Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea mwenza wa Slaa?Sijamuona katika kampeni na sehemu mbalimbali muda kwa mrefu.Yuko wapi huyu ndugu yetu?
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Wanabodi Nilipata ka vakasheni kafupi, hivyo nikaamua kwenda kujipumzisha mikoa ya Moshi na Arusha juzi na jana. Baada ya mapumziko mafupi ya juzi yalitosha na jana nikaitumia kusafisha macho...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Leo nilikuwa mtaani nkawahoji vijana wachache kuhusu uchaguzi. Wachache wao walikuwa wachuuzi wa vitu vidogo vidogo ambao hunyemela bar kupata wateja wengi wao walionekana kuwa wamejiandikisha ila...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za kuaminika nilizozipata hivi punde kutoka kwa mdau huko Mwanza ni kuwa umati aliokusanya Dr.Slaa leo huko Mwanza haujapata kutokea na imemlazimu JK kwenda Mwanza tena kesho.. Naagiza...
0 Reactions
98 Replies
11K Views
Naanza kwa kuuliza swali... Hivi ukiwa umekaa umejituliza ukamuona panya anakimbia kutoka sehemu nzuri kuelekea kwenye moto mkubwa unaowaka utafikiria nini? Jibu langu mie nitajibu baadae lakini...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nafikiri ingekuwa busara kwa Kikwete kuagwa kama Karume, na pindi kama atashinda atakaribishwa tena kwa gwaride. Hasipofanya hivi na akashindwa kwenye uchaguzi, basi hana nafasi tena ya kuagwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nafikiri ingekuwa busara kwa Kikwete kuagwa kama Karume, na pindi akishinda atakaribishwa tena kwa gwaride. Hasipofanya hivi na akashindwa kama atashinda kwenye uchaguzi, basi hana nafasi tena ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wengi waliokuwa wakitarajia kuwa Lipumba amepoteza wakati wake na kwa wale ambao walikuwa wakiamini kura za maoni zilizokuwa zikirushwa kwenye vyombo vya habari ndizo zinazoashiria Raisi...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
KIla Siku Najiuliza, Kwa nini kwenye blog ya michuzi Hakuna post za wagombea wengine zaidi ya CCM ? Kumbe ni mamluki na anajipendekeza kwa JK........
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tuendelee kujadili na kupanuana upeo wa mambo, ninajaribu kujiuliza kwamba iwapo data base ya makampuni ya simu(tigo,zain,voda n.k) itatumiwa na mafisadi wa kuchakachua kura kwa njia ya technohoma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanaJF, Asasi ya vijana ya Tanzania Youth Vision Association-TYVA kupitia mradi wao wa Kijana na Kura Yako 2010 baada ya kutembelea mashuleni na vijiweni katika mikoa ya DSM, Pwani, Dodoma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza mabadiliko katika karatasi ya kupigia kura . Wananchi watakaopiga kura watapaswa kuweka alama ya vema kulia kwa mgombea wa chama anachokusudia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Watu wa Intellijensia, JF wazalendo mimi nawewe watufanyia kazi tupate majibu. Ikibidi huyu jamaa IGP aweke wazi hilo jambo ili tuweze kupata majibu yaliyo sahihi. Vinginevyo nchi tunaipeleka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu leo asubuhi wakati nasikia mapitio ya magazeti RFA nimesikia kuwa NEC imabadilisha jinsi ya kupiga kura itakuwa kuweka Tick kwenye kibox kilichopo mbele ya mgombea Urais. Sasa nikapata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu kikwete mgonjwa wa kuanguka hasa akikanyaga jangwani, ataweza kurudi kuhitimisha kampeni zake jangwani?......wenye ratiba watusaidie ili tuje fuatilia tukio japo sheikh yahaya amemuongezea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani pamoja nakujua hesabu zangu pengine kuna wanaojua hesabu vizuri Angalieni kichekesho hiki cha mwaka
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UNION presidential running mate under the ticket of CCM, Dr Gharib Bilal, has directed security organs to take stern legal measures against some members of CHADEMA who perpetrated political...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani kwa hali ilipofikia sasa baada ya JK kukimbia mdahalo na kumwachia Kinana ambaye amezidi kukidhoofisha chama, mi naona ni heri Kinana na Makamba wakasepa na kumwacha JK akiendeleza kampeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanachadema, mbona hawaendi lindi na mtwara, nimeona ratiba hii, sijaona akirudia mtwara na lindi. Mwaka huu hatutaki kudanganywa, AMKENI WATZ, CHANGES HAPPEN ON YOUR DECISION. PRESIDENT Dr...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baadaya ya mkoa ya pwani, morogoro, kilimanjaro, musoma, sumbawanga na mingine mingi kumzibitishia kuwa wanampa kura asilimia 90, sasa Dr Kikwete ana raha anapumzika kwa raha zake, wakati huo...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom