Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

napendekeza badala ya kuwapa wananchi taarifa za mikutano mbalimbali ya kisiasa wakati wa taarifa za habari tu na tena usiku,ni vyema vyombo vya habari wakatenga muda wa wiki hii na haswa mchana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kipindi cha Nyuma kumekuwa na tetesi za Shirika la umeme Tanzania kukata umeme siku za uchaguzi hasa kipindi cha jioni wakati kura zikihesabiwa na kuwapa nafasi wale wasio na huruma na nchi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu wana JF, kwa kweli nimechoshwa sana na uongozi mbovu wa sasa chini ya serikali ya chama cha mapinduzi CCM. Nimejiandaa vema kabisa kupiga kura kuiondoa madarakani. Fikiria mara ghafla...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimetoka kuzungumza sasa hivi na Mgombea wa Ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya TLP Bw. Augustine Mrema ambaye amepinga vikali uvumi ulionezwa tangu jana jioni kuwa ameamua kuachia ngazi kwenye...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
ktk hali ya kutapatapa ccm imeamua kurudia kampeni ktk sehemu zinazoonekana ku support upinzani. Tatizo ni kuwa mwaka huu haswa wa vijijini wamechoka na ccm!tujiulize mimi na wewe tutapata wapi sh...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilikuwa nasikiliza mapitio ya magazeti leo asubuhi Tumaini FM wakanitabanisha kuwa huyu Dada akitoka Sumbawanga alipita katika moja ya miji huko Mbeya kuelekea Mbeya mjini...akaamua kuwapungia...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Nathani kila mmoja wet anatambua kuwa CCM hawako tayari kung'oka madarakani! tujaribu kuangalia tricks walizotumia kwa upande wa Zanzibar ili tuweze kutengua wizi wao wa kura someni hapa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau leo ccm wamemtuma kijana wao wa kawe kuzungumza kuhusu fursa ya vijana na mustakabadhi wa taifa ndani ya chama.Jamaa wa ccm anasema ufisadi ni suala la mtu binafsi na si chama uhondo zaidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mgombea mwenza wa NCCR aishiwa nguvu, aanguka jukwaani Send to a friend Thursday, 21 October 2010 10:40 digg Leon Bahati na Fidelis Butahe MGOMBEA Mwenza wa NCCR Mageuzi, Ally Omar Juma...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Leo nilikuwa nasikiliza Redio wapo 98.0FM, Gamanywa ametangaza kuongea na waandishi wa habari hapo keso kuhusu mambo ya uchaguzi mkuu, kwa maana ya kuingizwa udini kwenye uchaguzi wa mwaka huu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
WAKATI wagombea watatu wa CCM ,CUF na UDP wakikwepa kufika katika mdahalo wa wagombea ubunge jimbo la Sumbawanga mjini mkoani Rukwa mgombea wa NCCR-Mageuzi Kiyaya Dominic (kulia) amewataka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimepitia blogs za Michuzi, Njengwa na Global Publishers kufuatilia habari mbalimbali, hasa zile za uchaguzi. Ni Global Publishers tu ndio walioweka picha ya Dr. Slaa Mwanza. Hili limenishangaza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Licha ya juhudi zote nilizozifanya za kuandika magazetini juu ya tabia ya wanachadema kusalimiana huku wamekunja ngumi peoples ....power, nimeandika kwenye magaqzeti mbalimbali kuwa kwa maadili na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kufuatia taarifa za kukamatwa kwa karatasi za kupigia kura zilipigwa tayari huko Tunduma, sasa ni dhahiri kuwa vituo 52,000 vilivyotangazwa na NEC huenda kuna vituo ambavyo vinatarajiwa kupokea...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, nimeona ni vema nikiwamegea hii info muhimu. Ukitaka kupata info zako za uandikishwaji wako bofya hapa Kila la kheri fanya maamuzi sahihi october 31, usifuate mkumbo. "kura...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tafadhali walioko Mwanza watujuvye, kuna taarifa kuwa Polisi wanatawanya watu wanaokusanyika kusubiri Mapokezi na Mkutano wa Dr. SLAA
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Kikwete ndio anapanda jukwaani,watu sio wengi.
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Wana JF, Napenda kuwahabarisha kwa tetesi zilijili kwenya mtambo wangu kuwa maandalizi ya kumwapisha Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 3rd November,2010...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
HAWA WANAWAKE WA MBEYA WAMEVUNJA REKODI KWA KUWA MNO WAWAZI. HUKO MOSHI HUWA WANAMSHANGILIA LAKINI AKISHAONDOKA WANAMSENGENYA NA KUMCHARURA KISHA WANAAAPA KUTOKIPIGIA KURA CHAMA CHAKE. HAPA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom