Mkutano wa kampeni ndio umemalizika hapa Himo Makuyuni na mgombea wa CCM Crispin Meela ametangaza kuwa mgombea wa TLP amemfuata leo asubuhi na wamekubaliana kuwa mzee wa kiraracha hatagombea...
For all the remarkable campaign Dr. Slaa has done,with the changes we(Tanzanians) are eager to make and with efforts of newspapers well wishers from and outside tanzania can and ONLY spoiled by...
Jana usiku nimepata message kupitia namba yangu ya tiGo ikinitaka nimchague mgombea wao Kikwete kwa sera nzuri za CCM. Nilishtuka sana na kujiuliza wameipata wapi namba yangu. Nilipolala nikaota...
Wadau,
Nimetoka kuingia katika website ya NEC ambapo nimeweka nambari yangu ya mpiga kura na kuweza kupata online status ya wapi kituo changu kinapatikana. Taarifa niliyoipata kwenye web pamoja...
what goes around comes around!kutokana na kichwa kikubwa cha habari leo kwenye gazeti la umma habari leo kusema"ahadi za slaa hazitekelezeki",napendekeza pia kesho waandike ahadi zifuatazo za...
JK amesema CCM watashinda uchaguzi na kuendelea kushika dola baada ya kufanya tathmini wakati akizunguka nchi nzima kwenye kampeni kwa sababu wanakubalika(Mwananchi 20 Oct. 2010). Tathmini yake...
nasema ushauri kwa chadema maana ndicho chama hapa bara ambacho kinawatia wasiwasi cccm na kinawindwa kila kukicha,
taarifa za tetesi nyingi zilizokwisha fikishwa hadi sasa juu ya hujuma za...
habari wana JF.
31th oct, napiga kura yangu kwa mara ya kwanza na nahisi nawakilisha walio wengi tuu. sasa nawaomba wale wadau ambao walishapiga kura hapo awali kunithibitishia kama kweli kura...
Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: ZITTO KABWE AUZA NGUO ZAKE MKUTANONI KUMCHANGIA MGOMBEA WA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI ,WANANCHI WAUNGA MKONO WACHANGIA ZAIDI YA TSH LAKI NANE
Habari za uhakika nimejulishwa na rafiki yangu toka Bukombe kuwa Jeshi la polisi linawashikilia watu waliokamatwa wakinunua shahada ZA KUPIGIA KURA.jESHI HILO IMEBIDI LIFANYE KAZI YA ZIADA...
Kwa zaidi ya miaka mitano wapenda mabadiliko tumekuwa tukiapashana habari, kubadilishana uzoefu n.k kwa kutumia njia mbali mbali ikiwemo jamii forum. Kwa hakika kupitia jf tumenufaika sana na...
Mwalimu wa Nyerere ataka CCM iadhibiwe
Na George Marato
Mwalimu aliyemfundisha baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere katika shule ya msingi, amesema adhabu pekee ya kukipa Chama cha...
Kwa sisi tulio mbali na mjini tunaomba mtuwekee mchakato majimboni iliyorushwa na TBC 1 jana Jumanne katika jimbo la Mbeya Vijijini.
Natanguliza Shukurani,na Kiswahili yangu ni poa tuu.
Kwa kuwa rangi za jezi za timu ya yanga ni kajani na njano ambazo pia ni za CCM,natilia shaka kuwa ndio dalili njema kwa ushindi wa CCM katika uchaguzi utakaofanyika tar 30/10/2010.jamani ni maoni...
Najaribu kupiga picha sioni mbele mara baada ya tarehe 31 Oktoba.Ni kipindi ambacho wengi watalia na kusaga meno,ni kipindi ambacho wengi watashangilia ushindi wa kiongozi mpya,kwa sura,tabia na...
Nadhani CCM wakiongozwa na Kikwete akili zao zimezimia.
Wewe mtu unawezaje kulazimisha kuwa umetimiza ahadi zako? Kama umejenga barabara si watu wataona, kuna haja gani ya kila siku kesema...
Sina shaka yoyote kwamba ukombozi wa Tanzania umewadia.
Daktari wa filosofia mwenye shahada ya UZAMIVU, Dakta Slaa ataapishwa kuwa Rais. Haya ndiyo ninayoyatarajia kutokea wiki chache tu baada ya...
Tetesi za kuahirisha uchaguzi huu zinazidi kushika kasi kwa sababu ya mazingira yafuatayo:-
1) CCM hawapo tayari kushiriki uchaguzi huu baada ya kufahamu wapigakura wanaghadhabu kubwa na ya muda...
In loving memory
Mwalimu J. K. Nyerere/ Founding Father of the Nation
11th Anniversary of his death
"It can be done if you play your part" Mwalimu Nyerere
I knew Mwlimu as a good person...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.