Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimekutana na habari hii kwenye Gazeti la Mwananchi inayotaja jina la Mh Mkuchika na kujiuliza kama ule "mgomo" umekwisha au laa Serikali yajikuta katika mtego wa kuliadhibu gazeti lake Na...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
PCCB acts tough against corruption ANNE ROBI Daily News; Thursday,November 13, 2008 @21:15 The Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) Dr Edward Hosea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi? Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa...
0 Reactions
405 Replies
51K Views
hili ni mojawapo ya maswali ambayo bado sijapata majibu yake kwa hakika. Mara nyingi tumeona jinsi sekta binafsi (makampuni kadha wa kadha na watu binafsi) wakiunga mkono chama tawala aidha kwa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Date::11/10/2008 Makamba chupuchupu tena Na Ramadhan Semtawa, Dodoma Mwananchi NJAMA za kumng’oa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba, zimegonga ukuta. Kugonga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
•Zanzibar ni nchi ndani na nje ya Tanzania •Hatukuchanganya utaifa bali uraia •Mjadala haujafungwa, bado unaendelea •Zanzibar daima…jana, leo na kesho Na Mohammed Khelef Ghassani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau mbunge wa mbeya vijiini..ndugu nyaulawa ni mgonjwa...sana ..tumkumbuke kwenye maombi...
0 Reactions
89 Replies
16K Views
Na Said Mwishehe, Majira MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Bw. Zitto Kabwe amesema anafurahishwa na hali ya mvurugano inayoendelea ndani ya Chama chaMapinduzi (CCM) na hasa kauli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sultan Seif Sharrif Hamad ameshachukua fomu za kugombea tena nafasi ya katibu mkuu wa CUF. Lipumba yeye amesema ataamua wiki moja kabla ya uchaguzi wa chama hicho ili kutowatisha wanachama wengine...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Gold has tailings Anne Outwater Daily News; Saturday,November 08, 2008 @21:15 I feel relief every time I read that the mining contracts are about to be reviewed. It may relieve some of the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Well.. habari ndiyo hiyo! Ukitaka nakala yako kila wiki fuata maelekezo kwenye kijarida ili ujiandikishe.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF heshima zenu wakuu . Leo baada ya kuona Ngeleja kaanza kutoa matamko ya kugawa Umeme Mbeya vijijini huku akijua kwamba kuna moto waja nimekumbuka juu ya Jimbo la Ndugu Pharacy Kabuye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
BILA kutegemewa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye majira ya kama saa tisa hivi aliingia katika Kanisa Katoliki Msasani kuja muaga aliyekuwa mbunge wa Mbeya vijijini, Marehemu Richard Nyaulawa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hapa naomba ufafanuzi.Nimepita kwenye Michuzi blog nimekuta kuna taarifa na picha za kikao cha CCM kamati kuu kilichoongozwa na mkuu mwenyewe kimefanyika ikulu leo.Jamani naomba kufahamu kama ni...
0 Reactions
220 Replies
32K Views
ndugu wanaboard, Nimekuwa nafikira njia ambayo tutaweza kuwafikia watanzania wengi katika mapigano haya ya fikra, na nikajaribu kuangalia wakati wa ukombozi ni njia gani ambayo ni effective...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hotuba hii hapa
0 Reactions
8 Replies
3K Views
NEC imeamua kuwa chaka la mafisadi? Nkwazi Nkuzi Tanzania Daima~Sauti ya Watu TAARIFA kwamba Waziri Mkuu mfukuzwa, Edward Lowassa, hakuwa na hatia bali alijiuzulu kuwajibika, ila...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CCM yaizidi kete CHADEMA, yabuni mbinu ya kupunguza wabunge wa upinzani CCM imebuni kete mpya ya kuizidi CHADEMA na kupunguza nguvu ya upinzani bungeni. Katika mkakati huo mpya ambao umeshapata...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
How the State trapped them 2008-11-09 13:56:45 By Staff Reporter For nine months, local analysts and politicians have waited with baited breath to see if President Jakaya Kikwete would...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Kikao cha NEC Dodoma: CCM wasutana na Mwandishi Wetu Tanzania Daima~Sauti ya Watu MVUTANO mkali uliibuka jana katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa NEC- CCM kuhusu mwenendo wa baadhi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…