Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwalimu JK Nyerere baada ya kuachana na ualimu aliendelea kuitwa Mwalimu, hata pale alipopata Udaktari, alibaki kuitwa Mwalimu na alisisitiza hivyo. Kulikoni Jakaya Kikwete kujitukuza/ kutukuzwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
24th October 10 CCM executing ambitious hospital project in Moshi Daniel Ondigo Chama Cha Mapinduzi (CCM) has planned to spend over Sh2.9 billion to construct a modern ward at Mawenzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wana-jamii forum mpo? mimi ndipo hivi sasa najiunga kundini. Naomba nianzae kwa kutoa maoni yangu kuhusu mdahalo wa jana wa Dr. Slaa. Awali ya yote napenda niupongeze uongozi na watendaji wa I.T.V...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hawa sisimu wamezoea kuchakachua safari hii hata wabandike mabango ya mgombea wao, watumie ze old comedian kura hazitatosha, chadema is the new hope
0 Reactions
1 Replies
1K Views
anachambua utafiti wa tcib akiulinganisha na mapungufu ya utafiti wa redet na synovate
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wapenwa wazalendo wa nchi hii, nashawishika kusema kuwa hata mtoto wa elimu ya awali anajua ukweli aliotoa Dr Slaa jana kwenye mdahalo. Huyu jamaa ni kiongozi, habahatishi hata kidogo. Na wale...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WanaJF; Si vibaya tukaanza kutoa maoni na mapendekezo yetu hata kuota ni nani ambao wanaweza kufanya team nzuri katika Baraza la Mawaziri la Serikali ya Mh. W.P. Slaa endapo atashinda uchaguzi...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wana jukwaa nimekuwa nikifuatilia sana siasa za uchaguzi wa Tanzania Bara tangu zama na zama. Kitu ambacho nimekigundua hasa katika kampeni za mwaka huu ni kuwa mikutano ya ya kampeni ya Chama cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni ITV mfanye muwezalo kuuza ule mdahalo wa jana... ni tukio la kihistoria si kwasababu slaa alifunika tu, hapana bali pia kwa wapinzani kupata airtime kama ile haijawahi kutokea we needs...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Maalim Seif akihutubia maelefu ya wananchi huko Zanzibar. Natumaini atashinda Zanzibar.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau...niona hili lisipite bila kuwekewa msisitizo zaidi. Katika mdahalo wa ITV jana, mgombea wa Chadema na Rais mtarajiwa Dr Slaa alitamka wazi kuwa Ikulu imetoa $1.5million (DOLA MILLION MOJA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Uchunguzi uliofanywa tangu kuanza kwa kampeni unaonyesha Dr. Slaa atashinda urais kwa kishindo kuliko ule wa CCM wa 2005
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanaoweza wamuangalie Dr Slaa na Kinana wakiwa Star TV live now.
0 Reactions
172 Replies
17K Views
wakuu nimeangalia kupitia mtandao wa NEC kuhajiji jina langu sijaliona! nimeana majina ya familia yangu tu. Sasa sijui bado daftari linaendelea ku-updatiwa au nimeliwa? Tafadhari mwenyekujua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Namuona SUGU TBC lakini naona TBC wamchakachua mdahalo Wanakatakata SUGU akiwa anaongea
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimeamini kwamba maji yamezidi unga baada ya kushuhudia kile kilichojitokeza katika mkoa wa tanga, Mh Dr slaa alikuwa akihutubia maelfu ya watu waliohudhuria mkutano wake Huku kukiwapo magari kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Huu ni ujumbe ambao umetoka kwa Dr. Slaa, endapo utaupenda basi usambaze kadiri unavyoweza.
0 Reactions
169 Replies
15K Views
  • Closed
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jumamosi, Oktoba 23 Mgombea Urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa atajibu maswali ya wananchi moja kwa moja (live) kupitia ITV Televisheni, kuanzia saa moja jioni hadi tatu usiku. Mwambie...
0 Reactions
319 Replies
27K Views
WanaJF, nimefanikiwa kupata picha kutoka kwa wadau wa Tanga, Dr Kama kawa yake picha zinaongea zenyewe.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom