Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mpango mkakati wa CHADEMA nadhani umejikita katika kipindi kifupi na ndiyo mkakati ambao umetumiwa na vyama mfu vya upinzani kuindoa CCM Madarakani. Nilishangaa sana CHADEMA kumpokea LOWASA na...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Katika Mkutano wa Msigwa unaofanyika leo Julai 20, 2024 Iringa Mjini Lusinde amesema; "CCM na vyama vya upinzani ni kama babu na mjuu, hakuna ugomvi kati yao. "Mjukuu anaweza kucheka anavyotaka...
2 Reactions
4 Replies
271 Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa, kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 jumla ya wapiga kura wapya 5,586,433 wataandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga...
1 Reactions
7 Replies
296 Views
Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) hivi karibuni Mchungaji Peter Msigwa amemshauri Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji...
11 Reactions
163 Replies
5K Views
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya...
7 Reactions
75 Replies
3K Views
Wanasiasa Peter Msigwa na Upendo Peneza wamehamia CCM hivi karibuni kutoka CHADEMA chama kulichowalea na kuwakuza hadi kufikia ngazi ya ubunge na kuwa miongoni mwa wanasiasa maarufu hapa nchini...
3 Reactions
1 Replies
319 Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amehitimisha ziara ya Kiserikali katika kata 21 za Manispaa hiyo ambapo amezungumza na kutatua...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha...
5 Reactions
60 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa mapokezi makubwa, mazito na ya heshima aliyoyapata na kupewa Rais Samia alipokanyaga ardhi ya Mkoa wa Songwe kwa hakika nawashauri CHADEMA wasijaribu wala kusubutu...
3 Reactions
62 Replies
2K Views
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa...
4 Reactions
54 Replies
978 Views
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo Ahsanteni Sana 😂😂 Kwako Mzee Mgaya
7 Reactions
95 Replies
7K Views
Rejea: Kuelekea 2025 - Mbowe: Nitajiuzulu siasa 2025 endapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kitashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo mkoani Kilimanjaro ——— Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na...
1 Reactions
14 Replies
777 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe ameanza Ziara ya Siku 4 katika Majimbo 30 ya Kanda ya Kaskazini akitumia Usafiri wa helicopter Tuzidi kumuombea Dominica njema 😄
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Mimi huwa najiuliza sana kwanini hawa CHADEMA kila ikifika uchaguzi ni kuiponda Serikali halafu baadae kura zikishahesabiwa wanalialia wameibiwa. Hivi wana akili timamu kweli kila siku mnalia...
3 Reactions
17 Replies
515 Views
Kila kitu kichachofanywa na wanasiasa mara nyingi huwa kinakuwa na sababu nyuma yake, tayari kinakuwa kishapigiwa hesabu kuona nini faida yake na hasara yake. Kauli au taarifa za kuwepo kwa...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida kimelalamikia ĥujuma za kukamatwa ovyo kwa viongozi wanaoendesha zoezi la usajili wa wanachama kidigitali unaoendelea kwenye majimbo...
0 Reactions
6 Replies
468 Views
Tatizo la wapinzani huwa kama kondoo wenye kujipeleka kwenye kundi la simba kuliwa au mbwa kujipeleka kwenye mdomo wa chatu bila kujitetea. Acheni kulalamika tu mna mbinu gani za kufuatilia na...
0 Reactions
11 Replies
364 Views
Katibu Uenezi wa CCM mkoa wa DSM mstaafu Alhaj Hajji Manara amesema Utani wa Simba na Yanga umesaidia kuleta Utulivu nchini na Serikali inauunga mkono 100% Manara amesema unaweza kukuta Maji...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Wajumbe, naomba niwathibishie kwamba maneno aliyoyasema Waziri Nape Nnauye kuhusu ushindi katika uchaguzi siyo mzahaa. Hatanii, Nape ni jambazi la kura. Katika uchaguzi wa 2020 aliyekuwa mgombea...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom