Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chama Cha Kijamii (CCK) kimepanga kuitisha kikao kumweka kitimoto aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama hicho, David Mwaijojele, kutokana na kuenguliwa na Tume...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati CCM ikiangaika kukusanya wasanii kwenye mikutano vyama vingine vimeamua kujipima vinakubalika vipi bila kuwa na wasanii na bila kubeba wananchi kwenye malori. Je. Kwa Hali hii mkakati wa...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Huduma za sheria wa tume ya uchaguzi Emmanuel Kavishe amesema kama pingamizi la Tundu Lisu wa Chadema dhidi ya DKT. Magufuli wa CCM lingekuwa na mashiko basi tume ingechukua hatua...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
VYAMA vya Siasa 12 vimeitaka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kumchukulia hatua kali za kisheria Mwenyekiti wa chama cha ACT wAZALENDO, Maalim Seif Sharif Hamadi kwa kutoa kauli za kichochezi...
3 Reactions
105 Replies
13K Views
Amani na utulivu huvunjwa na wahubiri wake. Inapotokea mhubiri akatoa hubiri kusisitiza jambo halafu yeye akaenda kinyume chako basi matokeo lazima yawe hasi. Ukihubiri amani halafu ukaanza kuwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Honestly TBC wanatangaza wanakuja kuwafanyia coverage mlitarajia fairplay? Yaani Lissu aelezee jinsi jamaa alivyoagiza apigwe risasi kwamba ni msaliti anawasiliana na Mwanyika ambaye naye ni...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeshangaa na kukurupuka kwa chama hiki kuandaa mkutano wa leo Zackem, Mbagala. Maandalizi mabovu watu wa Dar wanahitaji uwaandae uwape muda wakuweke kwenye ratiba. Dar sio mkoani au wilayani...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu zinaanza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mapambano huo utakuwa mkali sana, baina ya mgombea wa Chadema, Tundu Lissu na mgombea wa CCM John...
18 Reactions
71 Replies
6K Views
Godbless Lema ni Mbunge aliyemaliza muda wake na Mrisho Gambo ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyetumbuliwa. Lema anekuwa Mbunge kwa zaidi ya miaka kumi sasa lakini mara nyingi amekuwa akizitumikia...
2 Reactions
53 Replies
8K Views
WANACHAMA WA CCM JIMBO LA KALIUA WAJIUNGA NA CHAMA CHA CUF Naibu Katibu Mkuu wa CUF, mhe. Magdalena Sakaya amewakabidhi kadi za CUF wanachama wapya waliotoka chama cha mapinduzi (CCM) Jimbo la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima sana. Leo niliamua kufanya tathmini yangu isiyozingatia vigezo wala kibali kutoka mamlaka husika. Nimefanya mahojiano na makundi mbali mbali na sehemu tofauti tofauti katika viunga...
11 Reactions
23 Replies
3K Views
Mabomu ya machozi yanarindima wakati huu jimbo La Iramba Magharibi mkoani Singida ambapo Mgombea ubunge jimbo hilo kupitia CHADEMA Bi Jesca Kishoa inasemekana amekamatwa na kufungiwa ofisi za...
13 Reactions
126 Replies
12K Views
Mheshimiwa Lissu na wapenda demokrasia wote.Hongereni kwa kuzindua kampeni leo ktk viwanja vya zakheem Mbagala.Kuna mambo kadhaa nimejifunza,vema tushirikishane. MOSI: Jazba na hasira.Bado...
2 Reactions
8 Replies
787 Views
Ni Imani yangu CHADEMA wameshaona na kujifunza kuhusu nguvu na udhaifu wa mgombea urais wao . Siwezi kukosoa sana kwa kuwa mgombea alikua akicheza one man show na freestyle. Sasa ni kampeni rasmi...
27 Reactions
78 Replies
6K Views
Na Mwandishi Wetu CHAMA cha ACT–Wazalendo kimesema kinaendelea kutafuta haki ya wagombea wake wa nafasi za ubunge na udiwani ambao wameenguliwa kihuni na wasimamizi wa uchaguzi kwa kufuata...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Wakuu nawasalimu wote, Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM === TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa...
13 Reactions
129 Replies
13K Views
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Leo hii ametoa hotuba (maelezo) kwa waandishi wa habari kuhusu figisu za Uchaguzi huu mkuu. Ni Serikali ya kijinga tuu ndio inayoweza kupuuzia maonyo aliyotoa bwana...
8 Reactions
42 Replies
6K Views
Jina la Tundu Lissu, ndio linalotajwa sana kwa Sasa kuliko Mtazania yeyote hususan kwenye mitandao ya kijamii. Jina hili linatajwa kwa ubaya na uzuri. Kwa kipindi cha takribani siku mbili...
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Uchaguzi: Tume ya uchaguzi baada ya kupokea pingamizi dhidi ya wagombea hao, imewataarifu wawekewa pingamizi mapema iwezekanavyo na wahusika wamewasilisha utetezi wao. Pingamizi...
17 Reactions
473 Replies
41K Views
Back
Top Bottom