Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

"Vijana waliobahatika kuwa na nafasi katika siasa hawapo tayari kuwasaidia vijana wenzao, maaduni wa vijana kushindwa kutoboa ni vijana wenzao, vijana wajitambue wasitumike kama machawa"
1 Reactions
0 Replies
61 Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Deogratius Mahinyila anazungumza na Vyombo vya Habari muda huu akizungumzia sakata la utekaji nchini huku akianza...
1 Reactions
7 Replies
397 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kati, Devotha Minja amesema ni sahihi kuweka utaratibu wa ukomo wa ubunge na udiwani wa viti maalumu. Devotha aliyewahi kuwa...
1 Reactions
2 Replies
185 Views
Wakuu wa wilaya za mkoa wa Tabora wameiomba serikali kuwajengea nyumba za kuishi pamoja na ofisi zao, wakieleza kuwa kwa sasa wanatumia majengo chakavu na ya zamani. Baadhi ya majengo hayo hujaa...
0 Reactions
5 Replies
311 Views
Hujawahi kuwa na Mamlaka hayo, Huna na wala hutokuja kuwa nayo. Wewe endelea na porojo zinazohusu chama chako tu. Tumeona tukukumbushe hili mapema kabla hujaendelea kupotosha zaidi. No Reform...
10 Reactions
21 Replies
527 Views
Wakuu, CHADEMA msijichanganye kumuweka mtu mwingine kugombea nafasi ya Urais CHADEMA zaidi ya Godbless Lema. Tundu Lissu ni maarufu ndio lakini linapokuja suala la kuwa Rais, Godbless Lema ni...
6 Reactions
26 Replies
730 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo...
1 Reactions
20 Replies
515 Views
Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya uandikishaji wa watu watakoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, CHADEMA wanahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha lakini CCM wanaendelea kuimarisha mbinu zao...
33 Reactions
129 Replies
7K Views
Mama umepigaje hapo? Zile timu 2 zitauawa kwadizaini hiyo. Yule wa Cuba pia anarudishwa chamani kuchukua nafasi ya ndugu marangi(kwa kiingereza marangi ni ma.....) Pole sana kaka Gambo kumbe...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, maswali mengi yanajitokeza kuhusu mume wa Rais Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir. Katika kipindi hiki, ni muhimu kujua kama Hafidh atajitokeza hadharani...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa...
9 Reactions
68 Replies
3K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ametembelea na kujionea maendeleo ya ujenzi wa Msikiti wa BAKWATA Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera (Masjid Zahra)...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
0 Reactions
2 Replies
214 Views
Kwa mujibu wa takwimu zisizo rasmi matumizi ya simu nchini Tanzania yamefikia karibu Wananchi Milioni 30 hadi 40. Kwenye hao wanaotumia simu. Matumizi ya simu janja yaaani smartphones yanaweza...
8 Reactions
30 Replies
959 Views
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi kwenda kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Halmashauri ya Manispaa ya Singida, ikiongozwa na Mkurugenzi wake, Joanfaith Kataraia, imefanya bonanza maalum la kusherehekea Siku ya Wanawake. Katika bonanza hilo, yamefanyika mashindano ya...
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Kuelekea siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 mwezi wa tatu itakayofanyika kitaifa mkoani Arusha, leo wakazi wa mkoa huo wamefurika nje ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kwa ajili ya kufanya...
5 Reactions
21 Replies
887 Views
Klabu ya Arusha Saccos imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Mhe. Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, wakisema amekuwa chachu ya...
1 Reactions
5 Replies
203 Views
Chadema polepole wameanza kutumia Media vizuri zaidi. Tofauti na CCM ambayo viongozi wao wamejiweka kama vigogo wenzao Chadema wamejiweka kama watu wa kawaida. Huwezi kumsema mtu ni wa fujo wakati...
6 Reactions
7 Replies
536 Views
Wakuu, Naona suala la utekaji limekuwa ni suala gumu mno imefikia hatua hadi CCM wameanza kupiga kelele. CCM tulieni. Kila mtu atafikiwa kwa wakati wake. Haya makelele Chadema walianza mapema...
0 Reactions
5 Replies
508 Views
Back
Top Bottom