Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Huhitaji kufanya uchunguzi wa kina kugundua kama wapinzani nchini hawajajipanga Ukiangalia utagundua wabunge wote wa upinzani wa kuchaguliwa ambao wana uzoefu bungeni hawajakutana na "panga" la...
15 Reactions
89 Replies
6K Views
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea...
9 Reactions
42 Replies
5K Views
Emmanuel Masonga(CHADEMA) amuwekea Deodatus Mwanyika(CCM) pingamizi kwa kuwa alikiri na kuhukumiwa kwa Ukwepaji Kodi na akalipa Fidia ya 1.5 Biliona pamoja na Fine ya 1.5 Million. Deodatus...
19 Reactions
123 Replies
17K Views
Imetokewa na: KIZAZI CHA KUHOJI AFRIKA Dar es Salaam, Agosti 28 Leo tumesikitishwa sana na mwendelezo wa CHADEMA kukiuka uhuru wa habari, dhana muhimu katika haki za binadamu. Kitendo cha...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
"Miongoni mwa Wagombea wetu 218 wa majimbo yote 264 nchini, wagombea 40 hawakuteuliwa kabisa!Wagombea 22 wameenguliwa kwa mapingamizi Tanzania Bara na 14 Zanzibar (9 Pemba). Jumla wagombea 76...
5 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama mada inavyojieleza hapo juu, karibu ndugu msomaji tujadili. Tanzania ni nchi inayoendesha shuguli zake za mamlaka kwa mfumo wa Demokrasia kama ilivyo ainishwa katika utangulizi wa katiba...
1 Reactions
1 Replies
999 Views
Siku chache zikiwa zimebaki kabla ya kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2020, minong'ong'o mingi imekuwa ikijitokeza hasa kuhusiana na idadi ya wagombea wa Ubunge kupitia chama chetu. ukweli ni kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kampeni mtu unatakiwa ueleze changamoto za mahali husika na utakavyotatua CHADEMA Mbagala mbunge wao hajakatwa na tume lakini CHADEMA imewaeleza kuwa kipaumbele ni kurudishwa wabunge waliokatwa...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
CHADEMA isitafute mchawi kuenguliwa kwa wagombea wake katika nafasi za Udiwani na ubunge kwenye uchaguzi mkuu ambao kampeni zake zimeanza tangu Agosti 26, 2020 kwani hawakuwaandaa wagombea wake...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Ushetu - Elias Kwandikwa 2. Kongwa - Job Ndugai 3. Gairo - Ahmed Shabiby 4. Kilosa - Palamagamba Kabudi 5. Mvomero - Jonas Van Zeeland 6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent 7. Morogoro...
5 Reactions
77 Replies
13K Views
Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu. Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana. Kingine nilichopenda ni muda wa mgombea...
20 Reactions
159 Replies
14K Views
Mada ya uzi huu si ngeni kwetu sisi Watanzania. Nina uhakika wengi (kama si wote) tunaIfahamu vyema hii kitu lakini ni wakati muafaka kuweka msisitizo hususani kutokana na mazingira tuliyo nayo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Hanang mkoani Manyara kimewatahadharisha baadhi ya viongozi wa chama wanaofanya vikao usiku vya kukihujumu Chama hicho. Kimeonya na kusema hakitasita...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Shibuda alaani Waajiriwa wa TAMISEMI kutofuata Utaratibu na Matakwa ya Sheria za Uchaguzi Mkuu 2020. Mgombea urais huyo kupitia chama cha ADA...
12 Reactions
21 Replies
4K Views
2015 mgombea wa uraisi kupitia CHADEMA kwa mwamvuli wa ukawa alishindwa kusoma ilani ya chama akaishia kutoa yake ya kichwani kuwa atamleta Balali marehemu,kumuachia babu seya na kuwatoa masheikh...
6 Reactions
128 Replies
5K Views
Baada ya kumsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara,kamanda Bensoni Kigaila, nimepoteza hata hamu ya kufuatilia uzinduzi wa kampeni kwani kwa idadi ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA...
27 Reactions
147 Replies
14K Views
Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu. Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa...
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Hii ni kukupeni taarifa kabla ya habari. Kemeeni engua engua za wagombea. Msijitenge na kilio hiki ambacho hakuna asiyeona rafu hizi za wazi. Upuuzi wa kufanikisha...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi namba 13 ya mwaka 2004 kipengele cha 48 mgombea aliewekewa pingamizi anatakiwa kwenda kujibu hoja mbele ya mgombea aliyemwekea pingamizi na kujibu hoja Sasa leo...
50 Reactions
243 Replies
57K Views
Mbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji. Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia kama aonyeshe je...
12 Reactions
143 Replies
14K Views
Back
Top Bottom