Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Roho inaniuma mno kuona ni jinsi gani baadhi ya watanzania wenzetu especially walioko madarakani wanavyotufanya wananchi wajinga na tusio na uelewa wowote. - Hivi ni kweli bado week 2 kabla ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nipo nje ya jiji la dar lakini nimebahatika kupata habari kuwa kunawatu hapo dar wameandaa show za bure ili watu wakose fulsa ya kumuona na kumsikisiza Dr slaa. Kwan hali ipo wazi kabisa kuwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Dk.Slaa aandaa Mawaziri WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kikitamba kunyakua zaidi ya majimbo 47 Tanzania Bara, mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
hivi kwanini mikoa inayoikumbatia ccm hapa tz ni masikini ya kutupwa?mimi ninayoijua ni singida,lindi,mtwara na tabora,jf plz,ni serious ishu haswa tunapoelekea kwenye uchaguzi,tuisaidie wafanye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi nina maswali yafuatayo ambayo ningependa nimuulize 1. Ningependa kujua kuhusu hao vijana wake wa kazi mashushushu wanaompa taarifa mbali mbali anazokuwa anadai ni mabomu analipuwa, kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dr. Slaa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA anafafanua masuala mengi ikiwemo: Comparative advantage Stimulus package ya uchumi (kinga dhini ya mdororo wa kiuchumi duniani) Stabilization Fund...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika Hali ya kushangaza na kushtusha. Membe ameenda mkoani Mwanza kwa nia ya kukanusha "uvumi" anaosema unaenezwa na walioshindwa kupata urais ndani ya CCM. Uvumi aliosema unaenezwa na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Utafiti wangu wa kina umebaini yakuwa CCM ina ajenda za siri ambazo utekelezaji wake utazua mgawanyiko mkubwa wa utaifa wetu na ndiyo maana hawapo tayari kuzizungumzia hadharani wakati huu wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mpendwa sana dada Rose, na Team yako yote (Mh Ulimwengu, na Tanzania Foundation for Civil Society) iliyoandaa kazi ambayo ni exceptional Tanzania, yaani Debate ya jana Usiku kwa Dr Slaa (mgombea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepata habari kwamba jana mchana kumetokea mapigano kiasi cha waumini kukimbia ovyo katika msikiti mmoja mjini Bukoba. Msikiti huu maarufu kama msikiti wa waarabu uliopo katika eneo la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Be part of a national election monitoring exercise for #UchaguziTZ Ushahidi comes to Tanzania! It comes in the form of uchaguzi.or.tz, implemented by TACCEO, a group of 16 Tanzanian civil...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimetoka mazoezini sasa hivi. Nilipitia kibanda cha magazeti kununua machache. Kulikuwa na watu 8 niliokadiria umri wao kuwa Kati ya miaka 25 hadi 40. Mjadala ulikuwepo wenye hisia mchanganyiko...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siri za CCM, CUF zavuja MAKUBALIANO kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kuhusiana na mwendo kuelekea uchaguzi mkuu yamevuja, MwanaHALISI linaweza kuripoti. Taarifa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimekuwa niki fuatilia kwa makini utendaji kazi wa hii taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kwa muda sasa. Kwa muundo wake kwa sasa ni heri isiwepo kabisa kwani wanakula na kutuongezea gharama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima mbele wazee. Kutokana na watu wengi kulalamika kukatiwa umeme jana wakati kituo cha ITV kinarusha matangazo ya moja kwa moja na mgombea kiti cha urais kutoka chama cha CHADEMA Dr W.P...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zilizojiri hivi punde ni kwamba Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Robert Manumba amewasili wilayani Maswa. Habari zaidi zinadai kuwa Manumba yumo wilayani Maswa kwa ajili ya kusaidia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mi napendekeza apewe michezo na utamaduni!! Sidhani kama wadau mtapenda asimamie fedha! au mnaonaje wadau? kama vp tusimpe kitu labda Dovutwa!!
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 20 October 2010 CCM wanamkomoa nani: wapinzani au wananchi? | Gazeti la MwanaHalisi KATIKA baadhi ya hotuba zinazorudiwa katika vituo vya televisheni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo tena majira ya asubuhi, historia imezidi kukolezwa wino baada ya mmoja wa wazalendo wa nchi na mfuasi wa kweli wa siasa za Mwalimu Nyerere, Mustafa Jaffar Sabodo amechangia Tsh. Mil 100 kwa...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Natamani sana Jumapili ijayo, yaani 31/10/2010iwe siku ya mwisho kwa Jakaya Mrisho Kiwete kuwa Rais. Lakini ili tufike huko inabidi tufanye mambo yafuatayo ili Dr.Slaa amshinde Kikwete na awe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom