Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Muda huu Lissu anazungumza na Vyombo vya Habari nchini Update zaidi kuwafikia ==== Mgombea Urais kupitia chama cha CHADEMA ameelezea ziara yake kwenye mikoa 16 na kufanya mikutano mikubwa na...
86 Reactions
225 Replies
19K Views
Wasalaam wana bodi, Poleni sana na majukumu ya kulijenga Taifa. Nchi yetu inaelekea katika uchaguzi mkuu na tayari mbiu imekwisha lia na amsha amsha za hapa na pale zimeanza. Kuanzia tarehe 27...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Kazi ya Vyombo vya Habari ni kutoa taarifa bila kujalisha taaarifa inahusu nini. Kufungia vyombo vya Habari kwa sababu za kihunihuni ni Uonevu uliovuka Mipaka. Kama ni Machafuko, anayeweza...
20 Reactions
47 Replies
3K Views
CCM inazindua rasmi kampeni za uchaguzi ujao siku ya Jumamosi katika viwanja vya jamhuri mjini Dodoma. Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Magufuli anatarajiwa...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Kama ni kweli haya tunayoyasikia katika mchakato huu wa uchaguzi, kuenguliwa kwa idadi kubwa ya wapinzani kwa kile kinachoitwa kukosa sifa. Je, wahusika hawaoni kuwa hii hali inaweza kupelekea...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na...
84 Reactions
981 Replies
134K Views
Ni wazi sasa kuwa nguvu kubwa imewekwa kwenye Urais huku Ubunge na Udiwani ukiwekwa pembeni. Hili linadhihirishwa kwa jinsi matatizo ya kuenguliwa wagombea yalivyoshughulikiwa mpaka dakika ya...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania Updates ---- Tayari Mheshimiwa Tundu Lissu ambaye ni mgombea Urais na makamu wake...
114 Reactions
2K Replies
178K Views
NEC imesema muda wa kutangaza wateule bado kwani kuna mapingamizi yanayoshughulikiwa na kwa mujibu wa ratiba mwisho wa kupokea mapingamizi ni leo 26 Agosti, saa 10.00 jioni. NEC imesema taarifa...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Ndugu zangu kwanza kabisa nimshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi wa Rehema zake, Nijikite kwenye mada yangu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza ACT-Wazalendo na CHADEMA mnadeni kubwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Kwa dhati ya moyo wangu napenda kukiri kuwa mimi ni admirer wako toka ukiwa Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania. Lakini kwa hali ya Siasa ilivyo nchini mwetu na kiu ya watanzania kuondokana na...
15 Reactions
36 Replies
3K Views
Mada inahusika. Licha ya ahadi za kufanyika uchaguzi huru na wa haki kutoka kwa Rais JPM na serikali yake ukweli uko wazi. Hakuna dalili na ni kama mchezo umeisha kwenye hii hatua ya uteuzi na...
3 Reactions
0 Replies
603 Views
Kuna kila dalili kuwa this time hakuna anayetaka ujinga, NEC imewaonya Media kuwa hakuna Mbunge aliyepita bila kupingwa, maana yake ni kwamba zile mbwembwe za CCM za kujitangazia ushindi wa mezani...
18 Reactions
98 Replies
9K Views
Malalamiko mengi kila uchaguzi kuwa wagombea wa upinzani ukosa kuteuliwa sababu mbalimbali, na upelekea upande wa CCM kupita bila kupingwa. Na kamwe sijawahi sikia mpinzani kupita bila kupingwa...
1 Reactions
12 Replies
774 Views
Hata kwenye mapambano ya ndondi zisizo rasmi mtaani jamaa ambaye huwa haongei sana au kujibujibu huwa ana uhakika na ushindi. Muongeaji sana huwa anakula ngumi moja tu chali anazimia na kupepewa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Yes, it was that simple. You baited them and they fell for it and oh yes, once again you exposed them for what they are. You baited them and they fell for it hook, line and sinker. Toothless...
16 Reactions
15 Replies
1K Views
Akizungumza na waandishi wa habari, ndugu Kigaila ameitaka NEC kurudisha wagombea wote wa Chadema walienguliwa kihuni. Amesema kuna watu walitekwa na vyombo vya dola kama TAKUKURU ili wasirudishe...
15 Reactions
65 Replies
7K Views
Ndugu zangu, Kwa mujibu wa aliyewahi kuwa Rais wa Marekani marehemu Abraham Lincoln anasema "Demokrasia ni serikali ya watu, iliyowekwa na watu kwa ajili ya watu" Huku Magufuli na chama chake...
0 Reactions
3 Replies
672 Views
Wakuu salaam, Baada tu ya wagombea ubunge na Udiwani wa CHADEMA kuchukua fomu maeneo mbalimbali Tanzania watu walitoa ushauri jinsi ya kuepuka makosa kama yale ya 2019. Katika majimbo yote ya...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Habari zenu Wana wa JamiiForums, Natanguliza kusema mimi si mwanasiasa, siijui siasa wala itikadi yeyote. Kwanza toka nizaliwe sijawahi kupiga hata kura ndio labda mwaka huu kwa mara ya Kwanza...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom