Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mkwere ndugu yangu, mtani wangu, ninakuomba tu ujitoe kwenye kinyang'anyiro cha Urais. Huwezi kazi Mkwere. Kazi unayoweza Mkwere ni kukaa na Salma tu. Siyo Urais. Uliingia kwa mbwembwe Mkwere...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
JK amemwaga ahadi tena Lindi! Amesema anateua Hospitali ya misheni iwe ya wilaya ( amesahau alivyojaribu kuondoa misamaha ya kodi kwenye huduma hizi) Zaidi ameahidi kujenga hospitali nyingine ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mdau katutumia ujumbe kuwa Godfrey Lema ambaye ni mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la Arusha mjini yupo mikononi mwa polisi. Kisa na mkasa tutawafahamisha punde kwani anaendelea...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Kama Mtanzania mwingine ambaye sijapata uelewa mzuri juu ya kupiga kura kwa Rais kama niko nje ya kituo nilichojiandikisha kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kuuguza wapendwa wetu mahospitalini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tathmini ya watu waliohudhuria mkutano wa Jk, jionee mwenyewe kwenye picha. Picha kwa hisani ya KZ.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tujikumbushe siku za nyuma wakati Kikwete alitakiwa kuchuka maamuzi magumu na hakuchukua. Re: Epa na mambo yake JK: "Watanzania eh" WTZ: "Eh" JK: "Mimi Rais wenu!" WTZ: "eh!" JK: "Sina...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
As we are approaching a critical point to decide the fate of this beloved country of ours, I solemnly urge every Mwanajamii to RSVP on October 31,2010. It sound like what 'the heck' BUT note...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na vitongoji vyake, katika mkutano wa kampeni...
0 Reactions
96 Replies
15K Views
Residents of Mabibo, Dar es Salaam, check their names on a voters list pinned at a polling centre in the area yesterday ahead of polling day - October 31. (Photo: Tryphone Mweji) Source::: IPPMEDIA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa nje ya nchi na namna ya kufuatilia habari zinazoendelea imekuwa ni hapa kwenye jf na kupitia magazeti kwenye mitandao. Nimesikitika kuwa gazeti hili ambalo linaandika vizuri sana habari...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Probably you need to help me out! Mara Tamwa funga mdomo wako ! Mara Mwananchi newspaper funga mdomo wako! Mara Viongozi wa dini kaaa kimya-funga midomo yenu Mara oooooooh damu haitamwagika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, Muda mfupi uliopita nimekuwa nafanya mawasiliano na jamaa zangu walioko Mugumu kuhusu ujio wa Rais mtarajiwa Dr. Slaa. Taarifa nilizopata toka kwa watu niliowasiliana nao zinasema kwamba...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Mod. nisamehe nahisi kama Rais Slaa au wana CHADEMA walio karibu naye kila siku, wanaweza wasipate ujumbe huu kama nitaandika kwenye thrd nyingine. Mkuu wetu, tafadhari kuhusu kujibu maswali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni busara kwa muda uliobaki tume ya uchaguzi itoe karatasi ya mfano ya kupigia kura ili wapiga kura waanze kuiona na kuizoea, pia ianze kutoa mafunzo jinsi ya kupiga kura. Hili ni jambo muhimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo asubuhi nilisikia kwenye redio Free Afrika katika mapitio ya magazeti kwamba Askofu Mokiwa alilalamika kuwa alipelekewa rushwa ya shilingi milioni 11 ili kunyamazisha baada ya ile kauli yake...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Frederick Katulanda na Mussa Mkama, Mwanza KAMPENI za Uchaguzi Mkuu ambazo zinaelekea ukingoni zimezidi kuongeza joto la kisiasa nchini, baada ya Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kulazimika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani hii nimeipata live kutoka kwa swahiba wangu aliye Shinyanga. Anasema mgombea ubunge wa CCM jimbo la Shinyanga mjini aliyemtaja jina la Steven Masele hatakiwi na wana_CCM kwa sababu siyo mtu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza idadi ya wapiga kura Tanzania bara watakaopiga kura kuwa ni 19,694,416. Tume hiyo pia imetangaza mabadiliko katika karatasi ya kupigia kura na sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom