra ndani ya tume ya uchaguzi kuwa kuna mpango wa kuongeza majimbo ya uchaguzi kwenye uchaguzi ujao. Hii inathibitisha kuwa ni jinsi gani watunga sera wanavyoona umuhimu wa kulinda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
- According to the dataz, Jumapili hii kutakua na kikao cha dharura cha CCM. Habari hizi tumezithibitisha toka kwa vigogo mbali mbali wa CC walio katika safari za mbali, ambao wamefahamishwa...
1 Reactions
244 Replies
27K Views
Jamani wakuu, yukwapi Mh Zitto Kabwe, sijamsikia muda kidogo humu ndani na nina hamu kweli ya kuzungumza nae suala la Nyumba mbili kwa bilioni mbili unusu
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Maadili na nidhamu ya watumishi wa umma yameporomoka. Polisi na wanajeshi mara kadhaa wamekuwa ni majabazi.watumishi wa umma wanasaini mikataba mibovi mingi sina budi kuzitaja.Rais wa nchi amekosa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mtuhumiwa EPA adaiwa kuandaa harambee CCM *NI MARANDA, WAMWALIKA RAIS KIKWETE Sadick Mtulya MTUHUMIWA wa wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), Rajabu Maranda anadaiwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
NB: kwa kuweka Katiba hii haina maana ninakiunga mkono chama hiki au kukubaliana nacho au kukipendekeza kwa wananchi kwa wakati huu. M.M KATIBA YA CHAMA CHA JAMII (CCj) Utangulizi...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Happiness Katabazi KATIKA mchakato wa mageuzi ambayo yamefanyika kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, mfumo wa sheria na siasa za nchi, taasisi za dola zimejikuta...
0 Reactions
55 Replies
9K Views
Daniel Mjema (mwananchi),Moshi MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ametangaza rasmi kupiga kambi Moshi Mjini hadi mwaka 2010 ili kuhakikisha kuwa CCM inanyakua jimbo hilo, uamuzi...
0 Reactions
100 Replies
11K Views
Wana JF na wadanganyika kwa ujumla, Ningelipenda nikakupeni kidokezo juu ya ugawaji majimbo, mimi binafsi yangu ni mzanzibari na katika historia yetu huko visiwani tushashuhudia ugawaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kenyan hypocricy over sale of Tanzania's ivory stock Kenya angry with CITES over sale of ivory, ‘partisan’ secretariat By COSMAS BUTUNY January 17 2010 The secretariat of the Convention on...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Serikali ieleze kwa Umma hatua zilizofikiwa na Tanzania kuhusu maandalizi kuelekea soko la pamoja la Afrika Mashariki Wabunge waihoji Serikali kuhusu mchakato huo katika mkutano wa Bunge...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF Wakati tunaenda kuchagua wabunge ni vizuri tukijadili nani anatufaa na tunahitaji nini kutoka kwa hawa tunaowaajiri. Kwa mtazamo wangu mimi nafikiri Mbunge ni kama meneja wa mahali...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Sunday, January 3rd, 2010 | written by Suleiman Mbatiah Tanzania’s President Jakaya Kikwete has vehemently called for unity ahead of the national general elections later this year. In addition...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Redirect
*NI MARANDA, WAMWALIKA RAIS KIKWETE MTUHUMIWA wa wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), Rajabu Maranda anadaiwa kuandaa harambee kwa ajili ya kuichangia CCM mkoani...
0 Reactions
Replies
Views
Prof.Shivji ni mtu mtaalamu na anajua anachokizungumzia.Ni jambo la kusikitisha kuona baadhi ya watu ambao wengi hawajuwi hali halisi ya visiwani Zanzibar na wala hawaathiriki na vurugu za huko...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
kwa sababu tumekubali kuwa watawala wao wanastahili maisha ya heri. HIvi mnakumbuka zile nyumba za mawaziri zilijengwa kwa kiasi gani kila moja? Ni mawaziri wangapi wanaishi kwenye nyumba zile? Je...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mzee Msekwa akiwa kwenye mjadala uliendeshwa na TBC1 kuhusu swala la Mwafaka wa Zanziba. Mzee Msekwa alijikuta ukweli juu ya yaliotokea Butiama ukitoka wenyewe na...
0 Reactions
81 Replies
11K Views
Kongamano kupinga ufisadi lahusishwa na chama kipya KONGAMANO kubwa la kupinga ufisadi linatarajiwa kufanyika Dar es Salaam kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwachukulia hatua watuhumiwa wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
na Makuburi Ally WAKATI Rais wa Benki ya Dunia, Robert Zoellick anatarajia kuzuru Manzese jijini Dar es Salaam wiki ijayo, wajumbe wa mitaa ya Mwembeni na Midizini wamegoma kushiriki shindano la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…