Ni kawaida kwa watia nia wa ubunge na udiwani ambao hawakuteuliwa kuitwa majimboni kusaidia kampeni za wagombea wa CCM kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani.
Baadhi wameitikia wito huu. Kimbembe sasa...
Nimefurahishwa sana na sera ya Chadema ya, uhuru, haki, na maendeleo. Ila binafsi ningependa kama ingeweza kusomeka, kuondoa udikteta, kuleta haki, na uhuru. Udikteta, kukosekana kwa haki na...
Ilani ya Chama cha Mapinduzi naamini imeandikwa kwa maelekezo ya mtu au kikundi cha mtu akareflect kile anachokiwaza na siyo kile Watanzania wanataka.
Ilani ya CCM haina muda na maisha ya...
29 Agosti 2020
Mwanasheria Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, aweka hadharani kinachoendelea Pemba.
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Omar Said Shaaban, ambaye anasimamia mchakato wa...
Kama tangazo linavyojionesha hapo chini, sijui wakurugenzi wengine wanasubiri nini kufuata mfano wake.
Inapendeza sana kiongozi kuwa na maamuzi yake kama alivyofanya huyu Mkurugenzi, watu wa aina...
Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha
Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa...
Mambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa.
Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima...
Wazee wa kimila jamii ya kimasai (Laiguanani) katika jimbo la Vunjo wilayani Moshi wamemweka mgombea wa ubunge jimbo hilo Dkt. Charles Stephen Kimei na kumsimika kuwa ndiye 'Simba wa Vunjo' kwa...
CUF NI CHAMA CHA WANANCHI KINATEGEMEA WANANCHI WENYEWE TUCHANGIE CHAMA CHETU TUWEZE KUSHINDA UCHAGUZI HUU NA TUTASHINDA
#HABARI Mgombea wa urais wa Tanzania kupitia CUF, Mchumi wa Dunia Prof...
Baada ya majina ya wagombea kupitishwa, sasa umezuka mtindo wa kila jimbo, kila kata kulazimisha mapingamizi ili wagombea wa CCM wapite bila kupingwa. Huu ni uzembe na uhayawani wa chama kikongwe...
Amani iwe nanyi wadau,
Kama mnavyojua watanzania, kampeni zimeanza rasmi kwa ajili ya uchaguzi Mkuu. Vyama Vikuu vinavyoshindana mwaka huu kwa Upande wa Tanzania bara ni Chadema na CCM na upande...
Ndugu Watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kutupa uzima na kuiona siku hii ya leo.
Kwa kifupi sana, naamini jana wote tulijionea hali halisi ya uzinduzi wa...
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow...
Habarini JF members, poleni na majukumu lakini pia hongereni kwa kuendelea kufuatilia kampeni zinazoendelea nchini kuanzia tarehe 28/8/2020.
Nimeleta mada yangu kwa muundo wa swali ili kujaribu...
Kwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa...
Uchaguzi ni suala nyeti.
Lazima Tume ihakikishe yenyewe inawashauri wanaokosea kurekebisha.
Kwa Lugha nyingine udhaifu wa form usiwe kosa la Mgombea bali TUME.
Hivi inguwaje kama nchi ingemkosa...
Wana Arusha kuanzia Babati Karatu Monduli Namanga Mto wa Mbu, Usa River Ngaramtoni Mnakaribishwa kesho kwenye viwanja vya NMC RELINI kuanzia saa nne asubuhi. Rais Mtarajiwa Mwanasheria Nguli...
Kampeni zikiwa zimeanza rasmi na baadhi ya vyama kufungua kampeni zao kwa mbwembwe na kwa kujiamini bila kujua walichofanya ni sawa na sifuri kwetu wapiga kura.
Pengine, walitarajia ufunguzi wa...
Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.
Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu...
Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.