Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi...
4 Reactions
16 Replies
354 Views
Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Elizabeth Mwakimomo, amesema mabadiliko katika nchi hii yataletwa na chadema na kuongezea kuwa Kauli za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Kwa kweli binafsi nimechoka na wagombea wa vyama. Hii 'No Reforms no Election ya CHADEMA inapigania na mgombea binafsi?
3 Reactions
22 Replies
476 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa mgawanyiko ndani ya CHADEMA unazidi kudhoofisha nafasi ya chama hicho kushindana na CCM katika uchaguzi...
1 Reactions
26 Replies
664 Views
Wakuu, Majuzi kuna mdau aliweka uzi kuhusu mitungi ya gesi kugaiwa kwa masharti ya kutoa namba ya nida - Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti...
1 Reactions
38 Replies
791 Views
Matunda ya ziara ya Rais Samia Nchini Indonesia na Yale ya Rais wa Indonesia hapa Tanzania yamezaa matunda Kwa Wana Mtwara. Ambapo kampuni ya kutoka Indonesia ya Essa Group of Industries imesaini...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu, Kamati ya Bunge ya Bajeti imesema hadi kufikia Juni, 2024 deni la Serikali lilikuwa Sh.Trilioni 96.8 sawa na ongezeko la asilimia 18.18 ikilinganishwa na Sh.Trilioni 81.9 katika kipindi...
3 Reactions
24 Replies
466 Views
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na...
13 Reactions
93 Replies
2K Views
Hellow Tanganyika!! Nimekaa Mahali USINGIZI umekata, wazo likanijia kumhusu Mh Ndugai pale alipoitisha press kuishauri Serikali kuhusu kujitegemea kuachana na mikopo kiduchu. Na kilichonivutia...
13 Reactions
61 Replies
3K Views
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaopinga mchakato wa Rais Samia Suluhu Hassan kupewa nafasi ya kugombea bila upinzani, tunakaribishwa kukutana hapa ili kujiorodhesha majina yetu...
0 Reactions
2 Replies
281 Views
1. Historia ya Hali ya Mashariki ya DRC 2. Chanzo ni kipi cha kutoweka kwa Amani 3. Tanzania inaathirika vipi na hali hiyo? 4. Je, ni akina nani wahusika wakuu wa hali inayoendelea...
0 Reactions
13 Replies
319 Views
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema serikali imelipa takribani Sh bilioni 254 ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya barabara na madaraja nchini baada ya...
1 Reactions
3 Replies
175 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika...
5 Reactions
62 Replies
2K Views
Ndoto kubwakubwa za wanasiasa na wanataaluma vijana zimeuawa na vihela vidogo vidogo visivyojaa hata bahasha ndogo. Kwa wanasiasa vijana wameamua kutumikishwa na wakongwe wa siasa na kazi yao...
18 Reactions
85 Replies
11K Views
Wakuu, Asubuhi ya Jumamosi Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa aliweka pandiko kwenye account yake ya Insta iliweka lebo kwenye gazeti la Nipashe "SIO KWELI (MISINFORMATION)" na kuongeza maelezo...
3 Reactions
14 Replies
663 Views
Wakuu, Ifikie muda tuache ku-judge wanasiasa kwa kutujengea vyoo na mabarabara. Unakuta mwanasiasa anaenda kukopa World Bank na IMF alafu anaenda kujenga shule na zahanati Kibaya zaidi...
3 Reactions
6 Replies
205 Views
Rais Samia Suluhu ameaminika na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuwa mwenyeji wa kikao cha usuluhishi kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
0 Reactions
4 Replies
168 Views
Hii video inajieleza kwa mengi sana japo alikuwa na makando kando yake ya kibiashara hasa figisu za masoko kwa wafanya biashara wenzake ambapo katika ushindani wa soko kwa Wafanya biashara ni...
9 Reactions
26 Replies
1K Views
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious. ..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani. ..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba...
34 Reactions
45 Replies
1K Views
Kuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika. Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha...
17 Reactions
130 Replies
13K Views
Back
Top Bottom