Mwalimu JK Nyerere baada ya kuachana na ualimu aliendelea kuitwa Mwalimu, hata pale alipopata Udaktari, alibaki kuitwa Mwalimu na alisisitiza hivyo.
Kulikoni Jakaya Kikwete kujitukuza/ kutukuzwa...
24th October 10
CCM executing ambitious hospital project in Moshi
Daniel Ondigo
Chama Cha Mapinduzi (CCM) has planned to spend over Sh2.9 billion to construct a modern ward at Mawenzi...
wana-jamii forum mpo? mimi ndipo hivi sasa najiunga kundini. Naomba nianzae kwa kutoa maoni yangu kuhusu mdahalo wa jana wa Dr. Slaa. Awali ya yote napenda niupongeze uongozi na watendaji wa I.T.V...
Wapenwa wazalendo wa nchi hii, nashawishika kusema kuwa hata mtoto wa elimu ya awali anajua ukweli aliotoa Dr Slaa jana kwenye mdahalo. Huyu jamaa ni kiongozi, habahatishi hata kidogo. Na wale...
WanaJF;
Si vibaya tukaanza kutoa maoni na mapendekezo yetu hata kuota ni nani ambao wanaweza kufanya team nzuri katika Baraza la Mawaziri la Serikali ya Mh. W.P. Slaa endapo atashinda uchaguzi...
Wana jukwaa nimekuwa nikifuatilia sana siasa za uchaguzi wa Tanzania Bara tangu zama na zama. Kitu ambacho nimekigundua hasa katika kampeni za mwaka huu ni kuwa mikutano ya ya kampeni ya Chama cha...
Naombeni ITV mfanye muwezalo kuuza ule mdahalo wa jana... ni tukio la kihistoria si kwasababu slaa alifunika tu, hapana bali pia kwa wapinzani kupata airtime kama ile haijawahi kutokea
we needs...
Wadau...niona hili lisipite bila kuwekewa msisitizo zaidi. Katika mdahalo wa ITV jana, mgombea wa Chadema na Rais mtarajiwa Dr Slaa alitamka wazi kuwa Ikulu imetoa $1.5million (DOLA MILLION MOJA...
wakuu nimeangalia kupitia mtandao wa NEC kuhajiji jina langu sijaliona! nimeana majina ya familia yangu tu. Sasa sijui bado daftari linaendelea ku-updatiwa au nimeliwa?
Tafadhari mwenyekujua...
Nimeamini kwamba maji yamezidi unga baada ya kushuhudia kile kilichojitokeza katika mkoa wa tanga, Mh Dr slaa alikuwa akihutubia maelfu ya watu waliohudhuria mkutano wake Huku kukiwapo magari kama...
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august...
Jumamosi, Oktoba 23 Mgombea Urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa atajibu maswali ya wananchi moja kwa moja (live) kupitia ITV Televisheni, kuanzia saa moja jioni hadi tatu usiku.
Mwambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.