Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wadau wapo wana ccm wanapita hapa mtaani kwetu,mabibo wanagawa kanga,tishet na kofia za ccm,na wakishakupa wanakuandika jina halafu wanasema mpaka sasa tumeshashinda,wamemgawia mke wangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna Tcha fulani huko jimboni kwa Mzee wa Kilimo cha Mchicha New Zealand aliwahi kunitumia SMS ya propaganda kuwa Dr. Slaa si kitu si lolote. Hivi majuzi nilizungumza naye kwa simu na kunieleza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu Wana JF, Napenda kutoa wito kwa wapenda mabadiliko wote kuwa we are very close on the finishing line kuindoa ccm iliyogawanyika madarakani, ambayo ni adui wa wapenda mabadiliko na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kitendo cha Mh. Slaa kurudi Bukoba hapo kesho, kunawafanya ccm pureesha ipande na kushuka. Ukiwa Bukoba mjini gari la CHADEMA linazunguka mjini likiwa na Mziki mkubwaaaaaaaaaaa ambao unaimba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wana CCM. Naomba mumshauri ndugu JK aende Mwanza akazime moto.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
JK kweli anapenda mzaha. Kwa kuwa mikutano yake inajaa watoto wa shule, basi siku hizi anachokifanya kila anakopita ni kucheza kidali po na watoto wadogo. Hivi munaoshabikia JK muna akili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Government of the Republic of Tanzania is going to make her general election on 31st October 2010.This month has been described as the Unique month,this is to say'it has never been happened...
0 Reactions
2 Replies
909 Views
Haya wadau, kama mjuavyo, ile mada ya Kikwete kuanguka imefungwa. Sasa hii mpya nimeifungua ili tuendeleze libeneke. Watanzania tunataka tuambiwe ukweli kuhusu afya ya amirijeshi mkuu wa...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Ndugu zanguni kampeni zimefanywa kwa kiasi kikubwa ba zinaendelea ila kuna kila dalili ccm na kikwete wameshindwa kukata japo 1% ya kiu ya wat ya kuwa na maisha bora na watz wamekichoka chama hiki...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kweli nchi yetu ina wazalendo.luat star tv,the guy is smart na real patriotic
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Saidi Mwema amekanusha vibaya sana tuhuma za makaratasi ya kura kukamatwa kule Tunduma. Amedai huo uvumi ni uzushi mtupu. Amesema mapolisi wamelikagua hilo gari lakini hawakuona hayo makaratasi ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari Kamili Hii Hapa. Siku moja kabla ya Kukamatwa kwa Bw lema mgombea Arusha mjini, Jana yake vijana kazi wa Chadema ambao wamepagwa mji mzima kuhakikisha bibie tmoa rushwa batilda hagawi fedha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za uhakika 100% ni kwamba gazeti la serikali la HabariLEO limeshuka uzalishaji (Uchapaji) kutoka copy 7,500 na 7,000 wiki kadhaa zilizopita hadi kuchapa nakala 6,000 tu mpaka gazeti la leo...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Leo asubuhi hii mwanangu akiwa anachezea remote ya radio bahati mbaya akafungulia Uhuru FM. Wakipitia dondoo za magazeti ya chama (ya ccm, serikali, na yale ya mafisadi), mtangazaji wa kiume...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa kweli ni mda mrefu TBC1 haishiki huku moro hata kwa kutumia dish la satelite...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF, REDET walichakachua tathimini ya utafiti walio ufanya yakuwa JK alikuwa anaongoza kwa kura za maoni na kumbe ukweli huwa haujifichi jamani ni kuwa Dr. Slaa alikuwa anaongoza na JK...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, nimetazama taarifa ya habari saa 2 usiku tbc, wameonesha dr slaa alivyoiteka mwanza Jana. Ule Imati unaashiria jambo, hasa ukizingatia punde tu walikuwa wamepigwa mabomu ya machozi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
shukrani kwa HABARI NI HABARI NDUGU YANGU
0 Reactions
3 Replies
2K Views
CCM wanaswa wakinunua shahada - Tanzania Daima Wakutwa nazo 180 WAKATI juhudi za kuliokoa Jimbo la Bukombe ambalo liko katika hatihati za kunyakuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom