Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

NEC leo inatarajiwa kutangaza waombaji walioteuliwa kugombea urais wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Wagombea hao walitakiwa kupata wadhamini 200 kila mkoa kutoka...
1 Reactions
93 Replies
16K Views
*UCHAGUZI TUNASHINDA KWA TECHNICALITIES NA KWA KURA.* Na Elius Ndabila 0768239284. Wakati mchakato wa uchaguzi ukiwa unaendelea, basi ninataka niwakumbushe mbinu za ushindi kwenye chaguzi zozote...
1 Reactions
17 Replies
975 Views
Kushinda uchaguzi bila kuchaguliwa kwa kisingizio cha kupita bila kupingwa ni jipu ambalo yafaa litumbuliwe haraka ili kuleta usawa na kushamirisha amani ya Nchi yetu. Haiingii akilini kuwa mtu...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeshangazwa sana na hawa viongozi wakuu wa upinzani, badala ya kuwa bega kwa bega na wagombea wao wa urais, ubunge, na udiwani, eti nao wanatafuta Ubunge ili wakawe mawaziri wakuu au viongozi wa...
1 Reactions
7 Replies
988 Views
Wasalaam, CCM imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. CCM imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa sasa ipumzike sababu za kuipumzisha ni...
23 Reactions
60 Replies
3K Views
Wagombea wa CHADEMA Moshi wakataliwa kupokelewa fomu zao na Mkurugenzi. ====== Mkurugenzi amegoma kupokea fomu baada ya tuhuma za awali kwamba sio halisi na kutaka kabla wahusika hawajazirudisha...
14 Reactions
177 Replies
21K Views
Ndugu Membe ameongea maneno mazito na yenye hekima. Tabia ya taasisi zinazosimamia chaguzi kufanya kazi kwa maelekezo ya watawala ili zisitende haki ni jambo baya kabisa. Hawa watu wanahatarisha...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
=========== Tundu Lissu amewataka wanachama wasishangilie sana kwani wanatarajia mapingamizi hivyo wasubiri kesho mpaka saa kumi kuona hali itavyokuwa. Tundu Lissu: Sio wao peke yako wanaojua...
46 Reactions
108 Replies
12K Views
Kuna propaganda zinaenezwa na ccm kwamba Chadema ni chama Cha mitandaoni mala wapiga kula wapo vijijini lengo ni kuondoa morari ya wanaotaka kukipigia kula hata wale ambao hawana vyama. Sasa...
10 Reactions
6 Replies
1K Views
Leo ni siku ambayo kampeni nhini Tanzania zinaanza kuelekea uchaguzi mkuu ambao utafanyika tarehe 28 Oktoba 2020. Niwaombe wanasiasa wafanye kampeni za kistaarabu, ni wakati wao wa kuuza sera zao...
0 Reactions
12 Replies
986 Views
Najaribu kuifuatilia safari ya njia ya msalaba kupitia Biblia Takatifu, kiukweli kuna baadhi ya maamuzi ni vigumu kuyafanya ukiwa vuguvugu ni ama uwe na Roho Mtakatifu au uwe na Roho wa Shetani...
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Mtu mmoja (jina linahifadhiwa) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa tuhuma za kuhusika kumteka nyara mgombea udiwani kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata ya...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wanachama watatu wa Chadema walioghushi barua za utambulisho wakijifanya ni wanachama wa chama cha SAU na kutaka kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa njia ya...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA...
2 Reactions
202 Replies
17K Views
Benard Membe na Makamu wa Rais (wagombea) wa ACT-Wazalendo wamekidhi vigezo vya kuteuliwa na kugombea. Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa, amemteua Bernard...
2 Reactions
90 Replies
12K Views
Historia huwa ni mwalimu mzuri sana. Na hii hii historia unaweza kuitumia kujua nini kinafuata. 2000 ya Mkapa ilikuwa rahisi sana sababu kwa miaka 5 yake watu walishamuelewa na kumkubali zaidi...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Hakuanza leo, alianza akiwa shule na aliendelea hivyo hivyo kabla ya kuwa Mbunge, aliendelea hivyo hivyo baada ya kuwa Mbunge na anaendelea hivyo hivyo baada ya kuporwa ubunge kwa hila. Hakuanza...
23 Reactions
28 Replies
4K Views
Tulishuhudia wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, leo pia tumeshuhudia katika mchakato wa uchaguzi mkuu: 1. Wagonbea wa CCM walijaza fomu vizuri, zimepokelewa bila shida Baadhi ya wagombea...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
Back
Top Bottom