Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mratibu wa Kitaifa wa Umoja wa Wanawake Wanasiasa (Ulingo), Dk Ave- Maria Semakafu amesema anatamani wanasiasa wanaochipukia ndio wapate ubunge wa viti maalumu ili wazoefu waende majimbo...
0 Reactions
1 Replies
126 Views
Wakuu, Naombeni kueleweshwa huyu mtoto wa Lowassa, Fred Lowassa anafanya nini bungeni maana tangu ashinde Ubunge wa Monduli mwaka 2020 ameuliza swali moja tu? Ukifungua website ya bunge...
1 Reactions
26 Replies
700 Views
Askofu Bagonza aeleza namna 4R za Rais Samia Suluhu Hassan zilizotekwa na baadhi ya watu kwa kushindwa kuzifuata kama alivyokuwa akitaka Rais zifuatwe. Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu...
2 Reactions
15 Replies
952 Views
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji kutoka Umoja wa vijana UVCCM Taifa, CDE Jessica Mshana amesema umoja huo upo tayari kujibu hoja mbalimbali zitakazotowela juu ya chama hicho, kuelekea katika...
0 Reactions
2 Replies
132 Views
  • Redirect
Kwenye One on One with Charles William, Mwenyekiti wa CUF Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema baada ya kuongoza chama hicho kwa miaka 25, hakutaka kuendelea kuwa mwenyekiti lakini wanachama wa...
2 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Katika mahojiano na Charles William , Mwenyekiti wa CUF Taifa Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa CHADEMA imekua ikikataa ushirikiano wowote wa kisiasa. Pia Lipumba alieleza kuwa Tundu...
0 Reactions
10 Replies
311 Views
Wapendwa Leo nimeona niwaombe radhi kwa nitakaowaudhi. Kama kuna kitu kinanisikitisha kwenye SIASA zetu ni kutokuwa na UKOMO VITI MAALUM Hiki kiti kumekuwa kama mwenye nacho apewe maana kuna...
3 Reactions
18 Replies
264 Views
Kama sio hadaa na utapeli wa kisiasa kwa wanachama weke ni nini? Maana ni wazi ndugu zangu kwamba, kama yeye kwa ubinafsi wake amepima na kujitathmini kwamba kwa nafasi anayotarajia kugombea...
0 Reactions
25 Replies
597 Views
Kama Mwananchi na Raia wa Tanzania ninawashauri CCM na CHADEMA wakae meza moja na wajadiliane kuangalia yale mapungufu yanayoonekana kuelekea Uchaguzi Mkuu ili yafanyiwe marekebisho kama...
2 Reactions
21 Replies
550 Views
Wakuu, Wakati taifa linaeleka kenye Uchaguzi, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha amewaomba wanasiasa wasitumie fursa ya kuwafuturisha wananchi kama rushwa ya kwenye uchaguzi Soma pia...
1 Reactions
13 Replies
594 Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba amesema baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani ambao wamekuwa wakijinasibu na kudai ‘No Reform...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tawi la Ramadhani Victor Kawogo amejiunga Chama cha Mapinduzi (CCM) Machi 05, 2025 katika Mkutano wa Usomaji wa Taarifa ya...
0 Reactions
1 Replies
127 Views
Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, ameonesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam Awamu ya Nne (BRT 4) kuanzia...
3 Reactions
15 Replies
413 Views
Katibu Mkuu wa zamani wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Catherine Ruge amesema vyama vya siasa ni nyenzo muhimu ya kuhakikisha wanawake wanajengewa uwezo wa kuwania majimbo, lakini bado...
1 Reactions
5 Replies
270 Views
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu. Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi. Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri...
47 Reactions
113 Replies
3K Views
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa...
9 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni kweli kwamba sheria ya sasa ya uchaguzi ni kwaajili ya CCM siyo kwa ajili ya umma. Sheria imetengenezwa kumzuia hata mwana CCM aliyetakiwa na chama ila anatakiwa na wananchi asishinde kwa...
1 Reactions
1 Replies
72 Views
Nani asimame CDM kati ya hao wawili kwa uchaguzi wa rais
0 Reactions
6 Replies
397 Views
Kwa namna ya pekee sana, Chadema wameamua kujimaliza wenyewe kwa kujiengua na kususia uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, na kukwepa kisayansi aibu ya kushindwa vibaya sana na chama Tawala...
0 Reactions
34 Replies
658 Views
Mratibu wa Kitaifa wa Umoja wa Wanawake Wanasiasa (Ulingo), Dk Ave- Maria Semakafu amesema anatamani wanasiasa wanaochipukia ndio wapate ubunge wa viti maalumu ili wazoefu waende majimbo...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Back
Top Bottom